Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Huyo Bikra Maria ndiyo nani?Tukumbuke jamani hii nchi imeshawekwa chini ya ulinzi wa bikra maria baada ya ujio wa papa Paul wa pili hivyo tuna baraka tele.
Hatuna ukabila kwa sababu bikra maria yu kazini.
Maamdamano hayatawezekana kwa sababu bikra maria yu kazini.
Violence za namna yoyote zinazoratibiwa na akina Lissu hazitawezeka kwa sababu bikra yu kazini
Rais wetu ni mwanamke hivyo ana baraka zote kutoka kwa mama yetu bikra Maria.