- Thread starter
- #81
Watajs watoto wake. Hili ndo swali. Au hujui maana ya swaliSoma MATHAYO 13: 54- 57
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajs watoto wake. Hili ndo swali. Au hujui maana ya swaliSoma MATHAYO 13: 54- 57
Yusufu ,yakobo nkWatajs watoto wake. Hili ndo swali. Au hujui maana ya swali
Hao siyo watoto wake. Nenda shuld uwe na angalau diplpma ya theology na usisome vyu vya wasabato mana itadanganywa. Catholic are the source of knowledge and they wrote the bibleYusufu ,yakobo nk
Sasa Diploma ya Theology mimi ya nini we Jamaa bana.Hao siyo watoto wake. Nenda shuld uwe na angalau diplpma ya theology na usisome vyu vya wasabato mana itadanganywa. Catholic are the source of knowledge and they wrote the bible
Maamdilo huyajui ndo mana nakwambia ukasome elimi ya kujua biblia yaani theology. Ndo mana kagame amefinga makanosa yoye yanayoendeshwa na wati wasiokiw na utaalamu huo kama wewe. Mnakirupuka tu. Biblia ina utaalamu wake ndoana mapadre wanasoma 25 years.Sasa Diploma ya Theology mimi ya nini we Jamaa bana.
Kwaiyo unayabishia Maandiko tena.
Khee kwaheri Kaka apa napoteza Energy yangu bure.Maamdilo huyajui ndo mana nakwambia ukasome elimi ya kujua biblia yaani theology. Ndo mana kagame amefinga makanosa yoye yanayoendeshwa na wati wasiokiw na utaalamu huo kama wewe. Mnakirupuka tu. Biblia ina utaalamu wake ndoana mapadre wanasoma 25 years.
Kasome.ndo uje tu argue. Mi nina degree ya theology.Khee kwaheri Kaka apa napoteza Energy yangu bure.