Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Wewe utaokota makopo muda si mrefu, sio kwa mahasira hayo.Kifo cha mwendazake mbwa magufuli kinadhihirisha ukuu wa Mungu dhidi ya wanadamu fedhuli.
[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utaokota makopo muda si mrefu, sio kwa mahasira hayo.Kifo cha mwendazake mbwa magufuli kinadhihirisha ukuu wa Mungu dhidi ya wanadamu fedhuli.
Alimsaliti mamako!!??mabaga fresh Lisu anaishi kwa aibu kubwa sana anajutia Sana kwa nn alikuwa msaliti
Ulijaribu kumpa ukaona hakifanyi kazi!!!???Mungu alimuacha Lissu ataabike na ulemavu wake wa kudumu. Aone kazi ya mwanaume na jinsi mwanaume anavyokubalika na alivyokuwa na nguvu hata sasa kuliko walio hai.
Lissu kwa sasa kiuno hakifanyi kazi. Atabakia akidownload video tu.
"Hayati aliwanyoosha Wazungu na hususani Acacia, unadai Acccia ndio waliomuua Hayati?"Tundu Lissu hawezi kuja kukuokoa ukipigwa na xpel.
Hayati aliwanyoosha Wazungu na hususani Acacia, unadai Acccia ndio waliomuua Hayati?
Kama una taarifa utupatie,
manake madai yenu yakujificha kwenye chaka la mungu tushaligundua. Wenzako walitumia mbinu hizo karne nyingi zilizopita, hawakufanikiwa sembuse wee kibaraka wa Tundu Lissu na CHADEMA mmeshambiwa wacheni propaganda za kitoto
Wanaopambana na Magufuli aliyekwishajiondokea wanalenga kupata nini kama siyo ujuha? Kwani nyinyi mmelifanyia nini taifa zaidi ya roho mbaya na husda zisizo na sababu zaidi ya umaskini wa kufikiri?Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba
Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta
Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata
Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa
Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Kifo cha mwendazake mbwa magufuli kinadhihirisha ukuu wa Mungu dhidi ya wanadamu fedhuli.
Hayo ni maneno ya Tundu Lissu.Alitaka kujitegenezea umungu duniani na Mungu mwenyewe akachukia na kibetri kikazimika.
A covid denial president!!!
Mwamba aliunguruma.
Huyu mungu wako ni Dhalimu.Jaman MUNGU yupo , bila mkono wa MUNGU magufuli angetumaliza
Mwombeni huyo MUNGU wenu kama anasikia SAMIA awe zezeta kama Magufuli.Muongo wewe
jisomee hapa utoke kwa Tundu Lissu
Mwamba aliunguruma.
Huyu mungu wako ni Dhalimu.
Yule shetwan magu bora MUNGU alimtwaa....Naona mbwa Leo mnabweka hatari
Toa ujingaIdadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba
Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta
Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata
Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa
Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Hadi sasa hakuna aliyevimbisha ubongo wake kuvunja record yairadi na creative thinking.Hii yako nayo ni takataka mavi kunuka..huna unachojua ndo mana umejiita Matola! Shwain
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Naendelezaje wekichaa nilioyasema ninao ushahidiHayo yote uliyopayuka ilimradi uendeleze uwongo na udhalimu dhidi ya Wananchi wa Tanzania.
Wacha ugaidi.