Alipomaliza kunyoosha mabarabara mafisadi na mercenaries na vyama uchwara Mwenyezi Mungu alimuita Mbinguni

Alipomaliza kunyoosha mabarabara mafisadi na mercenaries na vyama uchwara Mwenyezi Mungu alimuita Mbinguni

Sielewi unachobisha....
MUNGU ameshaamua kwa haki hiyo March 2021!
Kinachokuuma ni ni haswa na hilo? Unahuzunika nini?
Kwa sasa nchi imetulia,
wa kazi aenda kazini
wa kulima aenda kulima
wa kusoma aenda shule
wa kanisa aenda kanisa.

Kawadanganye wapuuzi wenzako huko Mbiguni kwenu Ubeligiji
MAGUFULI is dead, dead for goodies....

Kwa nini unalilia, lia basi?
Bado mnataka ule ujinga, uzulumati uendeleee,

Mabeberu mjitafakari, ule sio ujinga ule, kwanini hutaki kuelewa?
Bado mnataka ukabila, udini uendelee

wewe na ndugu zako ndio mnangaa'ania Sukuma this Sukuma that as if we care.

Yaani ulivyo mpuuzi unataka kupotosha Wasukuma ndio walioleta Dini? ru serious? Sisi ndio tunaongelea Ukabila? Mnachanginyikiwa na wala hamjui mnachokitaka. Rudini Ubeligiji na mmchuke Tundu Lissu wenu
Bado mnataka kufungana midomo, teuzi za zawadi za matendo katili kwa wanadam ziendelee..

Nani asiyejua hayo hayafanyiki hapa Tanzania? Wivu wa nini?....usilete upotoshaji
HAPANA! HAPANA,HAPANA!
Live long SAMIA umetufuta machozi
Live happy JK for whatever a reason
mpaka hapo ulipofika huelewi unachokipigania ni nini zaidi ya kueneza chuki na kuleta ugaidi wa mtandaoni. Koma wewe
Please, please njooni to celebrate....tuna rais wa dini zote, makabila yoote.
Unajichanganya. Unalilia

Utashindwa na utakoma
 
Mungu hawezi ruhusu mtu apigwe risasi Mungu hafanyi kazi na dhambi. Cha muhimu yule mpumbavu kafa kamuacha lisuu akiwa hai. Ilikuwa sherehe kubwa mtaani tulipoambiwa yule ibilisi kafa.
Marehemu alizungushwa nchi nzima[emoji16][emoji16]
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Na toka huko atakuja kuwahukumu wale watakaonenda kinyume na alivyoacha ameagiza! Amen!
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Ukiangalia mlinganyo wa kiimani mbele ya Mungu na kwa kuangalia mafundisho ya maandiko kutoka kwa mitumee na manabii waliopita kama Daniel n.k kwa kumlinganisha Magu na Lissu

Utaona kuwa Magu ni uzao wa shetani ndio maana alikufa licha ya ulinzi mkubwa aliokua nao Kwa sababu alionekana kuliangamiza Taifa kwa uongozi wake wa kidhalimu

Lakini Lissu yupo hai mpaka leo licha ya kushambuliwa kwa Risasi zaidi ya 16 mwilini mwake Mungu alimponya Kwa sababu alimuona kuwa ndio tumaini la watanzania kwa 2025
 
raisi wa ovyo kutokea anakemea ugonjwa utoke wakati unatibiwa ,anaomba uchumi ukuwe wakati wanaitajika wataalamu.
yule jamaa tutamsema mpaka tunakufa
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Akaamua akafiche pesa kule china pia. Malizia na hii
 
Sisi biblia ya nini, kwa ni aliyandika ni binadamu tu, tena wale madhalimu au na hilo unabisha?
Kwa taarifa yako hakuna sehemu yeyote ile kwenye biblia yako inasema Chato kuna Shetani. Usitishe kadamnasi kwenye chaka la Mungu au Biblia haramia we

Mtashindwa na Ugaidi wenu huo
Nilijua anayebishana na ukuu wa MUNGU anajua uweza wake na mamlaka ya MUUMBA, kumbe wewe ni miongoni mwa wasiojua Biblia au Quran haya wewe ni nani maana inaonekana dhahiri una sifa za wakala wa IBILISI kea kukiri kuwa haumjui MUNGU.

HAKIKA MUNGU ALIAMUA UGOMVI TANZANIA.
 
Mungu alimuacha Lissu ataabike na ulemavu wake wa kudumu. Aone kazi ya mwanaume na jinsi mwanaume anavyokubalika na alivyokuwa na nguvu hata sasa kuliko walio hai.

Lissu kwa sasa kiuno hakifanyi kazi. Atabakia akidownload video tu.
Hii nchi ilikuwa inaporomoka kwa kadi ya mwanga. Ninauhakika mpaka Sasa jpm angekuwa yupo ingekuwa vilio kila Kona mana kila kitu kulikuwa kimesimama kama kilimo, ajira, midhara ya wafanyakazi kuongezwa nk. Uvuvi mpina akawafia umaskini kwa ujumla. Wafanyabiashara wanafunga maduka daily
 
Nilijua anayebishana na ukuu wa MUNGU anajua uweza wake na mamlaka ya MUUMBA, kumbe wewe ni miongoni mwa wasiojua Biblia au Quran haya wewe ni nani maana inaonekana dhahiri una sifa za wakala wa IBILISI kea kukiri kuwa haumjui MUNGU.

HAKIKA MUNGU ALIAMUA UGOMVI TANZANIA.
Unajichanganya wewe.

Mtalegea tu
 
Unajichanganya wewe.

Mtalegea tu
Wewe umeshachanganyikiwa hata una quote marambilimbili,

Kubaliana na ukweli kuwa amekufa na alikuwa na mabaya machache ila makubwa yaliyo hatari kwa ustawi wa nchi.

Kubwa zaidi alitaka kutwaa utukufu na mamlaka ya MUNGU ya kuabudiwa na Kuua jambo ambalo ni Mungu pekee anayestahili hilo.

Hapo ndipo Mungu alipokasirika maana kutwaa utukufu na mamlaka ya MUNGU ni kuvuka mipaka yake na akaamua Kumpeleka Chato, Rejea dhambi ya Lusifa ambaye alikuwa malaika mpenda sifa kama Magu na adhabu yake.
 
Wewe umeshachanganyikiwa hata una quote marambilimbili,

Kubaliana na ukweli kuwa amekufa na alikuwa na mabaya machache ila makubwa yaliyo hatari kwa ustawi wa nchi.

Kubwa zaidi alitaka kutwaa utukufu na mamlaka ya MUNGU ya kuabudiwa na Kuua jambo ambalo ni Mungu pekee anayestahili hilo.

Hapo ndipo Mungu alipokasirika maana kutwaa utukufu na mamlaka ya MUNGU ni kuvuka mipaka yake na akaamua Kumpeleka Chato, Rejea dhambi ya Lusifa ambaye alikuwa malaika mpenda sifa kama Magu na adhabu yake.
You are bigoted Racist twaat.

Hakuna Mtanzania asiyejijua, atakaye kuja kumdondokea mzungu wenu. Mchukueni Tundu Lissu akawadondokee huko.

Huyu mungu unayemzunguzmia hata siku moja sitakuja kukubaliana naye. Mungu wangu anasema. Ukome

Mungu wangu anasema uache Ukimbari. Mungu wangu anasema soma Numbers 12:1

Mungu wangu anasema Ukalegeee na laana. Koma we mpuuzi.
Huna mamlaka yeyoye kuja kunifundisha kuhusu Mungu.

Nasema hivi. We Shetani u legeee.
 
You are bigoted Racist twaat.

Hakuna Mtanzania asiyejijua, atakaye kuja kumdondokea mzungu wenu. Mchukueni Tundu Lissu akawadondokee huko.

Huyu mungu unayemzunguzmia hata siku moja sitakuja kukubaliana naye. Mungu wangu anasema. Ukome

Mungu wangu anasema uache Ukimbari. Mungu wangu anasema soma Numbers 12:1

Mungu wangu anasema Ukalegeee na laana. Koma we mpuuzi.
Huna mamlaka yeyoye kuja kunifundisha kuhusu Mungu.

Nasema hivi. We Shetani u legeee.
Kwa majibu yako haya yaliyo nje ya hoja hakika wewe umechanganyikiwa na uwahi hospitali.
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Mbinguni haendi majizi majangili na mauaji, yuko anachezea tanuri la moto
 
Mungu fundi Kwa alichofànya. Yani shetani muda huu linàjiozea kaburini
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Mzee Makamba mzee wa busara alikwisha pambanua wali aliko.
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
 
Back
Top Bottom