pyu pyu pyu pyu
Hayo yote huwezi thibitisha katika mahakama yeyote ile, na najua inakuuma kweli kweli. pyu pyu pyu pyu....na ukimumunya pyu lol
Kwani kulinda makaburi yameanza leo? Unajua kwanini Malikia wa Uingereza kazikwa mara mbili-Fact
Kitakacho kunipungua ni nini kulinda Kaburi? zaidi ya wewe kuwa na wivu hujijui ulipotoka na unapoenda.
Sukuma ni kabila kubwa sana, huna nguvu, huna mbinu, na wala huna uwezo wowote ule, uwe wa maarifa, akili, vita, siasa, kuweza kuliteteresha. Huna! so go deal with it. I'm proud Sukuma and Tanzanian and there is absolutely nothing you can do about it....utabakia kuwa gaidi na utaishia gaidi.