Alipomaliza kunyoosha mabarabara mafisadi na mercenaries na vyama uchwara Mwenyezi Mungu alimuita Mbinguni

Alipomaliza kunyoosha mabarabara mafisadi na mercenaries na vyama uchwara Mwenyezi Mungu alimuita Mbinguni

Watanzania tunajuwa nchi haikuwa narais mungu alituonea huruma akatutolea shetani haraka mwizi mkubwa mdhulumati alitaka kuuwa elimu iliatawale milele asante mungu kwakurupenda
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
 
Uhakika ni kwamba yuko motoni ndio maana pamoja na kutaja lisu auwawe mungu akamuaibisha akatangulia yeye ili Mungu adhihirishe ukuu wake na kiapo chake kwamba kamwe mwanadamu hatashindana namimi.
Mungu huwa ni wa huruma.

Hayati Magufuli hajawahi kushindana na Mungu, hivyo basi usitulaghai na kupotosha umma kuwa ndicho alichokifanya!

Hayati alipambana na 'Wazungu' ' Mabeberu' na huo ndio Ukweli.

....na kama madai yako kuwa Mzungu ndio mungu kitu ambacho sio kweli, utakuwa una wakati mgumu kudanganya watu wengi kwa hayo. Jaribu mengine.

Unavimba hapa tu na maneno yako ya kimbari. Ushindwe.
 
Watanzania tunajuwa nchi haikuwa narais mungu alituonea huruma akatutolea shetani haraka mwizi mkubwa mdhulumati alitaka kuuwa elimu iliatawale milele asante mungu kwakurupenda
Hayo yote uliyopayuka ilimradi uendeleze uwongo na udhalimu dhidi ya Wananchi wa Tanzania.

Wacha ugaidi.
 
A covid denial president!!!

Jaman MUNGU yupo , bila mkono wa MUNGU magufuli angetumaliza
Muongo wewe.

Umelishwa maneno na mamluki, kueneza udhalimu. Wacha ugaidi.
Huyo mungu alikuwa wapi kumuokoa Malikia?
 
Mungu hawezi ruhusu mtu apigwe risasi Mungu hafanyi kazi na dhambi. Cha muhimu yule mpumbavu kafa kamuacha lisuu akiwa hai. Ilikuwa sherehe kubwa mtaani tulipoambiwa yule ibilisi kafa.
Lissu ni Msaliti. Mungu hapendi wasaliti.
Wacha ugaidi.

Ibilisi ni 'Wazungu'
 
Siku yenu haipo mbali. Mtakegea tu na uhasama hasi. Mmeishiwa matusi nyie magaidi wa mtandaini.

Huyo mungu wenu, ndie atayewalegeza.

Mda wenu unakuja na hamtaweza kushika dola kamwe.

Hamwezi kupata Dola kwa Uhasama hasi.
 
mabaga fresh Lisu anaishi kwa aibu kubwa sana anajutia Sana kwa nn alikuwa msaliti
'…Mabaga Fresh…' hili neno ni kejeli kwa ulemavu na walemavu wote, jiepushe kabisa na kejeli za namna hii, Lissu hakuwa kufikiria kama kuna siku ataamka mlemavu, Mimi na Wewe hatujui hatma yetu…ule Msemo wa Hujafa hujaumbika unaufahamu maana yake? ukamilifu wako hutokea pale tu unapofariki ndio tunaweza kusema wewe sio Mlemavu lakini kwa kuwa bado unavuta pumzi hujui hatma yako

Lissu ana mambo mengi tu ya hovyo kama wanasiasa wengine…kama kejeli mfanyie kwny eneo la kazi yake sio maumbile yake ambayo yamesababishwa na uonevu dhidi yake japo binafsi sina uhakika na mhusika wa hili japo hisia za Mhusika ninazo kama wengine walivyo nazo
 
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
Mungu syo athumani.
Yule pombe yuko kwenye moto wa makaa ya mawe anaungua.
Hakuna popote Mungu aliposema watu wauawe, wapigwe risasi, wateswe nk.
We sukuma gang bwanako pombe is no longer
 
Aliua watu wengi sumu imemnyorosha
Idadi ya na watu vilivyonyooshwa na Magufuli na mapema tu baada ya kazi Hiyo ngumu na nzito Mungu alimuita Mbinguni ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba

Tundu Lissu: huyu alikuwa kibaraka wa wazungu alizoea kula kwa kupayuka mwanaume akasema hunijui wewe yalimkuta yaliyomkuta

Mbowe: Huyu Alizoea siasa za michongo za kuhongana alinyooshwa na akanyooka na kundi lake kama akina Lema, sugu Heche mnyika nk wote waliufyata

Mafisadi majizi na matapeli ya nchi hii malanguzi na mala rushwa wakubwa

Mabeberu yalibwanwa kisawa Sawa mwanaume alikosoa waliogopa na walitikisika Mwamba wa Chato Jemedari wa Vita Mwamba huyu ety analinganishwa na watu wanaozeeka bila kujenga hata Choo ety Magufuli anafananishwa na babu Mbowe hii ni aibu mwanaume kamaliza kazi yake wambeya ongeeni yooote Mwamba yuko kwa Mungu baba anawazomea wale wasiojitambua
 
Malikia wa Uingereza kafa kwa uzee. Jini wenu kiumri alikuwa bado, lkn kafa kwa roho mbaya yake tu
Mungu wenu alikuwa wapi kumuongezea mda wa Kuendleza Udhalimu duniani?

Hiyo roho mbaya tunajua aliwafanyia Wazungu. Je Wazungu ndio Mungu.

hatahivyo,....Nina uhakika hujui maana ya Jini ni nini au kitu gani.... Unakisikisia vijimaneno uendeleze ugaidi wako mtandaoni...maana ya Jini ni nini? haramia we? hujui Jini' bisha!!!!. Usitpotoshe au kufanya kila kitu unachaaminishwa ni kiovu na hivyo kumhusisha navyo....alivyofanya Hayati!
Mtaishiwa tu, mwisho wake mtaenda kujizika.
Mtashindwaaaaa.
 
When they say "Our Commitment to Democracy" what they actually mean is:

the primary threat to the new US-led world order was
Third World nationalism—sometimes called ultranationalism:
“nationalistic regimes” that are responsive to “popular demand for
immediate improvement in the low living standards of the masses”
and production for domestic needs.
The planners’ basic goals, repeated over and over again, were to
prevent such “ultranationalist” regimes from ever taking power—or
if, by some fluke, they did take power, to remove them and to install
governments that favor private investment of domestic and foreign
capital, production for export and the right to bring profits out of
the country. (These goals are never challenged in the secret
documents. If you’re a US policy planner, they’re sort of like the air
you breathe) -- How the World works*** Naomi Chomsky***
 
Back
Top Bottom