Alipomaliza kunyoosha mabarabara mafisadi na mercenaries na vyama uchwara Mwenyezi Mungu alimuita Mbinguni

Mungu alimuacha Lissu ataabike na ulemavu wake wa kudumu. Aone kazi ya mwanaume na jinsi mwanaume anavyokubalika na alivyokuwa na nguvu hata sasa kuliko walio hai.

Lissu kwa sasa kiuno hakifanyi kazi. Atabakia akidownload video tu.
Ulijaribu kumpa ukaona hakifanyi kazi!!!???
 
"Hayati aliwanyoosha Wazungu na hususani Acacia, unadai Acccia ndio waliomuua Hayati?"
 
Wanaopambana na Magufuli aliyekwishajiondokea wanalenga kupata nini kama siyo ujuha? Kwani nyinyi mmelifanyia nini taifa zaidi ya roho mbaya na husda zisizo na sababu zaidi ya umaskini wa kufikiri?
 
Tundu Lissu ndie aliyotoa Ruhusa ya watu kama hawa kuendeleza chuki Tanzania, na wanadai mambo mengi tu yasiyo na mshiko, ukitoa hoja wanakuja na matusi kama haya
Kifo cha mwendazake mbwa magufuli kinadhihirisha ukuu wa Mungu dhidi ya wanadamu fedhuli.

Hakika Tundu Lissu sio wa Kuchagilika. Hachaguliki.
 
Toa ujinga
 
Hii yako nayo ni takataka mavi kunuka..huna unachojua ndo mana umejiita Matola! Shwain

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hadi sasa hakuna aliyevimbisha ubongo wake kuvunja record yairadi na creative thinking.
SGR ya Umeme, MV Mwanza, Nyerere hydropower , Acacia , Hospitals, Shule bure, mikopo chuo etc.
Wore wanatapatapa humo humor kwa JPM...huo ndiyo utakatifu.
Mungu na ambariki daima.
 
Mleta mada yuhu 'shujaa wako' yuko sehemu tofauti kabisa na mbinguni (yuko ile sehemu ingine)
Kwa unyanyasaji wake, kuua, kupora, kunyanyasa, kubagua na ukatili wake nikimkuta mbinguni mie natoka nje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…