Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikopi nimtumie bossWeweee unamapenzi ya dhati na mke wamtu unamfungulia hadi thread eti unamlalamikia ushauri ni huu dunia inaisha september oa lini utautwa baba ?
Au umerudi nchini kupata shida nawake za watu ulipaswa urudi nafamilia kama wenzako umerudi upo single kuja kutafuta shida.
Ukoje wewe lakini???
Move on wanawake nje ni wazuri waelewa ukawaacha hao kuja kwa kilaza maana hadi umesema uko njia pamda do not waste time either urudi huko ukaoe au find here what you deserve in life.
Swali umejenga what assets do you have in future how will you live ?
Umesoma kuwa na maisha better ya furaha halafu uko njia panda kisa michujo ya watu seriously?
What will you gain for all of this listern try to use different number to talk to her tell to her these words.
WEWE NI MKE WA WATU SIJARUDI KISA WEWE NIMERUDI KWA MALENGO YANGU MIMI KAMA MIMI KUTIMIZA AHADI YANGU KWA MAISHA YANGU.
FOCUS NA LIFE LAKO STOP THIS NONSENSE HALAFU NIANZE KUTAFUTWA NA MUMEO .
I HAVE MOVE ON AND YOU HAVE MOVE ON.
watu wawatu ni sumu watu hufaa kisa watu wapuuzi.
Watu wasasa wanaloga mchezo unakwisha ngoja akufanye ilale uhangaike hadi ukate tamaa ya maisha.
Au akutumie watu wakufanye nyama.
Soma uzi tena ndio ufanye mahesabu yako mkuu.Ila na wewe una matatizo sii bure..!
Hivi mtu unawezaje hata kumkumbuka demu ulieanza nae tangu enzi za shule huko mpaka leo ameolewa we upo tuu, huu nao ni umaskini wa akili ujue..?
Kwa mahesabu ya haraka haraka:
Demu ana watoto wawili - hiyo ni miaka mitano kwenye ndoa.
Weka miaka mitatu ya chuo angalau na mmoja wa kuzugia = miaka 9 hamjaonana.
Ulimla mkiwa form 5 kwahiyo miaka 11 imeshapita.
Ina maana wewe miaka yote hiyo hujawahi kua na mwanamke mwingine?
Kwa mahesabu hayo hapo juu wewe ni mzee unakimbiza 30 something, We kwanini huoi ?? Na bado kwa umri huu una "wana" wanao ku screenshotia meseji za madem?
Umerudi bongo kufanya nini mkuu?Kaka kule fresh tu.
Hali ya maisha ni ya kikorona kama kwengine tofauti na hapa nyumbani.
So umerudi likizo?Bongo ni nyumbani...kila mtu popote alipo anapenda kwenda likizo kwao mkuu.
Labda wewe tu ndio useme hupendi.
HahahaaaaMama samia kaja na maziwa usi tutishe
Tatizo la dini limeisha sasa au ameona fursa ya physics, chemistry na biologySalaam wana jukwaa!
Miaka ya nyuma nikiwa shule nilikuwa na mpenzi (ambae tulianza mahusiano tukiwa kidato cha 3), huyu mpenzi alinipenda kwa kuwa nilikuwa napata mia kwenye hisabati na fizikia na kemia na bayolojia n.k
Tuliishi kikavu kavu mpaka kidato cha 4 tukamaliza bila kutikisa nyavu...akaniambia tutaishi vile mpaka lini? Nikaona aah wacha tuvunje chaga tu.
Alikuja kwenda kusoma kwa museveni kidato cha 5 na 6, akiwa huko tuliwasiliana mno mi nikiwa pale uboizini moshi. Aliporudi likizo maeneo ya kcmc tulivinjari huku nikikosa mapindi kedekede pamoja na ugumu wa people calculate like machine.
Alipokuja chuo kikuu akapangwa hapa DSM na mm nikaenda canada kupiga shule kabla hatujaenda vyuoni akanichana live kuwa ameona hatutofika mbali kwa sababu ya utofauti wa kiimani -dini. Kwa hiyo tusitafutane ye atapata wa imani yake na mimi nichanganye mbiliga zangu.
Niliumia ila sikuwa na namna nilipomuomba game kwa mara ya mwisho akaniambia iwe mara ya mwisho kweli nikamchapa kisawa sawa, nikasepa.
Saivi ana watoto 2 huko Arusha lakini anatafuta mawasiliano yangu kinoma noma na ana mume huko kwa taarifa nilizopewa na wanangu waliopo huko.
Mimi nimewambia wanangu wakazie wasimpe namba waseme hawana namba yangu ila sasa wananitumia screenshot za malalamiko yake anasema yupo tayari kuinunua namba maana amesikia nipo town na kasikia mi sirudi tena majuu. (Ni kweli sirudi) ila si aliniambia kila mtu na zake na kubwa kuliko yeye ni mke wa mtu.
Iweje arudi nyuma tena (maana anawambia kabisa wanangu anataka kurudisha majeshi). Au huu ni mtego?
Kula uliweSalaam wana jukwaa!
Miaka ya nyuma nikiwa shule nilikuwa na mpenzi (ambae tulianza mahusiano tukiwa kidato cha 3), huyu mpenzi alinipenda kwa kuwa nilikuwa napata mia kwenye hisabati na fizikia na kemia na bayolojia n.k
Tuliishi kikavu kavu mpaka kidato cha 4 tukamaliza bila kutikisa nyavu...akaniambia tutaishi vile mpaka lini? Nikaona aah wacha tuvunje chaga tu.
Alikuja kwenda kusoma kwa museveni kidato cha 5 na 6, akiwa huko tuliwasiliana mno mi nikiwa pale uboizini moshi. Aliporudi likizo maeneo ya kcmc tulivinjari huku nikikosa mapindi kedekede pamoja na ugumu wa people calculate like machine.
Alipokuja chuo kikuu akapangwa hapa DSM na mm nikaenda canada kupiga shule kabla hatujaenda vyuoni akanichana live kuwa ameona hatutofika mbali kwa sababu ya utofauti wa kiimani -dini. Kwa hiyo tusitafutane ye atapata wa imani yake na mimi nichanganye mbiliga zangu.
Niliumia ila sikuwa na namna nilipomuomba game kwa mara ya mwisho akaniambia iwe mara ya mwisho kweli nikamchapa kisawa sawa, nikasepa.
Saivi ana watoto 2 huko Arusha lakini anatafuta mawasiliano yangu kinoma noma na ana mume huko kwa taarifa nilizopewa na wanangu waliopo huko.
Mimi nimewambia wanangu wakazie wasimpe namba waseme hawana namba yangu ila sasa wananitumia screenshot za malalamiko yake anasema yupo tayari kuinunua namba maana amesikia nipo town na kasikia mi sirudi tena majuu. (Ni kweli sirudi) ila si aliniambia kila mtu na zake na kubwa kuliko yeye ni mke wa mtu.
Iweje arudi nyuma tena (maana anawambia kabisa wanangu anataka kurudisha majeshi). Au huu ni mtego?