Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

Duuh
 
Kwa hiyo leo mnasema kabisavJWTZ ni jeshi la CCM?

Uzuri na wao wanasoma wanaona mlipofikia CCM.

Muda utaongea!
Unapozungumzia Congo unazungumzia Jeshi na unapozungumzia Sudan unazungumzia Jeshi, sasa unapomix Tanzania na Congo kwamba kinachotokea Congo kitatokea Tanzania kwa minajiri ipi? Hilo Jeshi la kufanya fyoko mbele ya CCM lipo wapi?
 
Unapozungumzia Congo unazungumzia Jeshi na unapozungumzia Sudan unazungumzia Jeshi, sasa unapomix Tanzania na Congo kwamba kinachotokea Congo kitatokea Tanzania kwa minajiri ipi? Hilo Jeshi la kufanya fyoko mbele ya CCM lipo wapi?
Endelea kuamini unavyoamini. Uzi umejieleza wapi. Kuna hadi link ya Congo ya Mobutu ilivyokuwa.

Kama huko Lumumba hawajakupa bando la kutosha waambie wakupe soma vizuri na angalia vizuri kila kitu.

Itakusaidia badae yakija kutimia.
 
Umepata akili
 
We bwege huna kazi ya kufanya? Unatujazia ushuzi tu. Acha uchuro huo muda utakuwa wa kifo chako usikibarie nchi yetu huo upuuzi wako. We ni zero brain afadhali ya nyumbu
Hakuna uahuzi wala uchuro.

Uzi umejielezea vizuri. Kama hujaupenda pita tu pembeni.

Kwa ilivyokuuma inaonesha kabisa mie sio zero brain ila wewe ndiwe.
 
Of course, Uchawa ni tabia ya ovyooooooo.

Na kibaya zaidi tumeshakuwa addicted, tumeanza mpaka ku-import machawa kutoka Congo na Kenya
 
Of course, Uchawa ni tabia ya ovyooooooo.

Na kibaya zaidi tumeshakuwa addicted, tumeanza mpaka ku-import machawa kutoka Congo na Kenya
Tunaua kizazi cha watu wanaopaswa kuwa juu kwa sababu ya merit na tumetengeneza wenyewe kwa mikono yetu kizazi kinachoamini kuishi kwenye uchawa ili upate.

Tukianza kuvuna matunda ya haya kama wanavyovuna saivi Congo tusishangae.
 
Mnavyo iombea mabaya Tz, halafu ndio kwanza Mungu anaibariki CCM inazidi kutawala nchi, hakuna maandamano hakuna kelele wapinzani wote wameufyata wamebaki kutukanana wenyewe kwa wenyewe kisa uenyekit 🤣💩
Nyie ndio vijana mlionzungumzwa humu kwenye Uzi,Sasa kama CCM inaendelea kutawala na bado tunajengewa vyoo na Wafadhili na tuna madini ndio tunaelekea kuwa zaidi ya Congo
 
Nyie ndio vijana mlionzungumzwa humu kwenye Uzi,Sasa kama CCM inaendelea kutawala na bado tunajengewa vyoo na Wafadhili na tuna madini ndio tunaelekea kuwa zaidi ya Congo
CCM wameshaua suala la wenye akili kushika hatamu ya nchi.

Usishangae watu wenye fikra za namna hii ndo wanaongoza kwa kutoa matusi kwenye huu uzi.
 
Sijawahi kusoma comment ya tahira kama wewe. Unam-compare Nyerere na Mobutu!!!!!!!!! Tahira hasa; yaani cretin
Tahira mwenyewe. Soma habari hapo, hata kwenye kitabu chake Mzee Mwinyi alikiri hilo, alisema pia mpango wa Waziri Cleopa Msuya ndio ulinusuru Tanzania kna kuimarisha uchumi pia alisema tulipewa msaada na Zimbabwe



Unaweza kusoma kitabu chake na rejea mbalimbali ukapata ushahidi


View: https://x.com/zittokabwe/status/1388927307910422530?t=NSWkethXVmd77lIFFFyDUw&s=19
 
kwani hujasikia kadanse la mama
Kuna nyingine Samia Hana Deni anaiongoza Baba Levo na kuna ile Chawa wa Mama.

Yaaani it's copy and paste na vitu alivyokuwa anafanya Mobutu Congo DR hadi amewaharibia nchi saivi imekuwa ya wapuuzi watupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…