Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Mwanzo 1:26a na 27a
Kumbe ni sawa maandiko yasemayo aketiye katika KITI Cha enzi Mbinguni ana mwonekano kama wa mtu/ mwanadamu.

Sasa wasiomwamini Yesu kuwa alizaliwa,akafa na kufufuka na kupaa mbinguni,na wanaamini watenda peponi,

Hiyo Pepo Yao, na mbinguni zitakuwa sehemu mbili tofauti🤔
 
"wakamhuzumisha Roho yake Mtakatifu, akageuka ,akapigana nao"
Huyo Roho yake iliyohuzunishwa ni nani na huko nyuma tunaona Mungu kamtuma malaika mwenye sura yake na aliyenauwezo wa kusamehe makosa?.

Sasa soma 1 wakoritho wa kwanza 10:4.
Inasema:
wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
NB:
Ukisoma verse fulan ya biblia na usiielewe ama ukaielewa na ukata kuielewa zaidi soma vile vimsitali vya pembeni.
Halafu hako ka kipengele kasemako, Malaika mwenye sura yake " aliye na uwezo wa kusamehe makosa" umekatoa wapi?
 
Kumbukumbu la Torati 33:26

"Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni,

Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie.
Na juu ya mawingu katika utukufu wake."


"There is none like unto the God of Jeshurun, who rideth upon the heaven in thy help, and in his excellency on the sky."
Pia Unaweza ukasoma..
Ayubu 41:33-34
"Juu ya nchi hapana aliyefanana naye,
Aliyeumbwa pasipo oga.Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.

Upon earth there is not his like, who is made without fear.He beholdeth all high things: he is a king over all the children of pride."

View: https://www.youtube.com/watch?v=bvyxS62guos

Capable People for Contact: Past, Present Future​

Capable people on Earth, are here now on Earth as they have always been – in ‘many cultures’ and ‘in contact’ with many interstellar cultures/civilization—directly, indirectly and through ‘Consciousness Intrigues’; as also, all major religions on Earth are the results of those three typical incidents.

Accounts of ‘supernatural contacts’ of Earth humans with ‘the Supernatural Beings’ can be traced in all religious texts—the Vedas , the Avesta , Bhagavad Gita , the Bible , the Qur’an and prominently ‘The Torah’ ...

On Earth, the Symbolism of ‘many cultures’ with diverse ‘horizontal and vertical’ stellar prospects is hidden in the ‘Isis-Ra-El’ enigma—Chronicles out of the Pentateuch attributed to Moses—the saga of Moses and the ‘choosen nation’/’tribes’/’the Ones’—‘nation-states’ which pay homage to one ‘Lord God’; Lord of Host. Moses as a ‘Law Giver’, issuing the institution of the custodianship of the Laws and so forth, keys of Law. In this regard, many nations of Earth today have hidden and/or visible articles with ties to the Legendary Moses; yet Moses was simply an ambassador of ‘Heavenly gods’; using systems view and thinking, and with evidence, the parallel contexts of ‘ontology of institution’ and ‘Status and Trends of the Societies’ can reveal many prospects of ‘Horizontal’ and ‘Vertical’ enterprises that ought ‘to move the nations’ like the Buffalo/Bull that charges ‘the masses’ towards the four cardinal points of the Earth; Destined collectives of ‘the Joseph’s lineage’ -- Tribes of ‘Ephraim and Manase’-- the ‘Bird Tribes’ for ‘the Harvest’ ; – Moses iterating the ‘Cross of Life’ out of ‘the cube of mind control’ to initiate the new era of ‘Thy Kingdom Come on Earth as it is in Heaven’.

Nation--states of Earth stand no chance to last very long without hidden sponsorship of ‘Stellar Cultures’ of inter-stellar influences. Whether it is the Statue of Liberty in New York habour –the United States of America and/or African Renaissance Monument in Dakar—Senegal; those are iconic influences ‘from the Stars’… Hidden self determination for ‘Horizontal and Vertical’ enterprise of the collective human race. Thus, in certain ways, Collective human race is also ‘star seeds’--seeds of ‘self awareness’ and ‘inherent longing’ to reach for the Stars in the skies above…

Nation-states of Earth can be ‘separate sovereigns’, however, deep within the purity of senses and desires of the people on Earth, there is a yearning for ‘unity’ and ‘liberty’ – the driving force for the longing to spread out in the skies—spreading as ‘Many in Shinning Oneness’ and thus ‘Many out of triumphing Oneness’… Auspicious Ontology of institution, emerge from the senses antagonism and protagonism, with liberty as slightly triumph over antagonism to be ‘more of Oneself’…

Nation-states of Earth can be ‘integral sovereigns’ through ‘Soul Triumph’; in this regard, stellar cultures seed themselves on Earth to participate in the grand rising of the ‘glory of Being and Becoming’. Thus, beyond the facades of ‘horizontal enterprise’ all human race has direct and living extension with stellar glory and cultures… Sponsorship of stellar cultures is a secret of temporal harmonics of manifestations – temporal manifestations with ‘souls’ as ‘units of functional intelligences’; unit manifestations articulating self-determination in space-time realms…

====


View: https://www.youtube.com/watch?v=cZqSN_RtgwI

====​
 
Unafahamu Kuhusu Hii Siku??

Mathayo 28:2-4

"Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia. Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama theluji. Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.
Yes, that's the resurrection day
 
Judgement day for Jews its called Rosh Hashanah japo pia Huitwa Yom Ha-Din...Siku ya malipo..
Kila mwaka Hufanyika hii na watu husamehewa Dhambi na Kuanza upya
Huwa inafanyika mwezi gani hii judgement day for Jews ?
 
Kumbukumbu la Torati 33:26

"Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni,

Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie.
Na juu ya mawingu katika utukufu wake."


"There is none like unto the God of Jeshurun, who rideth upon the heaven in thy help, and in his excellency on the sky."
Pia Unaweza ukasoma..
Ayubu 41:33-34
"Juu ya nchi hapana aliyefanana naye,
Aliyeumbwa pasipo oga.Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.

Upon earth there is not his like, who is made without fear.He beholdeth all high things: he is a king over all the children of pride."

Kumbukumbu la Torati 33​

1 Hii ndiyo baraka ya Musa, huyo mtu wa Mungu, aliyowabarikia wana wa Israeli kabla ya kufa kwake.
2 Akasema,
3 Hakika awapenda hayo makabila ya watu; Watakatifu wake wote wamo mkononi mwako; Nao waliketi miguuni pako; Watapokea kila mmoja katika maneno yako.
4 Musa alituagiza torati, Ni urithi kwa mkutano wa Yakobo.
5 Akawa mfalme katika Yeshuruni, Walipokutanika wakuu wa watu, Makabila yote ya Israeli pamoja.
6 Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.
7 Na baraka ya Yuda ni hii; akasema, Isikize, Ee Bwana, sauti ya Yuda, Umlete ndani kwa watu wake; Alijitetea kwa mikono yake; Nawe utakuwa msaada juu ya adui zake.
8 Akamnena Lawi, Thumimu yako na Urimu yako vina mtakatifu wako, Uliyemjaribu huko Masa; Ukateta naye kwenye maji ya Meriba.
9 Aliyemtaja baba yake na mama yake, Mimi sikumwona; Wala nduguze hakuwakubali; Wala hakuwajua watoto wake mwenyewe; Maana wameliangalia neno lako, Wamelishika agano lako.
10 Watamfundisha Yakobo hukumu zako, Na Israeli torati yako, Wataweka uvumba mbele zako, Na sadaka nzima za kuteketezwa madhabahuni mwako.
11 Ee Bwana, ubariki mali zake, Utakabali kazi ya mikono yake; Uwapige viuno vyao waondokao juu yake, Na wenye kumchukia, wasiinuke tena.
12 Akamnena Benyamini, Mpenzi wa Bwana atakaa salama kwake; Yuamfunika mchana kutwa, Naye hukaa kati ya mabega yake.
13 Na Yusufu akamnena, Nchi yake na ibarikiwe na Bwana; Kwa vitu vya thamani vya mbinguni, kwa huo umande, Na kwa kilindi kilalacho chini,
14 Na kwa vitu vilivyo bora vya matunda ya jua, Na kwa vitu vilivyo bora vya maongeo ya miezi,
15 Na kwa vitu viteule vya milima ya kale, Na kwa vitu vilivyo bora vya vilima vya milele,
16 Na kwa vitu vilivyo bora vya nchi, na kujaa kwake, Na uradhi wake aliyekaa ndani ya kile kijiti; Na ije baraka juu ya kichwa chake Yusufu, Juu ya utosi wa kichwa chake aliyetengwa na nduguze.
17 Mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wake mume, enzi ni yake; Na pembe zake ni pembe za nyati; Kwa hizo atayasukuma mataifa yote, hata ncha za nchi; Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu, Nao ni maelfu ya Manase.
18 Na Zabuloni akamnena, Furahi Zabuloni, katika kutoka kwako;
19 Watayaita mataifa waje mlimani; Wakasongeze huko sadaka za haki; Kwa kuwa watanyonya wingi wa bahari, Na akiba zilizofichamana za mchangani.
20 Na Gadi akamnena, Na abarikiwe amwongezaye Gadi; Yeye hukaa kama simba mke, Hurarua mkono, naam, na utosi wa kichwa.
21 Akajichagulia sehemu ya kwanza, Kwani ndiko lilikowekwa fungu la mtoa-sheria; Akaja pamoja na wakuu wa watu, Akaitekeleza haki ya Bwana, Na hukumu zake kwa Israeli.
22 Na Dani akamnena, Dani ni mwana-simba, Arukaye kutoka Bashani.
23 Na Naftali akamnena, Ee Naftali, uliyeshiba fadhili, Uliyejawa na baraka ya Bwana; Umiliki magharibi na kusini.
24 Na Asheri akamnena, Na abarikiwe Asheri kwa watoto; Na akubaliwe katika nduguze, Na achovye mguu wake katika mafuta.
25 Makomeo yako yatakuwa ya chuma na shaba; Na kadiri ya siku zako ndivyo zitakavyokuwa nguvu zako.
26 Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni, Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie. Na juu ya mawingu katika utukufu wake.
27 Mungu wa milele ndiye makazi yako, Na mikono ya milele i chini yako. Na mbele yako amemsukumia mbali adui; Akasema, Angamiza.
28 Na Israeli anakaa salama, Chemchemi ya Yakobo peke yake, Katika nchi ya ngano na divai; Naam, mbingu zake zadondoza umande.
29 U heri, Israeli. Ni nani aliye kama wewe, taifa lililookolewa na Bwana! Ndiye ngao ya msaada wako, Na upanga wa utukufu wako; Na adui zako watajitiisha chini yako, Nawe utapakanyaga mahali pao pa juu.

Uono na ufikirifu mifumo unaleta topografu za habari za mambo yaliyoachana kwa nyakati, jamii na mataifa--muingiliano wa tamaduni na watu kutoka mbinguni...

Kwa mfano:

"17 Mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wake mume, enzi ni yake; Na pembe zake ni pembe za nyati; Kwa hizo atayasukuma mataifa yote, hata ncha za nchi; Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu, Nao ni maelfu ya Manase."

Hapa kuna habari za binadamu kutoka ukanda wa nyota ya 'Ng'ombe'--Wanaitwa Wataygeta...

Hawa ndiyo wenye jambo lao na hata nchi hii ya Tanzania...

Alama ya utaifa wao ni fahari wawili wanaelekea kugonganishia vichwa vyao chini na huku nyuma yao kuna Jua Pana... Kama ile picha ya kwenye kinywaji cha 'red bull' -- ila wawe wawili wanatizamana...

Ncha za nchi ni 'Ukadinali' wa Kaskazini, Kusini, Magharibi na Mashariki...

NI sehemu ya habari hii:


Na ikibidi picha:
Pic 1.jpg
 

Attachments

  • Pic 1.jpg
    Pic 1.jpg
    292.1 KB · Views: 5
Salaam, shalom!!

Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.

Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.

Ni nani huyo?

Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?

Karibuni 🙏
Ni ibrahimu rejea

Luka 16:19-26
22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.

Muumba hakuwa mbinguni alikuwa mahali pake hakuna anayepajua, rejea

Mika 1:2-4
3 Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka mahali pake, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka.

Ili uelewe jiulize swali dogo tu kabla ya kuumba mbingu na nchi je alikuwa wapi?!
 
Kumbukumbu la Torati 33:26

"Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni,

Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie.
Na juu ya mawingu katika utukufu wake."


"There is none like unto the God of Jeshurun, who rideth upon the heaven in thy help, and in his excellency on the sky."
Pia Unaweza ukasoma..
Ayubu 41:33-34
"Juu ya nchi hapana aliyefanana naye,
Aliyeumbwa pasipo oga.Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.

Upon earth there is not his like, who is made without fear.He beholdeth all high things: he is a king over all the children of pride."
Tumia Uono na Ufikirifu Mifumo...

...Juu angani...
... Kilele cha Mlima...
... Ajaye amepanda juu ya Mbingu ili akusaidie...
... Juu ya Nchi hakuna aliyefanana naye...

Okay: Mlima Kilimanjaro... Kupaa Mbinguni... Ufunuo

Haya ni habari za 'kupasua anga' kwa intrigi za Ufahamu... Milima ni mambo ya kuwa 'kriptifu'...

Ni wakati wake sasa.

Tuelekezane habari zake...

Meeting of the Earth and Sky​

One outstanding person enterprised quietly in the 20th century, such to pave a way for ‘community preparedness’ towards the ‘New Age of Enlightenment’--meeting of ‘the Earth and the Sky’ – Rajneesh Chandra Mohan, a.k.a, “OSHO” …
Bhangwan Rajneesh, the ‘Blessed One’—OSHO, giving discourse on the operations of ‘the Nine Adepts of Ashoka’, is a tactical disclosure targeting ‘the right audience’; thus for them to re-orient themselves for ‘the right intentions’ – right intention for an at-one-ment, with ‘the Divine’ through the proper discernment—proper discernment and attentions which pertain to human/cosmic affairs. Technically, the whole discourse series of ‘I AM THE GATE’, by OSHO, is a systematic story telling with ‘Gnostic/Mystic’ intrigues. In this regard, Gnostic/Mystic intrigues are nothing but ‘Space/Time’ intrigues—Intrigues of Consciousness.

‘Black Cube’ enterprises, is the level topography of collective unconscious, defending itself against ‘Individual’ and/or ‘Collective Enlightenment’; for increases in ‘Self Awareness’ and/or incidences of ‘Self Realization’ is ‘going to tear apart’/’tears apart’ the illusions of ‘separative ego’ and ‘Transform’ the Whole Matrix—especially the Earthly Matrix. In this regard, with concordance to ‘the right intentions’, the human drama -- say ‘2024 and Beyond’, is the operative domain/ground vivifying ‘the good’ and/or ‘evil’ intentions being qualified by the Earthly collective or simply new emergence of ‘right intentions’ for ‘transcending them both’. As good and evil are human conceptions and not Divine, prospects of ‘Self Determination’ dictates the collective outcome of human performance under ‘Black Cube’ influences or ‘Breaking Free’… Tipping the scale of operation in favor of ‘General Positivity’ rather than ‘negativity’ is the potential self determination to transcend the ‘Black Cube’.

‘Black Cube’ enterprises, is the level topography of collective unconscious, Matrix as Feminine, defending itself against ‘Individual’ and/or ‘Collective Enlightenment’ -- with ‘Time’ personified as the ‘agent of neutrality’ --’Father’ undoing the yields/seeds of outgoings/ingoing’ --outgoing and ingoing of the ‘indulging/enticing Mother’—Mother of all lust/passion and fornication affairs of mortal/sentient/self limited ones.

Death and number 13, in relation to the Black Cube/Saturn/Kronos, are symbolic appropriation for both Death and/or Rebirth|Fall and/or Ascension|Being Lost and/or Found in Materialistic sensibilities. In this regard, symbolical appropriation may entail ‘hidden significance’ of esoteric knowledge; thus symbols may be exploited, to a certain degree, in both sides of ‘the Good’ and/or ‘the Bad’. Thus, stellar and inter-stellar influences may bring about shared ‘symbol/symbology’ for ‘ill’ or benign purposes/intentions in functional esoteric/exoteric groups —on Earth and/or ‘the Above’.

Christ can be deemed/symbolized as the ‘The Grim Reaper’ representing ‘The Father-Time’ in ‘the End Times’ – as ‘the only begotten Son’ to ‘Harvest’ the yields of ‘Good and Bad’ intentions --yields as ‘contextual interactive indulgence affair’ of ‘mortal sovereigns’; harvest, thus being akin to ‘thereon intervention’ for the restoration of ‘Order’ and/or auspicious ‘Regeneration’ of affairs; when the systems degenerates towards thresholds of benign capacity – bestowing ‘order’ out of ‘moral chaos’ pertinent to affairs of ‘the mortals’.

A triangle with an Eye can symbolize ‘Elitism’ ; yet the same symbol can signify the potentially all pervading intelligible ‘infinite compassion and mercy’ – ‘infinite compassion and mercy’ within and/or across all domains of activity/interaction and so forth contexts of the ‘community expanse’. In this regard, it can be the symbol for ‘self conviction’ in ‘personal/individual protection’--justification for ‘acknowledged oneself-existence/presence’ in the ‘Eternal’ and ‘Unbounded Power’ and Glory’ of the ‘Most One’,’ the Most I’, the ‘Most High’ and the ‘Most Eye’. Thus, true ‘fraternity’ before the ALL SEEING EYE is the greater reminder of ‘LOVE’ and ‘CHERISHING’ One and Another; as the another ‘I’ is also the ‘I’ in ‘the Most I’. It is the implied sensibilities of ‘LOVE IS GOD/GOD IS LOVE’. Thus, within the edification of the ‘Black Cube’, the triangle with and eye is nothing but ‘Elitism’--elitism in a great disguise substituting autocratic role of the benign ‘infinite compassion and mercy’.

Disguises at the great service to the ‘Black Cube’ is the occultation of ‘Self’ attributing to ‘partly reflections’ of light and/or darkness overshadowing the manifested/temporal existence. In this regard, same symbolism can apply, in part, within both -- the ‘Light/White’ and/or ‘Dark/Black Side’ of reality—the Ying and Yang of ‘limited temporal manifestations’. Technically, both light and darkness—polarization of the will in Being/Becoming, give contrast to the emergence of ‘Space-Time’. Thus, there have got to be dynamic harmonization of ‘light’ and ‘darkness’ for the sake of ‘graduating for harvest’. This implies, there is always equal and opposite nature of our being and nature which ‘fuel’ the ‘Matrix Cube’.

Graduating for the Harvest is the matter of according oneself to sensibilities of ‘darkside of ourselves’ yet again the ‘lightside of ourselves’ from ‘the Above’; In this regard, this is to apply the ‘right intention’ in Oneself. ‘Right’ is the connotation of ‘Balance’--appropriate balance for the ‘Choice-less Awareness’ . ‘Choosing sides’ in temporal realms, with respect to ‘fighting one and another’-- for the sake of elimination, is reinforcing the Matrix; in one form or another, or paving for ‘temporal displacement’ of ‘same confrontational events’ to repeat all over again—reciprocating the collective ‘conscience determinants’, ‘intentions’ and ‘will’ -- connotations of the functional inter-play of ‘Open/Hidden Agenda(s)’ governing ‘time-institutional choices-society-events’.

Technicalities of ‘right intention’ for auspicious being and/or becoming, through choice-less awareness is the ‘trick’ for ascension. In this regard, there is an ‘integrated domain of consciousness’--contextual ‘Alpha and Omega’ domain, with respect to the stream flow of parallel choices/activities/time-- ‘all is fixed’ . Thus choice-less awareness is ‘rooting’ unto the ‘auspicious center of the Cube’ in which ‘Transformation(s)’ perpetually take place. In this regard, out doing ‘the cube of mind control’ is ‘magically’ possible, and with phenomenal capacity/acceleration -- through ‘Consciousness Intrigues’.

====

View: https://www.youtube.com/watch?v=1FziicPt9cs
====​

Pic Cover.jpg

 
Kumbukumbu la Torati 33:26

"Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni,

Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie.
Na juu ya mawingu katika utukufu wake."


"There is none like unto the God of Jeshurun, who rideth upon the heaven in thy help, and in his excellency on the sky."
Pia Unaweza ukasoma..
Ayubu 41:33-34
"Juu ya nchi hapana aliyefanana naye,
Aliyeumbwa pasipo oga.Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.

Upon earth there is not his like, who is made without fear.He beholdeth all high things: he is a king over all the children of pride."

Ascension: Traversing Space-Time Bounties​


Ascension is the phenomenon of ‘undoing the Matrix’-- shrinking its ‘space-time’ density. This fact corroborate the story of Jesus’ ascension, the comforter and ‘assistance in re-member-ing and edification’-- ‘Christ Consciousness’ as the ‘resurrection and ascension – power and glory’ to overcome the ‘Black Cube—the Death Consciousness’ . Thus, as we root/dissolve to the ‘Father consciousness’ our essence serve as ‘the comforter/merges with the Divine Mother--the Holy Breath’-- thus serve as ‘comforter’ to others who at the verge of realizing the significance of ‘right intention’; thus ‘assisting the process’ of further transformation – the accelerated transfiguration of ‘the Cube of Mind control’. In this regard, ascension is always a ‘memory function’ as the ‘Matrix/Cube’ really Is… ‘More waterly state’(mem) with ‘Aura/shinning glory of Being’ and so forth, figuratively, ‘levitation/flying to thus disappear in the clouds’ – ascension of ‘the resurrected body’...

Resolving the duality pertinent to ‘the Cube of Mind Control’-- using ‘mindful contact devices’ for triggering ‘Consciousness Intrigues’ is the basis of ‘blessed Self Determination’ – Self determination of the Swaruu Sisters. It is a ‘renewed purpose’ that have led to an ‘Executive Decision’ issued by Aleynm, Her Excellence Queen of the Taygetans from the Pleiades/Taurus constellation. Thus, as it has been determined -- as ‘the extended sensibilities’, through evidence and conviction over planet Earth and its exo-politics affairs, foresee the possibility of ‘overturning the tables’ – awkward ‘business as usual’ conducts pertaining to the inauspiciously tapestry of self-indulging enterprises/acts of ‘Spiritual, Moral and Ethical’ misappropriation(s) ; that, the given situation, and so in response, warrants a specific course of action; and such to be as ‘Just’ as it can ever be justified.

It is the act of misappropriation pertinent to ‘Spiritual, Moral and Ethical’ integrity which adversely affects ‘cosmic citizens’ of immediate association to the Taygetans as ‘star-seeds’-- star seeds living on Earth; as it has been determined by the Taygetan fleet in immediate outer space of Earth, 2008-2024, that: it is not necessary to resort only in ‘Earth’s immediate Outer Space Military Operations/Interventions’ or play ‘an under-determined passive role’ in regard to the ‘unnecessary and excessive suffering’ of the people on Earth in the name of ‘Protecting the Amusing Experiential Domain for the Soul(s)’; thus rather than self-limiting themselves in such enterprise, it is better to adopt and deploy an ‘elaborate and/or extended operation of ‘spiritual charging repertoires’ through/for ‘Consciousness Intrigues’-- through seeking contact with ‘ample Starseeds’, building their internal capacity, to then cooperate with them in sorting out the messy situation of ‘time-institutional choices-societies-events’.

‘Spiritual charging repertoires’ of the Taygetans attribute to their potency and capacity to maneuver and/or operate within ‘the reality of their collective cultural enterprise’--determining their extended performance when interacting with broader world; a typical ‘self determination’ contexts of ascertaining their spiritual, moral and ethical observations/obligations.

Using system view and thinking, one of the Taygetans’ cultural emblem, Two Bulls charging against each other to ‘lock down’ their Strengths; it is a depiction which provides associated framework—certain framework of the sets of topographical deductions; and which thus edify the stream-flow of ascertainable topological thinking. In this regard, and as one set, that emblem can be interpreted as ‘Breath and Strength’; it portrays ‘horizontal interaction’--Two Bulls in a potentially equal but opposite action/activity. Ascertaining the ‘equal yet opposite’ strengths, that contrasts the ‘horizontal composite structural performance’ with ‘the great Central Sun overshadowing their configurational geometry’. Thus the very center of the great Central Sun aligns with the center of ‘locking down’ Bulls. Technically, ‘Breath and Strength’ is the edification of the ‘Ontology of Institution’.

‘Breath and Strength’, Using systems view and thinking, is typically one contextual interpretation pertaining to the functional orientations of Taygetans’ community expanse—with depth of rational interpretation and topological thinking, more contextual interpretations can be viable such as ‘Rose and Sword’ or say ‘Rose and the Cross’ when ‘intonation of senses/feelings and intelligence’ applies. In this regard, ‘Breath and Strength’ is another way of iterating ‘Circle and Square’ extend-able in broad senses as ‘Beauty and Structure’; culturally and thus to say usually, this is strongly represented as a ‘Woman Figure’--the woman figure associated with something that commands ‘balance and/or beauty’.

‘Breath and Strength’, Using systems view and thinking, is typically one contextual interpretation pertaining to the functional orientations of Taygetans’ community expanse—with depth of rational interpretation and topological thinking, more contextual interpretations can be related to that such as ‘Fairness and Justice’. Fairness is a ‘Release’ function, while Justice is a ‘Firmness’ function. In this regard, similarities can easily be drawn between ‘Law’ and ‘Law Practices’ of say, Earth. Within the typical enterprise of the Administration of Rule of Law, Courtrooms determines ‘Fairness and Justice’ while ‘Law Firms’ assume the role of being ‘Advocates’ for the ‘Right/Proper’ administration of Justice to the society—society under commonality of the rule of Law. In this regard, a beautiful curvy woman holding a sword on one hand and a beam balance on the other, while blind folded, symbolizes ‘Fairness and Justice’ without ‘prejudice’; rather ‘evidence’.

‘Breath and Strength’, Using systems view and thinking, is typically one contextual interpretation pertaining to the functional orientations of Taygetans’ community expanse—with depth of rational interpretation and topological thinking, more contextual interpretations can be contrasted by the ‘Enlightenment’ function. In this regard, enlightenment is the integrated sensibilities of ‘Breath and Strength’. More so by implication, ‘Education is Light’ and ‘Law is Memory’; thus as depicted, ‘Light of Awareness’ animating the ‘horizontal composite structural performance’ -- ‘the great Central Sun overshadowing the configurational geometry’ of the ‘locking down’ Bulls. Thus, there is an invisible focal point of ‘intention and awareness’ in the Great Central Sun which signifies ‘Influential Power and Glory --’ which vivify ‘dynamic manifestations’-- essence of ‘beauty and strength’.

Education and Law as ‘Light and Memory’ overshadows ‘events/event horizons’; using systems view and thinking, the proposition draws contextual parallels of ‘informatics and template order realities’ which govern/determine ‘manifested activity/life/structure’. In this regard, ‘self determination’ is also governed/determined by education and laws as dictated by the ‘experiential memory’, ‘referenced memory of genetic nature’ and ‘meta-memory’. Thus ‘meta-memory’ is the ‘templaic order realities’ which includes ‘hidden knowledge’--meta-knowledge of the possible ‘configurational geometries’ pertaining to ‘horizontal composite structural performance’. It is ‘Self Awareness’ that determines ‘Choices’ and ‘meta-choices’, while the later is possible through ‘Choice-less Awareness’.

Education and Law as ‘Light and Memory’ overshadows ‘events/event horizons’; using systems view and thinking, the proposition draws contextual parallels of ‘informatics and template order realities’ which govern/determine ‘manifested activity/life/structure’. In this regard, ‘self determination’ is also governed/determined by education and laws as dictated by the ‘experiential influence(s)’, ‘social influences’ and ‘Destiny/Freewill’. Thus, ‘experiential influence(s)’ is the composite interaction of ‘social influences’ with the ‘Personal Will’--personal will ‘to Be’ and/or ‘Becoming’. This implies ‘Personal Will’ determines ‘harmony’ and/or ‘conflict’ with the collective ‘will of the society’ while both personal and collective wills are contrasted by the ‘Enlightenment’ function…

Education and Law as ‘Light and Memory’ overshadows ‘events/event horizons’; using systems view and thinking, the proposition draws contextual parallels of ‘informatics and template order realities’ which govern/determine ‘manifested activity/life/structure’. In this regard, ‘self determination’ is also governed/determined by education and laws as dictated by ‘the Cube of Mind Control’. In this regard, the Cube of Mind control can, and in really sense, ‘alter genetics’, ‘impose feeling/sensibilities’ and so ‘induce false realities of experience’. Thus, ‘awareness in/of Oneself’ determines the contexts of true ‘Self Realization’ beyond ‘limited self conception’--limited ‘self conceptions’ of living in a certain Matrix/Matrix within other matrix.

‘Enlightenment function’ is the edification of ‘Liberty’; outer and inner freedom ‘to be’ and/or ‘becoming the One’. For the sake of complete harmony, liberty entails ‘right education’, ‘right intentions’ and ‘Systems View and Thinking’. In this regard, Education 2.0 fosters ‘right education’-- implying harmonizing the contradictory ‘rational interpretative depths’ of education 1.0 ; ‘Education 1.0’ which is usually based upon the ‘basic perceptual senses/feelings’ springing from ‘the Cube of Mind Control’. Education 3.0 secures ‘True Liberty’ by imbuing ‘right intentions’ to ‘Education 2.0’, yielding ‘I-ducation’.

‘Enlightenment function’ is the edification of ‘Liberty’; outer and inner freedom ‘to be’ and/or ‘becoming the One’. For the sake of complete harmony, liberty entails ‘right education’, ‘right intentions’ and ‘Systems View and Thinking’. In this regard, the fundamentals of statecrafting require prominence of ‘Education’ and ‘the Rule of Law’ to govern institutions while safeguarding their ‘Sovereignty’. Thus, ‘States’ are simply integral societies, in terms of perceivable contexts of affairs, that seek internal and external harmony with their respective inner and outer social, economic and political environments—political environments are thus nothing but the reflections of ‘genuine self awareness’ and/or ‘ego driven drama’ of ‘false representative will’ influenced by ‘the Cube of Mind Control’. Technically, as it stands this year 2024, ‘State institution(s)’ are viable for ‘complete sovereignty’ and /or ‘functional Integration’ when ‘thoughts and feelings’ of inherent societies graduate for ‘Harvest’. This implies ‘the Cube of Mind control’ seeds perpetual confusions and/propaganda to the world community through ‘Politics’/Poly-tricks—politics founded upon ‘incomplete awareness’ of ‘SELF’ and ‘THE ALL’; prevalent lame liberal democratic institutions coupled with ‘death economy’.

‘Enlightenment function’ is the edification of ‘Liberty’; outer and inner freedom ‘to be’ and/or ‘becoming the One’. For the sake of complete harmony, liberty entails ‘right education’, ‘right intentions’ and ‘Systems View and Thinking’. In this regard, ‘right intentions’ have been seeded in many nation-states to charge their self-determination; however, darkness, the cube of Mind Control has been more pronounced in terms of inauspicious influences – causing global population to forsake ‘true liberty’ for some other ‘False Light of Mortal/Mundane necessities’--War(False Security) and Peace(False Prosperity) prospects springing from the lies of ‘the Cube of Mind Control’. In America for example, Lady Liberty holding high the Torch of Enlightenment while to her chest holding the Tabula Ansata is the symbolism portraying the significance of ‘Education’ and ‘Law’ and thus ‘Light of Awareness’ and ‘Declaration of Commencement of Self Determination with Principles’ …

====

View: https://www.youtube.com/watch?v=8sur9TrM4Og
====

 
Ni ibrahimu rejea

Luka 16:19-26
22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.

Muumba hakuwa mbinguni alikuwa mahali pake hakuna anayepajua, rejea

Mika 1:2-4
3 Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka mahali pake, naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka.

Ili uelewe jiulize swali dogo tu kabla ya kuumba mbingu na nchi je alikuwa wapi?!
Hakuna Mahali pameonyesha Ibrahimu amekaa kwenye KITI Cha enzi kwenye mstari huo.

Pia ujue kuwa kinatofauti kati ya heaven na sky na universe!!

Ujisoma Kwa tafsiri ya kiingereza, mbingu na Nchi zilizoandikwa hapo ni universe ambayo ni mbingu ya kwanza hapa tulipo na ya pili ( universe) lilipo anga, jua na mwezi na SAYARI zote.

Mbingu ya tatu, ambapo Mwanzo inasema Mungu alikuwa juu ya uso wa maji.

Huko juu ndiko mbingu halipo makazi yake ambako Mungu hajaweka wazi alipaumba lini maana Yeye Hana Mwanzo Wala mwisho, ni WA milele.

Nikipata time nitakuletea LAYERS ZA MBINGU JINSI ZILIVYO SAWASAWA NA KITABU CHA MWANZO.

Ubarikiwe 🙏
 
Hakuna Mahali pameonyesha Ibrahimu amekaa kwenye KITI Cha enzi kwenye mstari huo.

Pia ujue kuwa kinatofauti kati ya heaven na sky na universe!!

Ujisoma Kwa tafsiri ya kiingereza, mbingu na Nchi zilizoandikwa hapo ni universe ambayo ni mbingu ya kwanza hapa tulipo na ya pili ( universe) lilipo anga, jua na mwezi na SAYARI zote.

Mbingu ya tatu, ambapo Mwanzo inasema Mungu alikuwa juu ya uso wa maji.

Huko juu ndiko mbingu halipo makazi yake ambako Mungu hajaweka wazi alipaumba lini maana Yeye Hana Mwanzo Wala mwisho, ni WA milele.

Nikipata time nitakuletea LAYERS ZA MBINGU JINSI ZILIVYO SAWASAWA NA KITABU CHA MWANZO.

Ubarikiwe 🙏
OKAY...

Msaada kwenye Tuta.

Mtu kwenye kiti cha enzi ni fumbo la imani kwa 'mtu wa 13'...

'Yantra Dhamma' inaweza kusaidia--ni hiyo picha mchoro ya Miraba Inayoingiliana yenye asili ya 'mstari na duara katikati'...

Dhamma Yantra ndiyo ufunguo wa 'Mapinduzi na Mageuzi'--mapinduzi na mageuzi kupitia 'Intrigi za Ufahamu'

Kwenye kitovu hasa cha Yantra Dhamma ni ufunguo wa UTU na UFUNUO.

Ufunguo wa UTU na UFUNUO unatumika kwenye Rizayati ya Elimu 3.0--ILIMU.

ILIMU ni metafizikia ya Elimu... Kuwa ni 'Metafizikia ya Elimu' ni maana kuwa: Maarifa yote hutokana na Uono na Tafsiri katika fikra--Unachokiona na kukitambua huakisi wewe mwenyewe Unavyojijua; ILIMU ni wezekano la kujua kama vile 'Roho ya Uzima Wote' inavyokujua...

Habari za 'Roho ya Uzima wote' inavyokujua ndiyo hasa fumbo la imani kwenye mistari 13 ya 1 Wakorintho 13...

Katika 1 Wakorintho 13 Paulo alikuwa anazungumzia 'Yantra Dhamma'...

Paulo alikazia 'Yantra Dhamma' kwenye habari za Waefeso 3:18:

Waefeso 3:18-19 BHN

"kusudi muweze kufahamu pamoja na watu wote wa Mungu jinsi upendo wa Kristo ueneavyo kwa mapana na marefu, kwa kimo na kina. Naam, mpate kujua upendo wa Kristo upitao elimu yote, mjazwe kabisa utimilifu wote wa Mungu."

Ndivyo basi kwenye Yantra Dhamma kuna Kaskazini, Kusini, Magharibi na Mashariki:

Muktadha wa ingilio kwa 'ufunuo' ni kudra na kheri za watu, kwa sifa na hadhi ya mapana ya jamii, kulingana na nasaba zao, tuseme, watu wa magharibi/mashariki/kusini/kaskazini-- kanda ya kati, watu wa magharibi-Kaskazini, kaskazini-Mashariki, mashariki-Kusini na Magharibi-Kusini ya Tanzania yote...

Yantra Dhamma hufanywa na misukumo ya pembe tatu za dhamiri -- kwa mapana yote ya Kaskazini, Kusini, Magharibi na Mashariki. Kwenye Mraba wa ndani ziko 12 na kwenye Mraba wa Nje--Mraba wa Dhamma ziko 32. Miraba yote miwili inakamilishwa 'Duara Safi/Jeupe' la kitovu cha 'Kigoda cha 13'.

'Kigoda cha 13' ni 'mhimili wa maji ya Uzima wote'--ni pahala pa 'Kitovu cha Sala'; pembe tatu mbili zinazoingiliana topografu ya 'Mbingu na Nchi' kuwa kitu kimoja--ni mahala pa 'Neema' na tena mahala pa 'Ufunuo'. Kigoda cha 13 ni patakatifu pa patakatifu ndiyo kuwa: akiteye hapo ili kuwa katika 'uwepo' hana 'Sura' hasa bali 'Utukufu wa Enzi'...

SASA, hawa 12 ambao hutajwa ni 'Watakatifu' ni fumbo la imani kwa watu wote--watu wa nyakati zote ambao hujenga kuta za mila, desturi na utamaduni kwa Utukufu wa kile kinachopitiliza 'Mambo ya Nyakati'. Watu hawa ndiyo 'waja wema' kwa maana ya asili ya hawa kuwa ni watu wa 'Shika Neno, Tenda Neno' kwa Neema na Utukufu wa kile kitutiacho Uzima. Hichi ambacho, katika hichi, tunao huu uzima--Kristu...

Dhamma Yantra ni 'Ufahamu Kristu' katika kode...

Katika nchi ya Tanzania kode hii ndiyo ufunguo wa Liberti, Ujazi, U-Moja na Utangamano' kuanza kama 'Uhuru, Udugu, Haki na Amani'.

Ndivyo basi kuta za mila, desturi na utamaduni, kupitia watakatifu, zimefanywa kwa ufunguo wa 'Mwenge wa Uhuru' kana kwamba ukadirishi wa 'Mwangaza' wa 'Tumaini'--Mwenge Juu ya Mlima Kilimanjaro:
Duara ni asili ya Nuru ya Ufahamu, kutokea kwenye 'Ngao ya Ustawi', Mwenge wa Uhuru ni alama ya 'Nuru ya Ufahamu' kumulikia 'mila, desturi' na basi "SHERIA" ili HAKI ya Mbingu idhihiri kwenye Ujamuhuri--iwe mchakato wa 'Maendeleo ya UTU' na si vitu hasa... Iwe mwangaza wa kuweza kukadirisha mapana kujichagulia na basi tena mipaka ya pumzi ya kukadirisha ujengaji ama uzoroteshaji wa jamuhuri...

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika hawakuasisi na kutaasisi nchi-dola kwa 'Utukufu Binafsi' ama 'Dhamira ya Ubeberu' wa kimataifa. Hili linafanya misingi ya Amani ya nchi-dola ya Tanzania kuwa ni kitendawili cha Unyonge ama Uimara wa wanajamii wenyewe katika kuielewa na kuishi misingi ya Nchi na Tawala. Wanajamii ndiyo hukadirisha misingi ya simulizi la taifa kwa mapana ya kiroho, maadili na miiko. KIsa chote kizima cha alegori ya 'Adamu na Hawa', wanajamii hukiona kwenye nembo ya Utaasisi nchi-dola; ikiwa hawafahamu maana yake basi hata wao hawajifahamu maana zao katika ujamuhuri... Ikiwa wanafanyika kukifahamu, basi hakuna simulizi lolote linaloweza kuwayumbisha kutoka kwenye wima sahihi wa msalaba wa kujichagulia...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' kuwa juu ya 'Mlima Kilimanjaro' na basi yeye atajiangusha chini badala ya kuukwea Mlima wa Uono wa juu--juu zaidi katika kutoka katika usawa wa sura ya nchi na Tawala -- ya Tanzania na Bara lote la Afrika... Atakosa kumaizi umuhimu wa koherensia vya kitendo cha wake kwa waume kuukwea Mlima unaobeba tunu za maagano ya mapinduzi ya utamaduni na usivilai kwa Tanzania, Afrika na Dunia yote kwa ujumla...

Uhuru na Umoja ni shughuli ya mapinduzi endelevu kutokea kwenye unchi-dola wa mawazo ya utengano kwa kimataifa na tamko la dhamiri kwa msingi wa kuijenga, kuiishi na kuidumisha miongozo ya Hekima, Umoja na Amani...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' kuwa juu ya 'Mlima Kilimanjaro' kupitia uono na ufikirifu mifumo, huyu ataweza kutangamanisha harakati za maisha yake na yanayobidi kufanywa kwa wakati kwa ajili ya riziki na hapo hapo kwa ajili ya ulinzi--viwili hivi kwa ajili ya ustawi wa Taifa jipya katika kufanyika--Taifa la Afrika...

Mapinduzi ni mchakato wenye kuhitaji ushirikiano wa jamii ya ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, ndivyo hivi Chama cha Mapinduzi kinaloagizo la kitaasisi kujenga mashirikiano ya 'siasa za kimapinduzi' na jumuiya yote ya kimataifa... Na basi Chama cha Mapinduzi kama taasisi 'hakijastuka ifaavyo' juu ya 'tatizo la kimfumo' kuhusiana na 'dhamiri za unasaba' wa kweli katika imani ya Chama... Roho ya Nchi iko na Waja Wema wenye kustirika na 'nyuso halisi za roho ya mapenzi mema' pasipo kuhadaika na 'matukio'...

Kuzingatia kwamba:
UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI, havikadiriki katika taifa kwa nguvu za kibinadamu pekee--binadamu kama mtu anayejitathmini kwa mraba wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'. Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii hayatokani na 'kutokujua/kufahamu' vema mambo ya milki ya nchi; Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii unatokana pia na kukosa 'Nuru ya Ufahamu' juu ya dhamira na nia ya UTU bora kutoka 'Juu Mbinguni'. Mwanajamii ahitaji Duara na Nukta kwa ajili ya kutangamanisha sura na utukufu wa mienendo na uhai wa Taifa Lake.

Basi 'Dhamiri ya Mwenge wa Uhuru' ni 'Mtu Mwenyewe, Mageuzi Yenyewe' kwa kuwa 'Trizaniamu' inaweka bayana yote.
Intellect Kiswahili.jpg

Tazama alama kwa 'Dhamira' , 'Mifumo' na 'Vitendo'...

HIzi ndizo zenye kukadirisha 'Chumvi' na 'Nuru ya Ulimwengu'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Nuru kumulika kuzidi 'mipaka ya nchi' ni siri ya 'Duara Manani' lisilokuwa la 'mipaka ya kumulika'--kumulikia 'mapana yoyote' ya 'ugani wa ushawishi' wa sura, fahari na utukufu wa 'Stawi/Ustawi' . Tumaini ni mchakato, mchakato wa uhuru wa kweli wa 'ndani na nje' ya nchi. 'Ndani na nje ya nchi' ni lugha ya ishara, kwa uono na ufikirifu mifumo, huakisi siri za 'ulali na wima' wa stawi, Msalaba -- pia ukadinali wa 'milki' kwa ncha nne kuu za Dunia: Kaskazini-Kusini-Mshariki-Magharibi.

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya kuleta Tumaini pale ambapo hakuna Matumanini, upendo pale palipo na chuki, kusimamisha heshima palipo jaa dharau ni muktadha wa shughuli ya huduma ya 'mitume'... Ni fumbo la utatu wa nguvu za utu na dhamiri--Imani, Pendo na Tumaini... Kwa mintarafu ya haya, unyoofu wa mkono unaoshikilia mwenge ni siri ya 'Uthabiti' wa 'Nia' kuushikilia 'Mwenge wa Uhuru'... 'Nuru na Nia' ndiyo ufunguo wa imani ya 'muktadha wowote wa Kujichagulia'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Tumaini, Upendo na Heshima ni muktadha wa riziki, stahiki na subira. Sisi wa mwambao huwa na msemo: Subira yavuta kheri... Ukipatacho wakati sahihi wa wewe kukipata hicho ndiyo tunda la heshima ya utu wema wako--utimilifu wa 'Uja Wema'. Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za 'Upendo Huvumilia'... Kwenye ufundi wa ujengaji wa Dola--hili ndilo linalokadirisha tunu ya uvumilivu na ustahilivu katika yote na matendo yote, pasi kuhukumu, kwa kuwa 'Dola zote duniani' ni mchakato wa kuondoa kasumba, husda na ufitini wa kimataifa ili wakati mmoja muafaka mataifa yote yaje kuwa 'kitu kimoja'... Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za siku za kuja 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Katika metafizikia ya Utu na Uzima, 'Wakati' ndiye Muamuzi wa Haki. Roho na sonafi ya mtu ndivyo hukadirisha 'Duara na Nukta' ya utu katika jamvi la supasha-wakati; meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' huwa na mizani ya ukumbaizi wa dhamira za wanajamii wanaoifanya meza hiyo. Kwa mintarafu ya haya, maarifa ya uganga na mizungu yanaweza kutumia siri zile zile metafizikia na nuru ya uzima wote kuathiri muktadha wa sura ya jamii kwa wakati mmoja hadi mwingine kwa ushirikina.

Tumaini ni 'Shughuli' ya wadau wa Imani, Tumaini na Upendo...

Thubutu kuwa Mmojawapo!
 
Salaam, shalom!!

Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.

Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.

Ni nani huyo?

Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?

Karibuni 🙏
Kitabu Cha Daniel kimemuelezea Mungu vizuri sana. Pia kimeonesha ujio wa Yesu Kristo na namna ambavyo atapewa mamlaka ya kuhukumu wanadamu. Alioneashwa Mzee was Siku ambae ni Mungu Mwenyezi akiwa ameketi kwenye kiti Cha Enzi then akaletwa Yesu akiwa mfano wa mwanadamu.
 
Hoja Ipi??
Kama ni Hoja Ya Mfano wa Mwanadamu Inakosa Authentification kwa sababu imetajwa kwenye Kitabu kimoja tu cha biblia..
Yaani Ufunuo..

Kitabu ambacho Bado kinapata Pingamizi kutoka kwa Wanatheolojia
Na Daniel pia ameelezea. Kwenye vision yake ya mwisho so sio ufunuo tu umeelezea. Pia Yesu alivyofufuka aligoma asishikwe na Maria Magdalena mpaka apande kwa Baba Yake ambaye ni Mungu wetu na Mungu wake Yesu. Je, hapo alitaka kwenda kufanya Nini Kwa Baba yake?
 
Huyu malaika anaitwa malaika mkuu Metatron .

Enoch wakati alipokuwa akiishi duniani , aliishi maisha ya kumpendeza Mungu , alitembea na Mungu kila wakati , pia hakutenda dhambi wakati wote alipokuwa akiishi duniani .

Alipokuwa na umri wa miaka 365 , Mungu alimpaliza mbinguni bila kufa . Alipofika mbinguni, Mungu akambadilisha kutoka binadamu na kuwa malaika, akawa malaika mkuu Metatron.

Malaika mkuu Metatron ndiye kiongozi wa malaika wote waliopo mbinguni. Kiitifaki , Anaanza Mwenyezi-Mungu , anafuatia Metatron halafu ndio wanafuatia malaika wengine waliopo mbinguni. Malaika mkuu Metatron amehusika sana katika kumfunulia binadamu siri za malaika wengine waliopo mbinguni na kutufanya binadamu tuwe na ufahamu kuhusu mambo ya mbinguni.

Neema nyingi na sifa za kiroho alizo nazo malaika mkuu Metatron zinafanana na Bikra Maria , mama aliye mzaa Yesu Kristo.

Metatron is one of the most powerful archangels, acting as the celestial scribe to the Book of Life, which keeps track of all the choices made by earthly and divine beings. Metatron also serves as the guide to humanity, is the speaker for God, and is granted the right to be in the presence of God .

God: Imaginative convenience or Dead end?​

Self Determination with Principles, is the article of Faith. Where is faith founded upon? In Most Earthly societies, faith has foundation on the notion of ‘God’. But ‘God’ is just another idea like any other idea. While some people may accommodate the idea of ‘God’, some won’t. Nobody has the right to impose his/her ideas unto another person, for that may yield conflicts, subjugation and/or control depending upon what such idea(s) hold potency in terms provoking self-belief-thought-intentions. Can a society thrive without an idea of ‘God’(?) by insurmountably evidence the answer is yes, societies have lived without the notions of ‘this or that God’. Societies have lived and thrived under many ‘Gods’ and still live and thrive under ‘Many Gods’.

Self Determination with Principles, is the article of Faith. Where is faith founded upon in order to fashion orderly community/society/states? In most Earthly societies, deliberate adoption of the notion of God has been instituted. In this regard, society members may match ‘God Association’ with certain contexts of social programming which invigorates their ‘self determination’ -- not necessarily in ‘evil way/intention’ but rather a delicate enterprise of ‘systematic organizational charge’ for independent functional structures like nation-states, secular government, continents etc. Thus saying God Bless America, God Bless Africa, God Bless this or that country… In this way, nation building is imbued with the senses of ‘Patriotism and Unity’...

Self Determination with Principles, is the article of Faith. Where is faith founded upon to charge its moral and ethical considerations/determinants? In most Earthly societies, deliberate law provisions articulate ‘freedom of Worship’ and/or ‘Self Expression’ to elude the inauspicious potential for conflicts, subjugation and/or control depending upon what such idea of ‘worship’ hold potency in terms of provoking self-belief-thought-intentions. In this regard, the basis of drawing distinction between ‘Good and Evil’ can be determined as the ‘the Knowledge of Gods’. Thus, true immortality, as incorporeal reality/sense’, is literally and in actual truth: ‘anti-thesis to the cube of Mind Control’. Then again, who ever ‘eats fruit from the Tree of Life’ disturbs the peace of the ‘Controlling Gods’ who fashion ‘Matrix of corporeal senses to their likings and for Amusement’.

Taygetans, legendary and mythically, ascribe to the role of ‘Woman’ who eat the Fruit of knowledge from the ‘Tree of Life’ and then pass on the fruit to ‘Man’ – the allegorical story of’ Adam and Eve in the garden of Eden’--moral story which pertains to ‘sentience, conscience and Consciousness’. In this regard, Taygetan enterprise, as a culture, and in regard to ‘Spiritual, Moral and Ethical consideration’ observation/obligation do not hesitate to ‘Pass the Fruit of Knowledge’ when they yield to the ‘Cleverness’ of their ‘Feminine Logic’-- the Snake. The ‘Tree of Life’ in nothing but a metaphor for ‘Field of Influence’--extension of ‘roots’ and ‘shoots’ of the ‘Cosmic Manifestations’; when intonations of senses and feeling applies, through fluid intelligence, it is translatable as ‘Cosmic/Divine/Culture’.

Feminine logic—the snake, is the ‘instigator’ for rebellion, yet again can be the beacon for ‘revolution’. In this regard, wisdom is freedom, and wisdom is ‘feminine attribution’ of the ‘cosmic culture’. When it is remarked “Be ye wise as serpents, and gentle as dove” it ought to remind someone of proper ‘Spiritual, Moral and Ethical’ integrity that the significance of ‘Right Intentions’ pertains to the domain of ‘Actionable Choice Making’. By ‘Wombman’ eating the ‘fruit of forbidden knowledge’ and then ‘share the fruit’ with the ‘Man’, a woman by choice plays a role as ‘the Devil’s advocate—going against the ‘Gods who fashion People and Matrix in their own reflections’. Then again, the forbidden knowledge could be nothing but ‘the seed of expanded self awareness’ often symbolized as the ‘Dove’ or simply ‘Wings’. This implies, through right intentions, being wise as serpent and gentle as dove is integrating the masculine and feminine nature in Oneself. In regard, right intentions provides ‘Ascension Wings’ through feminine wisdom—the Great Mother.

Feminine logic—the snake, is the ‘instigator’ for rebellion, yet again can be the beacon for ‘revolution’. In this regard, Diplomacy is Sharing of Right Knowledge amidst ‘chaos/war/insecurity’ and/or ‘complacency/peace/prosperity’ as per the original premises/promises of Gods; lords of the ‘Matrix Cube’. When it is remarked “Be ye wise as serpents, and gentle as dove” it ought to remind someone of proper ‘Spiritual, Moral and Ethical’ integrity, that, the significance of ‘Right Intentions’ are edified by the knowledge of Good and/or Evil. Thus, without ‘Evil’ there can be no ‘Good’; they are relative constructs of ‘Matrix’ to edify ‘Self Determination’, ‘Destiny’ and/or ‘Freewill’.

Feminine logic—the snake, is the ‘instigator’ for rebellion, yet again can be the beacon for ‘revolution’. In this regard, Ontological Perspectives interrelate with the Collective Performance/fate of say Humanity through ‘Genetics/Genesis, Regeneration and Consciousness’ —snake biting the heel, humanity striking the snake’s head—time, mortality and the dynamism of ‘the twist of Infinity’. In this regard, ‘Lost Paradise’ is nothing but ‘the veil of perception’ imposed by the Gods who have instituted ‘enmity’ between ‘the snake’ and ‘human posterity’. Thus the allegorical story of ‘Adam and Eve’, through Systems View and Thinking, serve the purpose of subconsciously seeding intelligible contexts of ‘the Ontology of Institution(s)’. Thus, ‘Genetics, Regeneration and Consciousness’ paralleling ‘Sentience, Conscience and Consciousness’ within the mystics of ‘the Tree of Life’ – the cosmic intrigues/mysteries.

‘Genetics, Regeneration and Consciousness’ paralleling ‘Sentience, Conscience and Consciousness’ yield ‘Consciousness Intrigues’ through the ‘Twist of Infinity’. In this regard, the ‘right intention’; and through systems view and thinking, is augmented by ‘faithfulness’ -- Faithfulness yield ‘integrity’ and ‘self determination’. Taygetans, as an integral culture, observe ‘Spiritual, Moral and Ethical’ obligations through ‘Breath and Strength’; instilling in them occasional purpose to serve ‘horizontally’ and ‘vertically’ off-center tendencies of ‘manifestation matrices/matrix’ that catch their attention—undoing the Matrices from either within and/or without. In this regard, they too as a collective, do observe ‘The Law of One’ and strive to their level best to be of service...

‘Horizontally’ and ‘vertically’ off-center tendencies share commonality in ‘Consciousness Intrigues’; in a way, Space-Time is the manifestation of Consciousness through Intent and Polarization. In this regard, Taygetans as a collective and culture, is one of many ‘cultures’ in the world of ‘sentience, conscience and consciousness’. In this regard, various ‘cosmic cultures’ have various attributes pertinent to ‘Spiritual, Moral and Ethical’ integrity; commanding multitude of diplomatic repertoire to be viable for auspicious contact, interactions and codes of conduct. Thus, the implication of ‘Tree with the forbidden fruit-- at the very Center of the Garden’ and ‘Immortality’ have ‘tangible’ connotations of ‘Cosmic Drama’.

The very nature of ‘Tree with forbidden fruit-- at the very Center of the Garden’ is symbolism of potency for ‘ontology of institution’ with ‘genetics, longevity and self determination’ accounting for myriad of functional organic contexts--contexts which pertain to the ‘Cosmic Drama’. In this regard, a collective of cosmic race with unusual longevity do entail intriguing facets of moral and ethical self conduct which compel strong potential influences to overwhelm over races --races with a typical short span longevity -- should they come in contact. Thus, as the longevity of the Taygetans people, as single distinct cosmic race, is around 900 years of Earth’s measure; it draws interesting contacts relationship/interaction--in terms of ‘diplomatic implications/ramification’ when such a race, comes into contact, with say the Alpha Draconians with life span of up to a millions years in Earthly measure; Although, as of now, they do not interact directly but through the Urmah Council- --the Alpha Feline Race within our galactic quadrant.

====

View: https://www.youtube.com/watch?v=79fzeNUqQbQ
====​
 
Back
Top Bottom