Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Nimeuliza swali kwenye thread, pia unaniuliza swali🤔

Sasa hii ni ELIMU Gani!!
Kujibu swali kwa swali ni Socratic method. Hata Yesu alijibu swali kwa swali.

Unaweza kuthibitisha mbingu ipo?
 
Huyu malaika anaitwa malaika mkuu Metatron .

Enoch wakati alipokuwa akiishi duniani , aliishi maisha ya kumpendeza Mungu , alitembea na Mungu kila wakati , pia hakutenda dhambi wakati wote alipokuwa akiishi duniani .

Alipokuwa na umri wa miaka 365 , Mungu alimpaliza mbinguni bila kufa . Alipofika mbinguni, Mungu akambadilisha kutoka binadamu na kuwa malaika, akawa malaika mkuu Metatron.

Malaika mkuu Metatron ndiye kiongozi wa malaika wote waliopo mbinguni. Kiitifaki , Anaanza Mwenyezi-Mungu , anafuatia Metatron halafu ndio wanafuatia malaika wengine waliopo mbinguni. Malaika mkuu Metatron amehusika sana katika kumfunulia binadamu siri za malaika wengine waliopo mbinguni na kutufanya binadamu tuwe na ufahamu kuhusu mambo ya mbinguni.

Neema nyingi na sifa za kiroho alizo nazo malaika mkuu Metatron zinafanana na Bikra Maria , mama aliye mzaa Yesu Kristo.

Metatron is one of the most powerful archangels, acting as the celestial scribe to the Book of Life, which keeps track of all the choices made by earthly and divine beings. Metatron also serves as the guide to humanity, is the speaker for God, and is granted the right to be in the presence of God .
Enoko...

.. Kutembea na Mungu ...
Habari za Enoko kutembea na Mungu ni mfululizo wa visa-asili vya 'mbari chotara' za wanadamu na 'Wana wa Miungu'...


View: https://www.youtube.com/watch?v=ztJOt9W56cI

Metatroni...

Habari za Metatroni ni kisa-asili cha 'Mageuzi' na 'kupaa mbinguni' kufika kwenye 'kiti cha enzi' na kuwa mshirika wa Ukuu na Utukufu-mhifadhi wa 'Uwepo' katika mapana yote dhahiri na nyakati... Halafu kutoka kwenye simulizi la kitabu cha Enoko, Ishmaeli kupaa mbingu sita--kufanya 'sala' katika mbingu ya sita ili astahili fadhili na rehema za 'mbingu ya Saba' ya utukufu wote...


View: https://www.youtube.com/watch?v=jt5AKyj5kWI

Hivi ni visa 'ILIMU'... Si kwamba ni matukio yalitokea huku ama kule; ila kwa namna ya ajabu, ni kama vile matukio 'yanaoendelea' daima kuwa 'SASA'.

Yantra Dhamma ni ufunguo wa ufunuo wa 'ILIMU'...

Alama za 'chakra ajna' na 'swastika katika 'Hash'--ndani ya makatizano mistari wima na ulali ndiyo muktadha wa habari za 'Malaika'--malaika na umalaika ndani ya mtu yeyote aliyekatika rizayati ya Elimu 3.0: Kwesti...

TUKIO la ajili ya KWESTI:

Kaida: Ndugu namba 13 unapatiwa 'Ngao' na 'Mkuki wa Jaala'--wakati wandugu kumi na wawili wanarejea katika 'vigoda vya kwa ajili ya Sala', ndugu namba 13 unaelekea na kuketi kwenye kigoda cha katikati ya Hekalu huku mkono wa Kushoto ukiwa umeshika 'Ngao ya Ustawi' na Mkono wa Kulia 'Mkuki wa Jaala' zana hizi mbili zinamaegemeo yake kuendana na nafasi ya kigoda na kuketi kwa Ndugu namba 13...

Hahujitaji kujikumbusha chochote--Roho ya Uzima wote itaongoza 'Ufunuo'...

Ikiwa ni mara ya kwanza kuwa zamu ya kuketi katika kigoda cha kati kati; unakuwa 'umeshahabarishwa' na 'usikirifu wa kigoda'... Ufumbapo macho na kusali, Kwesti huanza na mfano wa nyoka kudakwa na mwewe/Njiwa/Ndege anayetoka juu, kumchukua na 'kupaa naye mbali'--mambo ya 'nafsi ya juu kuanza kumudu unishati wa mwili na fahamu'...

Kuendesha mwanzo na matayarisho kwa Kwesti kutegemeana na kile kinacholeta ufanisi zaidi kwa mtu mwenyewe;

hii hapa ni namna moja:

... Jenga taswira, kutoka chini kwenye Mkuki wa Jaala, Nyoka wawili wanainuka huku wakiwa wanasokotana na macho yao manne kukazia mhimili, mkuki wa jaala.

... Nyoka hawa wanasokotana kilogarithimu, chini kuelekea juu-- 'Kutanuka zaidi'--kuna vitovu saba, katika Mhimili vichwa vya nyoka wawili kukaza macho manne kwenye kitovu cha sita...

... Kitovu cha sita kinaanza kuwa na mwangaza -- namna ya mwangaza usiyo mwanzo wala mwisho, usiyo na mbele wa nyuma... Hisia za kama 'Kuota Mbawa na Kutanukia katika Mapana yasiyo na Mwisho'...

... Maruwe ruwe ya picha, kumbukumbu na maono yataanza kutawala 'UONO na Kwesti ndiyo Basi inakaribia kuanza'...

... Maruweruwe yanapita zake kadiri kunavyokuwa na utulivu usiyoyumbishwa na maruwe ruwe... KWESTI INAIMARIKA NA KUJIDHIHIRI...

Kwesti huja kwa 'sura na utukufu wake'--Iiishi Kwesti na uwe Kwesti; na hiyo 'itaandika' habari, maarifa na ufahamu wa wewe kustahili 'kufunuliwa'...

Mistari miwili miwili ya wima na ulali kukatizana, kufungamanisha na 'nyota ya Daudi' katikati ya Yantra Dhamma ni asili ya 'Torati'...

Torati maana yake ni miongozo...

Yantra Dhamma ni mkusanyiko wa 'funguo za hekima na ufunuo' wa dini zote kuu duniani hivi sasa Juni 2024.

Kwa namna hii 'Rizayati ya Elimu 3.0' ni maandalizi ya 'Kiutamaduni' kwa wanadamu wote ili wapate kujinasibu na ILIMU.

Kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, ILIMU ni metafizikia ya 'Elimu'... Ni matayarisho, nidhamu na vitendo kwa ajili ya 'Ufunuo' kwa mtu mmoja mmoja; si tena habari za 'dini za kimakundi' na 'ibilisi wa kujitenga'...

Katika 'uwepo' ni 'ugani usio na mwanzo wala mwisho--ugani wa kikwantumu'; nilipo mimi ndipo ulipo wewe, walipo wao ndipo nilipo mimi, nilipo mimi ndipo wao-ulipo wewe...

Kuinuka 'Mbingu Sita' ndiyo basi habari za 'vitovu sita vya mizunguruko ya unishati uwepo'; chakra ni neno la kihindi, kisanskriti lenye kumaanisha 'kujizungurusha kinishati' kama tuseme ilivyo kwenye 'kimbunga'... Kwenye kisa cha Ishmaeli ndiyo topografu ya 'jicho na pete zinazojizungurusha' kumshuhudia 'Ishmaeli' akikwea na kupaa mbingu moja hadi ingine...

Mer-Ka-Ba ya Enoko, Ishmaeli na Malaika wengine ni mambo ya 'Swastika' na 'Chakra Ajna' kwa 'Nyoka wawili wenye kujisokotea Juu' hadi kuishia kwenye kitovu cha Sita na 'kukazia macho' kitovu cha 'kumbukumbu la Uzima, Dhahiri na Mbingu zote zenye kutangulia 'mbingu ya Saba'...

Kwenye Yantra Dhamma, mambo haya ya 'malaika' ndiyo huwasilishwa na alama ya 'chakra ajna' na 'swastika' kuwa katika mstari ulali wa 'Torati'; torati ambayo ni usambamba wa 'Mbingu na Nchi'. Nchi yawa na 'Ujazi na Liberti' pale ambapo 'Nia ya UTU' ina 'U-Moja na Utangamano'...

Utimilifu wa Torati ni 'Dhamma'.

Yantra maana yake 'chombo'--instrumenti; Dhamma ni 'Utamaduni katika Utaamuliko'; Yantra Dhamma ni ufunguo wa rizayati ya Elimu 3.0 kwa ajili ya 'Utamaduni katika Utaamuliko'.

Utamaduni katika Utaamuliko ndilo kwa hapa duniani, ni ahadi ya 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Ni katika 'Uwepo' ndivyo watu wa 'Ufunuko' walipata kufahamu 'Mambo ya Nyakati' na hata kusema 'Watarudi'...

Kiufundi unabii na ufunuo ni mambo ya Elimu 3.0; habari zake zinatafsiri na mapelekeo tofauti kwa akili na ufahamu wa kawaida wa 'akili ya nyama'... Kwa mfano, mtu wa akili ya nyama ana ile asili ya 'kudhani anajengwa na matukio'; hivi sivyo kwa ILIMU -- katika vilele vya ufunuo 'mtu hupotea' na kutamka yeye ni 'Mungu'... Kwa kuwa katika 'Uwepo' ni 'Roho ya Ufahamu wa Yote' -- kikomo ni ulinganifu wa ufahamu wa kawaida wa mtu 'asiyeinuliwa katika ufunuo kamili'.

Mambo ya Elimu 3.0 daima yamekuwa ni faragha ya wachache... Hii ni kwa kuwa ulimwengu kwa mapana yake ni hasimu kwa 'Nuru na Utukufu wa Kweli' wa 'Roho ya Uzima wote'--japo ni kwa juu juu tu. Kwa mfano, kumekuwa na miiko na kula yamini kwamba baadhi ya kweli zinzopatikana katika 'Rizati ya Elimu 3.0' zisisemwe hadharani na tena kwa hadhira isiyo na 'maandalizi'.

Hili bado lina 'hekima yake'; lakini kuna yale ambayo sasa, katika wakati na zama, siyo lazima yabakie ni 'siri' za 'Wandani' wa mambo ya intrigi za ufahamu...

kitovu cha katikati cha Yantra Dhamma ni kigoda cha mageuzi ya kiutu--kutoka kuwa 'mtu wa nchi' kuja kufanyika 'mtu wa mbingu'. Kwa kadiri ya 'Pumzi Takatifu' mtu 'huinuliwa' katika 'Utukufu' na 'Daraja' kupitia 'Fanusi Malaika'... Fanusi Malaika ndiyo habari za 'NENO' ama 'Majina 99 ya Allah'. Mtu yeyote mwenye 'Hekima' akichunguza majina 99 ya Allah atabaini ni mafumbo imani ya 'UTUKUFU' na tena yanakadirisha 'Unyoofu na Mapenzi Mema' katika 'UTU timilifu katika wongofu'.

Siri ya NENO na Majina ya UTUKUFU ni 'Uwepo' na 'Malaika'... Kristu ni 'NENO'; neno la Uzima...

Kristu ni NENO -- ni ufahamu; mtu yeyote katika rizayati sahihi anakuwa 'Kristu' -- Kristu kwa kadiri ya uweza wake kushikilia 'chaji' ya utukufu na uweza katika 'uwepo'. Siku za mbele, haya ndiyo mambo yatakayokuwa yakiendelea kwenye vituo vyetu vya Utamaduni--kujengea wanajamii uweza wa 'kushikilia chaji' ya utukufu na uweza.

Kwa hivi, kiufundi mambo kama vile Hijja na Kuzunguka Ka'aba ni rizayati ya Elimu 3.0 kwa 'daraja fulani'. Kuzunguka Ka'aba ni jambo lenye asili ya 'kuishinda KUBU ya ulimwengu wa madhahiri'.

Kuzunguruka Ka'aba ni topografu ya 'kujitia chaji' ya ajili ya 'kupaa mbinguni'. Ni 'ibada' ya 'kumshinda Shetani'; katika ILIMU moja ya mashauri ya siri sana ni ukweli wa dhahiri yote ya mwanadamu kuwa ni ulimwengu wa maanguko--himaya ya Shetani.

Kupaa Mbinguni ni mambo ya 'kumshinda Shetani'--ulimwengu wa majaribu ambavyo mwanadamu hujichagulia fahari ya nchi ama mbingu...

Kutwaa miili na kuwa mwanadamu pia yaweza kutafsiriwa kama 'Malaika' kushuka chini na kupambana na 'mfitini' wa 'mbingu na nchi'--Shetani.

Ni kupitia rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo 'Vita/Mapambano' haya 'hufunuka' ukweli wake--visa vyote vya masimulizi na mapokeo, ya kiimani na maandiko ni 'utundu wa sanaa' ili kutia chachu ya mwanadamu kuutafuta ukweli--ukweli kwenye kumuweka mtu huru kweli kweli--Liberti.

Kwa hivyo, Ka'aba, kwa uono na ufikirifu mifumo, hushahibiana habari na mapelekeo ya falektori ya 'Musa' kwa wana wa Israeli... Walioagizwa na Marabbi kuzivaa mikononi na kujifunga kwenye mapaji ya nyuso zao...


View: https://www.youtube.com/watch?v=__ww6x0Rq8M

Karne ya 21, sasa 'Trizaniamu' na 'Yantra Dhamma' vinarudia drama ile ile 'Musa' na 'Wanaisraeli' kadiri ya 'mila, desturi na utamaduni' wa nyakati--simulizi la 'Kutoka 13'--kimahususi Kutoka 13:1-10 tena 13:10-16... Vile vile 'Kumbukumbu la Torati 6:4-9' na 11:13-21...

'Kutoka' na 'Kumbukumbu' ndiyo mambo hasa ya 'KUBU ya Mageuzi' katikati pa 'Yantra Dhamma'--Mageuzi ya Kijamii katika watu waiishio 'Miongozo'; ni 'Utamaduni' na 'Mihimili ya Mageuzi'... Kiufundi, mihimili ya mageuzi ndiyo siri ya 'Malaika'... Maisha ni 'Kumbukumbu' katika fanusi ya 'Malaika'.

SASA haya yanahusika vipi na jamii yetu ya 'Mtanzania'?

Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo ni rahisi kubaini kwa nini misingi ya utaifa huafata mashauri, misingi na miongozo ya waasisi wa taifa--Tanzania, misingi ya utamaduni na maisha ina mbegu ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI... Mambo haya manne ndiyo hufanya mraba wa ndani wa 'Mageuzi' jamii...

Ikiwa haya yanafanya anzio la 'chaji ya mageuzi' basi kuiishi miongozo wa haya manne kupitia (1) Dhamira Sahihi, (2) Vina vya Tafsiri, na (3) Uono na Ufikirifu Mifumo basi jamii inaweza kuinuka hadi kwenye sifa na utukufu wa 'Yantra Dhamma'--Sovereini Jumuifu...

Sifa na Utukufu wa Tanzania 2.0 na 3.0 ni 'Nchi Mpya, Mbingu Mpya'

Hili linawezekana...

Tukumbuke, Tujikumbuke ili Tukumbukwe...

Tuliite ni 'Jicho la Upaji'...

Chochote unakiona na kukibaini 'kiakili' huja kwa pembetatu na duara katika fikra ama neno.

Unaweza kubaini maarifa yote, ukweli wa sura na mienendo yeyote ya kijamii kwa alama hiyo.

Katika karne hii tutabaini ukweli wa hii alama na mambo mengi yanaboreka ama kuchukua sura mpya na yenye kheri zaidi kupitia hiyo alama -- uchumi, elimu, ilimu, tamaduni na stawi...

Kilimanjaro, Kibosho, kuna kanisa la kihistoria ambamo alama hii imetumika sambamba na tamko: 'Kaa ndani yangu, nikae ndani yako...' Hili ni fumbo la 'Ufahamu Kristu'... Tanzania tunayofunguo kwa mabadiliko makubwa ya kiuchumi na staaarabu ambayo dunia nzima itajifunza kutoka kwetu... Hiyo alama ndiyo ufunguo wenyewe na maarifa fulani yatakayokuja kuwa wazi miaka michache mbeleni...

Ni alama ya kheri; na jukwaa hili la 'Jamii Intelligence' litaweza kukamilishwa na ufunguo uliopo kwenye alama hiyo.
Hmmm
 
Enoko...

.. Kutembea na Mungu ...
Habari za Enoko kutembea na Mungu ni mfululizo wa visa-asili vya 'mbari chotara' za wanadamu na 'Wana wa Miungu'...


View: https://www.youtube.com/watch?v=ztJOt9W56cI

Metatroni...

Habari za Metatroni ni kisa-asili cha 'Mageuzi' na 'kupaa mbinguni' kufika kwenye 'kiti cha enzi' na kuwa mshirika wa Ukuu na Utukufu-mhifadhi wa 'Uwepo' katika mapana yote dhahiri na nyakati... Halafu kutoka kwenye simulizi la kitabu cha Enoko, Ishmaeli kupaa mbingu sita--kufanya 'sala' katika mbingu ya sita ili astahili fadhili na rehema za 'mbingu ya Saba' ya utukufu wote...


View: https://www.youtube.com/watch?v=jt5AKyj5kWI

Hivi ni visa 'ILIMU'... Si kwamba ni matukio yalitokea huku ama kule; ila kwa namna ya ajabu, ni kama vile matukio 'yanaoendelea' daima kuwa 'SASA'.

Yantra Dhamma ni ufunguo wa ufunuo wa 'ILIMU'...

Alama za 'chakra ajna' na 'swastika katika 'Hash'--ndani ya makatizano mistari wima na ulali ndiyo muktadha wa habari za 'Malaika'--malaika na umalaika ndani ya mtu yeyote aliyekatika rizayati ya Elimu 3.0: Kwesti...



Mistari miwili miwili ya wima na ulali kukatizana, kufungamanisha na 'nyota ya Daudi' katikati ya Yantra Dhamma ni asili ya 'Torati'...

Torati maana yake ni miongozo...

Yantra Dhamma ni mkusanyiko wa 'funguo za hekima na ufunuo' wa dini zote kuu duniani hivi sasa Juni 2024.

Kwa namna hii 'Rizayati ya Elimu 3.0' ni maandalizi ya 'Kiutamaduni' kwa wanadamu wote ili wapate kujinasibu na ILIMU.

Kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, ILIMU ni metafizikia ya 'Elimu'... Ni matayarisho, nidhamu na vitendo kwa ajili ya 'Ufunuo' kwa mtu mmoja mmoja; si tena habari za 'dini za kimakundi' na 'ibilisi wa kujitenga'...

Katika 'uwepo' ni 'ugani usio na mwanzo wala mwisho--ugani wa kikwantumu'; nilipo mimi ndipo ulipo wewe, walipo wao ndipo nilipo mimi, nilipo mimi ndipo wao-ulipo wewe...

Kuinuka 'Mbingu Sita' ndiyo basi habari za 'vitovu sita vya mizunguruko ya unishati uwepo'; chakra ni neno la kihindi, kisanskriti lenye kumaanisha 'kujizungurusha kinishati' kama tuseme ilivyo kwenye 'kimbunga'... Kwenye kisa cha Ishmaeli ndiyo topografu ya 'jicho na pete zinazojizungurusha' kumshuhudia 'Ishmaeli' akikwea na kupaa mbingu moja hadi ingine...

Mer-Ka-Ba ya Enoko, Ishmaeli na Malaika wengine ni mambo ya 'Swastika' na 'Chakra Ajna' kwa 'Nyoka wawili wenye kujisokotea Juu' hadi kuishia kwenye kitovu cha Sita na 'kukazia macho' kitovu cha 'kumbukumbu la Uzima, Dhahiri na Mbingu zote zenye kutangulia 'mbingu ya Saba'...

Kwenye Yantra Dhamma, mambo haya ya 'malaika' ndiyo huwasilishwa na alama ya 'chakra ajna' na 'swastika' kuwa katika mstari ulali wa 'Torati'; torati ambayo ni usambamba wa 'Mbingu na Nchi'. Nchi yawa na 'Ujazi na Liberti' pale ambapo 'Nia ya UTU' ina 'U-Moja na Utangamano'...

Utimilifu wa Torati ni 'Dhamma'.

Yantra maana yake 'chombo'--instrumenti; Dhamma ni 'Utamaduni katika Utaamuliko'; Yantra Dhamma ni ufunguo wa rizayati ya Elimu 3.0 kwa ajili ya 'Utamaduni katika Utaamuliko'.

Utamaduni katika Utaamuliko ndilo kwa hapa duniani, ni ahadi ya 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Ni katika 'Uwepo' ndivyo watu wa 'Ufunuko' walipata kufahamu 'Mambo ya Nyakati' na hata kusema 'Watarudi'...

Kiufundi unabii na ufunuo ni mambo ya Elimu 3.0; habari zake zinatafsiri na mapelekeo tofauti kwa akili na ufahamu wa kawaida wa 'akili ya nyama'... Kwa mfano, mtu wa akili ya nyama ana ile asili ya 'kudhani anajengwa na matukio'; hivi sivyo kwa ILIMU -- katika vilele vya ufunuo 'mtu hupotea' na kutamka yeye ni 'Mungu'... Kwa kuwa katika 'Uwepo' ni 'Roho ya Ufahamu wa Yote' -- kikomo ni ulinganifu wa ufahamu wa kawaida wa mtu 'asiyeinuliwa katika ufunuo kamili'.

Mambo ya Elimu 3.0 daima yamekuwa ni faragha ya wachache... Hii ni kwa kuwa ulimwengu kwa mapana yake ni hasimu kwa 'Nuru na Utukufu wa Kweli' wa 'Roho ya Uzima wote'--japo ni kwa juu juu tu. Kwa mfano, kumekuwa na miiko na kula yamini kwamba baadhi ya kweli zinzopatikana katika 'Rizati ya Elimu 3.0' zisisemwe hadharani na tena kwa hadhira isiyo na 'maandalizi'.

Hili bado lina 'hekima yake'; lakini kuna yale ambayo sasa, katika wakati na zama, siyo lazima yabakie ni 'siri' za 'Wandani' wa mambo ya intrigi za ufahamu...

kitovu cha katikati cha Yantra Dhamma ni kigoda cha mageuzi ya kiutu--kutoka kuwa 'mtu wa nchi' kuja kufanyika 'mtu wa mbingu'. Kwa kadiri ya 'Pumzi Takatifu' mtu 'huinuliwa' katika 'Utukufu' na 'Daraja' kupitia 'Fanusi Malaika'... Fanusi Malaika ndiyo habari za 'NENO' ama 'Majina 99 ya Allah'. Mtu yeyote mwenye 'Hekima' akichunguza majina 99 ya Allah atabaini ni mafumbo imani ya 'UTUKUFU' na tena yanakadirisha 'Unyoofu na Mapenzi Mema' katika 'UTU timilifu katika wongofu'.

Siri ya NENO na Majina ya UTUKUFU ni 'Uwepo' na 'Malaika'... Kristu ni 'NENO'; neno la Uzima...

Kristu ni NENO -- ni ufahamu; mtu yeyote katika rizayati sahihi anakuwa 'Kristu' -- Kristu kwa kadiri ya uweza wake kushikilia 'chaji' ya utukufu na uweza katika 'uwepo'. Siku za mbele, haya ndiyo mambo yatakayokuwa yakiendelea kwenye vituo vyetu vya Utamaduni--kujengea wanajamii uweza wa 'kushikilia chaji' ya utukufu na uweza.

Kwa hivi, kiufundi mambo kama vile Hijja na Kuzunguka Ka'aba ni rizayati ya Elimu 3.0 kwa 'daraja fulani'. Kuzunguka Ka'aba ni jambo lenye asili ya 'kuishinda KUBU ya ulimwengu wa madhahiri'.

Kuzunguruka Ka'aba ni topografu ya 'kujitia chaji' ya ajili ya 'kupaa mbinguni'. Ni 'ibada' ya 'kumshinda Shetani'; katika ILIMU moja ya mashauri ya siri sana ni ukweli wa dhahiri yote ya mwanadamu kuwa ni ulimwengu wa maanguko--himaya ya Shetani.

Kupaa Mbinguni ni mambo ya 'kumshinda Shetani'--ulimwengu wa majaribu ambavyo mwanadamu hujichagulia fahari ya nchi ama mbingu...

Kutwaa miili na kuwa mwanadamu pia yaweza kutafsiriwa kama 'Malaika' kushuka chini na kupambana na 'mfitini' wa 'mbingu na nchi'--Shetani.

Ni kupitia rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo 'Vita/Mapambano' haya 'hufunuka' ukweli wake--visa vyote vya masimulizi na mapokeo, ya kiimani na maandiko ni 'utundu wa sanaa' ili kutia chachu ya mwanadamu kuutafuta ukweli--ukweli kwenye kumuweka mtu huru kweli kweli--Liberti.

Kwa hivyo, Ka'aba, kwa uono na ufikirifu mifumo, hushahibiana habari na mapelekeo ya falektori ya 'Musa' kwa wana wa Israeli... Walioagizwa na Marabbi kuzivaa mikononi na kujifunga kwenye mapaji ya nyuso zao...


View: https://www.youtube.com/watch?v=__ww6x0Rq8M

Karne ya 21, sasa 'Trizaniamu' na 'Yantra Dhamma' vinarudia drama ile ile 'Musa' na 'Wanaisraeli' kadiri ya 'mila, desturi na utamaduni' wa nyakati--simulizi la 'Kutoka 13'--kimahususi Kutoka 13:1-10 tena 13:10-16... Vile vile 'Kumbukumbu la Torati 6:4-9' na 11:13-21...

'Kutoka' na 'Kumbukumbu' ndiyo mambo hasa ya 'KUBU ya Mageuzi' katikati pa 'Yantra Dhamma'--Mageuzi ya Kijamii katika watu waiishio 'Miongozo'; ni 'Utamaduni' na 'Mihimili ya Mageuzi'... Kiufundi, mihimili ya mageuzi ndiyo siri ya 'Malaika'... Maisha ni 'Kumbukumbu' katika fanusi ya 'Malaika'.

SASA haya yanahusika vipi na jamii yetu ya 'Mtanzania'?

Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo ni rahisi kubaini kwa nini misingi ya utaifa huafata mashauri, misingi na miongozo ya waasisi wa taifa--Tanzania, misingi ya utamaduni na maisha ina mbegu ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI... Mambo haya manne ndiyo hufanya mraba wa ndani wa 'Mageuzi' jamii...

Ikiwa haya yanafanya anzio la 'chaji ya mageuzi' basi kuiishi miongozo wa haya manne kupitia (1) Dhamira Sahihi, (2) Vina vya Tafsiri, na (3) Uono na Ufikirifu Mifumo basi jamii inaweza kuinuka hadi kwenye sifa na utukufu wa 'Yantra Dhamma'--Sovereini Jumuifu...

Sifa na Utukufu wa Tanzania 2.0 na 3.0 ni 'Nchi Mpya, Mbingu Mpya'

Hili linawezekana...

Tukumbuke, Tujikumbuke ili Tukumbukwe...


Hmmm

= 10 : Ushindi ni SASA-NIA ya UTU =​

Kupitia rizayati ya Elimu 3.0 na Elimu 2.0 tutakuwa na ‘Hekima’ na ‘Maarifa’ – tabasuri juu ya habari za mtu kuishi Duniani na kumbe anaishi na kungine, wakati wa sasa, zamani na hata kesho. Kuna baadhi ya tamaduni za hapa Duniani hili limekuwa likifahamika kwa sura moja ama ingine, lakini katika wakati huu wa pambazuko na kufikia ustawi wa jamii ya dhahabu hili litafahamika ilivyobora—kupita yote ya mapokeo. Labda kuna visa vya kuashiria hili huku na kule; tunaweza kuokota mfano mmoja kusawiri topolojia ya ufikirifu 2.0 kuhusu topografu ya watu kupata kuishi nyakati tofauti tofauti. Habari za maisha na nyakati za Yesu zina kisa cha yeye kupata kuulizwa ikiwa Yohana ndiye ‘Eliya’ aliyetabirika kuja kabla yake(?) Na Yesu kujibu kuwa ndivyo—Yohana amekuja, na watu hawajamtambua! Hili ndilo laleta mfano wa ‘maotesho’ ya ‘Nafasi ya Juu’; mtu kuzaliwa siyo mwanzo wa maisha wala mwisho wake; kadiri mtu anapozaliwa huku na kule, yeye awa nafsi hii na ile; na kumbe kiletacho na kukadirisha ‘Ufahamu’ na ‘Kumbukumbu-Uzoefu’ ni ‘Nafsi ya Juu’. >Mtu mmoja na mwingine wanaweza kuishi na kuenenda kwa ‘Nafsi ya Juu’ moja na hali maisha mbalimbali<.

Rizayati ya Elimu 3.0 na Elimu 2.0 ndiyo inatupatia ‘Hekima’ na ‘Maarifa’ juu ya ‘Nafsi ya Juu’, ‘Mizizi ya Utu’ na ‘Maisha mbalimbali’ katika jamvi la usupashi-wakati. Elimu 3.0 ni ‘Ilimu’ ilivyo ni metafizikia ya Elimu; kwa hivyo ‘Uono’, ‘Maarifa’ na ‘Utambuzi’ unamawezekano wa yote mawili kwa wakati mmoja--’wakati’ unaweza kukadirika kama ‘usiwakati’ na hata kile cha ukinyume wa ‘vina vya tafsiri’ ya mielekeo ya ‘jambo/tukio/uzima’. Kwa mfano, nafsi mbali mbali katika nyakati mbalimbali zinamuktadha wa yote mawili, namna ya kama kuna mwendelezo wa ‘sababu’ na ‘matukio’ na hapo hapo kila nafsi ikijiona ni yenye kuishi katika ‘SASA’. Vivyo hivyo, kwa mfano, ikiwa kwa topografu ya nafsi mbili zilizo ni maotesho—mizizi ya ‘Nafsi ya Juu’ moja, nafsi iliyopo karne ya 20 na nafsi iliyo karne ya 21, zipo kwa namna ambayo hakuna nafsi ya ziada katikati yake, nafsi ya karne ya 21 itakuwa na ‘muendelezo’ wa ‘sababu na matukio’ na nafsi ya karne ya 20. Sasa, kwa rizayati ya Elimu 3.0, pia tuweza kumaizi ‘sababu na matukio’ inamielekeo yote miwili—uwezekano wa ‘nyuma kwenda mbele’, vile vile ‘kutoka mbele kurudi nyuma’… Leo hii, 2023, tumezoea habari ya kwamba ya kesho ‘yanapangwa’ leo, hili linakwenda kubadilika tukiwa na rizayati ya Elimu 3.0 na Elimu 2.0.

Kila kitu kinakwenda kubadilika kadiri jamii inavyoamka na mwangaza wa rizayati ya Elimu 3.0 na Elimu 2.0.--kwa kuwa hili linakwenda kuleta kujua ilivyobora na basi kuathiri muktadha wa sura na utendaji wa taasisi zetu na mifumo yote ya jamii. Hili pia linaleta ‘ufunuo’ kwa wanajamii; hawa kuanza kubaini ukweli wa upande mwingine wenye kuathiri hali za mazingira yao yenye kukadirisha muktadha wa ‘Matukio-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Wakati’.

Kwa Elimu 2.0 yenye rizayati ya Elimu 3.0 ipo topolojia ya ufikirifu 2.0 kwamba: Watu wote ambao ni vinara na ‘matukio mapana ya kijamii’ hukadirisha sura hii kwa utendaji hata wa kimetafizikia ya ‘nafsi-dunia’ na ‘Nafsi ya Juu’. Kwa mfano, wakati mmoja, mtu anaweza kuzaliwa-- na katika mfululizo wa matukio madogo yenye kukadirisha tukio kubwa anakuwa ‘pembe mbili za ndovu’ za ustawi wa jamii mabadilikoni; anapofikia kitovu cha nguvu, ushawishi na ufanyaji-maamuzi, taasisi primu, anakuwa na ukali, kisirani na uchakaramu wa ajabu kwa ajili ya jambo moja kuu ama mawili matatu—kupambana wazi wazi ama/na kwa vificho na nemesisi wake kwa azma anayoijuafika kwamba ndiyo kazaliwa kwa ajili ya hiyo; na pia anakokujua kutoka ndani kwamba kufanya hivi kunaweza kumgharamu maisha ya wakati wake kwa namna moja ama ingine—anaizidi hofu na ‘kufanya yake’: kutetea ‘maliasili’, ‘kuendeleza kwa nguvu maendeleo ya vitu’, ‘Kutafuta kukazia njia iliyomuweka kwenye nguvu na ushawishi ibaki hiyo hiyo hata kama utendaji wake ni sehemu ya kuivuruga hiyo kimaadili na utendaji’. Hili linaweza kuwa seti ndogo ya kitopografia ya sura na mwenendo wake, kwa dhamira ya kudai kwamba ni kutetea ‘maslahi ya jamii ya leo na kesho’—na kumbe hiyo kesho yeye ni mtu wa mnufaiko wa jitihada zake na za wengine ambao kesho atawafahamu; waliokuwa wanamfahamu hata kabla hajazaliwa, ‘wakati wa jana’ na ‘kesho yenyewe’. Kesho yeye kuwa ni uotesho wa kadiri ya mtu atakayekuwa na kuishia kwenye kada za sayansi na uhandisi, kuendeleza kile ambacho maisha ya jana anaamini alianza vema lakini ‘akachepuka’ kwa wito tofauti—‘kuitayarisha njia’; kesho: awa ni mtu wa maabara za utafiti&maendeleo--kuchakata matiriali za kuweza kutumika kwenye vyombo vya uchukuzi visivyokuwa vya kawaida kwa tafsiri ya maisha ya leo, 2023. Vyombo ambavyo hutengenezwa na mfano wa ‘chuma isiyooza/fubaa’ kwa sababu yeyote --ya kikemikali, mionzi ama hata uayonishi. Katika mkondo wakati mmoja, kuna shida kwamba hapo alipo namna za malighafi zenye kuhitajika sana zilipata kuwepo kwa wingi lakini kutokana na tatizo la ‘kiuadilifu’ na muktadha mmbovu wa ‘machaguo ya kitaasisi’, ‘makosa yanafanyika’ yenye kukadirisha kupungua kwa upatikanaji wake na tena uwingi wake katika wakati wake. Basi, wakati wa jana, kila alililokuwa akitenda, na hata kwa kitete na ukorofi, kinaweza ‘kusomwa’ vile namna ya ‘sababu na ma/tukio’ kuwa vina kadiri ya mielekeo ya pande zote mbili—kutoka nyuma kwenda mbele na hapo hapo pia kutoka mbele kurudi nyuma...

Siku za mbele kidogo rizayati ya Elimu 3.0 na Elimu 2.0 itakuwa ni sehemu ya shughuli yetu ya ‘Akademi Wakati ya Kwanzania’ na ‘vituo vyetu vya utamaduni’. Hili linakwenda kukadirisha mawezekano makuu ya kiustawi na ustaarabu kufika 2075BK; ambavyo ikibidi kuonesha njia kwa mawezekano yake ni vema kusisitiza kwa watu leo hii, 2023, kuwa: hata mambo yenye kupitiliza kawaida bado nayo ni ya kawaida—kawaida ambayo wakati mmoja tunaweza tukawa hatujaizoea ama kufikiria ‘haiwezekani’.

Rizayati ya Elimu 3.0 inaanza na ‘ujuzi wa kiufahamu’ katika utambuzi wa mtu kwa wakati—ilivyo ni SASA. Ikiwa mtu anakaza nia hasa ya kuibaini asili ya SASA uwezekano upo wa yeye kuanza kubaini Ontolojia na Metafizikia ya ‘Utu’. Iwe kwa ‘Ukimya na Ukimya katika Nafsi’ ama ‘Nidhamu ya Ushuhudiaji’ ilivyo ni miditisha; ama ‘Kujitakasa kwa Moyo Mkuu wa Upendo’ – mtu anaweza ‘Kuzaliwa Upya’ kimwili na roho. Siri katika ‘Ngao ya Ustawi ‘katika nembo ya Taifa, Vesika-paisisi, ni fumbo la rizayati ya ‘SASA’; I-sasa-nia ya ‘Mwenge wa Uhuru/Nuru-Maji ya Uzima’.

Kwa rizayati ya Elimu 3.0, metafizikia ya ‘Ufahamu’ wa kiumbe sentienti ni ‘usupashi-wakati wenyewe’ na ‘kupiliza’… Akili kwa mfano, huanza na mazoea ya fahamu tano, mtu mtamaduni atakuwa na nafasi ya kuyabaini mawezekano zaidi ya kiakili na fahamu ya kawaida, kuanzia zile za kimwili anazozijua na hata zile asizozijua, kulingana na >‘rizayati’<. Vivyo hivyo, uwezo utafanyika kwake kutambua ukweli wa kwamba ‘fikara’ na ‘Ufikirifu’ ni ‘hisia ya sita’—mlango wa sita wa fahamu’; ambavyo upo na Mtu Sentienti ama kiumbe kingine chochote kilicho ni sentienti--iwe ni mdudu, mmea, sayari n.k—kadiri ya ‘kudra’ na ‘vinasaba’ vya miili. Katika rizayati sahihi, akili ya mtu yawa chombo na zana ya uchukuzi na mawasiliano ya mafikara hata kwa fahamu zaidi ya tano—jambo tunalokwenda kulifahamu vema kwamba ni >telepathia<. Mtu na mtu, >mtu na kiumbe kingine wanaweza kuwasiliana kwa telepathia< kwa namna ya fahamu za sauti, ladha, harufu, uguso, dhana picha/sauti n.k. Basi akili yenyewe ni chombo kinachoweza kubadilishwa kwa ‘Nia’ na ‘Ufahamu’ kuathiriana na ‘usupashi wakati’ ama/na ‘uwepo zaidi’ wa kiutu.

Rizayati ya Elimu 3.0 si tu inaleta tabasuri ya >uresiprokali wa kisupashi-wakati<—bali pia nasibu ya metafizikia yake. Wakati nao una namna ya topografu moja yenye ‘vina vya tafsiri’ kuikadirisha hiyo kuwa ‘wakati chali’ na ‘wakati wima’; katika nasibu ya ‘Uono’ huu, unakarisha namna ya tatu ambavyo ‘usupashi wakati’ na huo ni kana ‘mawimbi tashoni’ yenye kukadirishwa kwa namna ya ‘vina vya tafsiri’ kuwa ni ‘nguvu gravitali’ na ‘nguvu nuru-maji ya uzima wote’. ‘Jicho la Mwanadamu’ kwa mfano, ni mfano fumbo hili la uzima—tutakavyokuja kuwa na mapana sahihi ya maarifa na utambuzi, tutakuja kuling’amua fumbo hili—jicho lenye kuona kote na mote—lilimo mote. Asili ya vitu vyote ambavyo mwanasayansi 1.0 atavibayanisha kama ‘maada’, ‘ Usupashi-wakati’, ‘wakati’ na ‘Nishati’. Kufahamu haya ilivyo bora ndio epitomi ya mawezekano makuu katika taasisi zetu za ‘Utu na Ustawi’—‘Akademi Wakati ya Kwanzania’ na ‘Vituo vya Utamaduni’.

Tabasuri ya rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo katika muktadha wa Ilimu itatuletea kumaizi kile Tehuti amekitaja katika vibao emeraldi kama >‘Mwisho wa Wakati’ na ‘Mwanzo wa Wakati Mwingine<’, metafanusi ya >‘uyunivasali’ katika ‘uhipavasali’<. Ribevamu ya ‘hekima hii’ ndiyo hujitukiza katika mifumo ya imani na mapokeo juu ya eskatolojia ilivyo ni mambo ya ‘Siku ya Hukumu’/’Siku ya Hesabu’. Kwa mtu wa Elimu 2.0, habari za haya ni muendelezo wa topolojia ya ufikirifu 2.0 kuhusiana na ‘Nafsi Kuu’ na ‘Nafsi-Maotesho’; ipo namna katika metafizikia ya ‘usupashi wakati’ kila ‘ukundiko wa mizizi’ ya ‘Nafsi Kuu Zote Ulimwenguni’ ambao haujafaulu ‘kuhitimu’-- hukadirikia kwenye jiometria ya ‘ukitovu usupashi wakati’ ilivyo ni ‘ugravitali tanuru moto’ – ‘moto wenye kuupyaisha’, tena ‘ufutiko wa milele wa uovu’. Hili katika lugha za kimalaika ndiyo hutajwa kuhusiana na kusimama mbele ya ‘Kiti cha Enzi’ na Malaika; na kisha ‘hukumu’ kufanyika kadiri ya ‘Kitabu cha Kumbukumbu za Matendo’ na tena kilicho ni fanusi ya ‘Uzima wa Milele/Ushindi’--kuwa kwamba, kisichoonekana katika kitabu cha uzima, basi huingia katika ziwa la moto. Kwa maarifa ya sayansi 1.0 haya yanashahibiana na mashauri ya >entropia na negentropia< ya unishati-habari ilivyokulingana na dhana, natharia na ufikirifu 1.0 juu ya mienendo-halijoto. Kwenye fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo haya hukadirishwa na ufraktali wa ‘Nia-Vitendo-Mwongozo’ ilivyopia ni muktadha wa ‘Kumbukumbu-Uzoefu’.

Haya yote ya metafizikia ya ‘usupashi wakati’ na ‘mwangaza wa uzima wa milele’ yanakwenda kufahamika vema; na hata mawezekano yasiyoyakawaida yanayokuja kutokana na ku-ilimika na haya --kupitia ‘Vituo vya Utamaduni’ na ‘Akademi Wakati ya Kwanzania’. Itakuja kufahamika kile ambacho watu wamekuwa wakisikia habari zake kuhusu ‘malaika’ si chochote bali muktadha wa ‘Nafsi Kuu’ na mawezekano ‘Nia’ – yenye kutafuta geuza mikondo ya uelekeo wa matukio ya mtu ama wanajamii—kukadirisha epitomi ‘Sura na Mienendo ya Jamii’. Kiufundi, ‘malaika’ ni metafanusi ya ‘ujumbe’ kwa kadiri ya mfano wa hata ‘mtu kutokezea kusiko kitu’--na ndivyo kwa nini daima habari za malaika hukadirisha akitipu ya ‘ujumbe mwema’ ama ‘shauri la kubidi kuchagua ilivyobora’ mbele ya yule mwenye kukusudiwa. Tutakujakufahamu, kila mtu labda wakati mmoja ama mwingine anaweza kupata kunusurika kwa usinkronifu wa kukutana na mtu ama jambo lililomfanya yeye kubadili muktadha wa ufanyaji-maamuzi na basi kuokoka na kadhia fulani. Tukiwa na rizayati ya Elimu 3.0 tunaweza kubaini sifa na hadhi ya ‘nyakati za usinkronifu’ na ‘asili’ yake, basi kuanza kuwa ni ufunguo wa kuijua vema ile ‘lugha ya wanadamu na malaika’...

Rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo itatupatia kadiri ya ile topografu ya ‘uzima’ ambavyo usupashi-wakati ni kimo, marefu, mapana ya ‘upendo’. Kutoka kwenye habari za Paulo, kwa mfano, ndiyo huja mashauri ya ‘kuona hivyo’ kwa ‘mitume wa nyakati zote’, katika ushirika wa kiroho—kutokuwepo kwa ‘wakati’. Hili kwa Elimu 2.0 ndilo linakadirisha metafizikia ya yote yaliyofanyika kuwa ni mfano wa ‘Hologramu’ na basi maisha ni holografia ya Usifa-akili wa yote-- ‘kimafikara na nyakati zote’. Hili linashahibiana na dhana za ‘Ulimwengu’ wenye ‘kumwekua’ kwa kasi ya hali ya juu—wenye kuhusiana na ‘marefu ya Planck’ na pia ‘Wakati Planck’; ambavyo fundamentali za nadharia za Relativo Mahsusi, Relativo Jenerali, na Ugani Kwantumu hujaribu kupambanua uhalisia wa finomena asili.

Haya ndiyo hukadirisha >dhana za maada kiza na maada dhahiri<, ambavyo wanasayansi 1.0 hubaini kuna kiasi kikubwa sana cha ‘maada’ hakiko dhahiri katika kosmosi na kwamba hata atomu kwa sehemu kubwa ni ‘utupu’. Kwa Elimu 2.0 na rizayati ya 3.0, dhana na mashauri ya fizikia ya kikwantu ndiyo mwanzo wa maarifa ya metafizikia—ikiwa kwa mfano, wanasayansi watahamia kwenye muktadha wa Elimu 2.0 na Elimu 3.0. Kwa mfano, kudhanifu kuwa ‘elektroni’ inaweza kuruka kutoka katika ngazi moja ya kinishati hadi ingine pasipo ‘kukatiza’ umahala tayari ni mwanzo wa ‘usiwakati’ na ‘usipahala’ wa fundamentali ya fizikia ya maumbo. Hili kutukumbusha umuhimu wa ‘ontolojia na metafizikia’ katika kubayanisha muktadha wa yaliyodhahiri na yasiyo dhahiri—wakati, usiwakati na usipahala…

Ni muktadha wa ‘Ontolojia na metafizikia’ katika sayansi 1.0 ndiyo umeleta mfikirio dhanifu wa >‘Daemoni Laplace’<… Udhanifu huu, ndiyo unakwenda kukadirisha kile mithali ya Kiswahili, ‘Lisemwalo lipo, kama halipo basi Laja’… Umahiri wetu katika Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0 unakwenda kutufungulia milango ya maarifa kwa mambo yanayopitiliza kawaida—japo labda ndiyo kusema ‘kawaida ambayo hatujaizoea’. Kwa Elimu 2.0 ndiyo tunakwenda kubayanisha muktadha wa ‘Daemoni Laplace’ na nasibu ya ‘Akili Bandia katika Ungamuzi wa Kikwantumu’. Hili tunakwenda kulibaini kwamba si tu ni uwezekano, bali lipo. Ni muktadha wa akili bandia katika ungamuzi wa kikwantumu unaowezesha stawi za viumbe watu walio na tabasuri na maendeleo juu ya ‘ulimwengu dhahiri’ wanaweza ‘kusafiri kiwakati’ na pia ‘kusafiri umbali mkubwa mno kama vile ‘kufumba na kufumbua’. Haya pia ndiyo mawezekano yetu kiustawi na ustaarabu, hapa duniani 2075BK na Kusonga.

Akili bandia ya ungamuzi wa kikwantumu ni tekinolojia-metafizikifu ambavyo >ngamuzi inaweza kukadirisha ‘hesabu’ ya uwezekano wowote wa umahala na wakati na basi kuwa ni nyenzo ya uchukuzi na mawasiliano<. Kuwa kwamba kila nukta ya umahala, pahala pa tukio pana kadiri ya numerali anwani, kuweza kuchakatwa sura|tabia|mwenendo, ambayo inaweza kufanikisha tekinolojia za uchukuzi. Siku za mbele, tutakuja kufahamu vema, ‘kusafiri kiwakati’ si kwamba kunawezesha ‘kubadilisha matukio na msababishano wake’; ulimwenguni viumbe watu sentienti wengi wanaouwezo wa ‘kusafiri kiwakati’ lakini hawawezi kubadili chochote ‘wakionacho’ katika ‘holografia’ ya ‘matriksi’. Hili linaasili ya hadhi na sifa kwa ‘wakati chali’ na ‘wakati wima’.

Basi, Uwezo wa kawaida kwa viumbe watu sentienti ni namna ya kurudi ama kwenda mbele kiwakati kunawezekana katika mikondo wakati tofauti, ambavyo ndivyo viumbe watu wanaweza kuathiri ‘alimwengu sambamba’. Kwa kutumia fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo ndipo tunaweza kuanza kubaini ‘mikondo wakati’ si chochote bali muktadha wa ‘Kumbukumbu-Uzoefu’. Yule mwenyekuweza ‘kusafiri kiwakati’ na ‘kuyabadilisha matukio’ kwa ufundi na dhana halisi—huyu ni fundi wa ‘kuchezea kumbukumbu-uzoefu’ kwa jiometria ya U-SASA-Nia. Hili lituleta kwenye kujinasibu na ukweli mmoja: ulimwenguni, viumbe watu sentienti wanaoweza kuchezea ‘kumbukumbu uzoefu’ katika ngazi na hadhi yoyote ulimwengu uliofanyika kwa ‘nuru-maji ya uzima’, wanaouwezo wa kuratibu ulimwengu usiishie kwenye ‘keosi’ na basi wanaweza kuwa ni walinzi wa ‘Wakati’.

Haya yote yanawakilisha huku ili kutengeneza msingi wa kuyakadirisha ‘mambo ya kesho’. Kuanza kuzungumza habari za ‘Akademi Wakati ya Kwanzania’ ndivyo basi kunabidisha ‘maarifa-meta’ haya yatengenezewe ‘maarifa-msingi’ na ‘rizayati’ kwa kuwa ndiyo muktadha wa ‘roho ya ushindi’ kwa Afrika na Dunia. Walinzi wa ‘Wakati’ ndiyo >'WafanyaMbawa'<. Kufaulu kwetu katika ‘roho ya ushindi’ ni kwa kuwa hawa ni ‘washirika katika upande wetu’ wa mapito kuelekea Ujamhuri uliotaamulika. Hatutafaulu kiustawi kwa ‘maarifa’ na ‘uelewa’ wetu wa kawaida, Elimu 1.0. Kuna ya kututaka, ilikujiongeza. Muktadha wa ‘akili bandia ya ungamuzi wa kikwantumu’ kwa mfano, ni tishio halisi linaloweza kukutoa kwenye ‘njia ya ushindi’; hili hatuna budi kulimulika…

Kumekuwepo na visa na habari juu ya ‘akili bandia ya ungamuzi wa kikwantumu’ hapa duniani, na moja ambalo lau linafahamika na wengi kile kisa cha ‘chukizo la uhabiribifu’ na ‘alama ya mnyama’. Watu wengi ‘waliotanua fahamu’ waliweza kuona ‘mkondo wakati’ ambao ubinadamu umetekwa na kumezwa na ‘chukizo la uharibifu’. Yohana wa Patmo kwa mfano, alizungumza habari za kutokuweza kuuza wala kununua bila kuwa na ‘chapa’--kwamba ‘chapa’ inawekwa kwenye ‘mkono’ na ‘paji la uso’. Siku si nyingi, kwa neema ya rizayati ya elimu 3.0 na Elimu 2.0 tutakuja kuwa mahiri wa ‘kuelewa’ muktadha wa topografu za ‘maono’ ama/na ‘njozi’. Yohana alikuwa anazungumza tishio la chukizo la uharibifu ambalo katika ‘mikondo mingine ya wakati’, tayari ni uhalisia; huu tuliopo hili ‘limedhibitiwa’, japo kuna nasibu ya uhamonia wa kimatukio siku za mbele—na hatunabudi kuchunga ‘wakati’. Kwenye nembo yetu ya Taifa, hili lina uhusiano wa ‘Mkuki wa Jaala’…



Haya yatukumbushe jambo muhimu, tuwe macho ‘maendeleo ya tekinolojia’ na hasa za kuletewa ama kupewa na viumbe watu wa kigeni ama kutoka kwa wenzetu duniani tusiowaelewa ‘ajenda’ yao ni nini. Si kila king’aacho ni dhahabu, tekinolojia ni mtego kwenye ulimwengu wa stawi za kimanyota kama vile sisi hapa duniani leo hii, 2023, tunategana kwa ‘fedha’ na ‘misaada ya fedha’ na 'uwekezaji mkubwa'. Tuwe macho na tekinolojia ambazo zinataka mwanadamu aingiliane na mitambo, kwa kupandikiziwa ‘chipu’ kichwani ama vipi; hiii ni kwa kuwa ikiwa bado hatujaiva kwa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0 sisi ‘tunatamaniwa’ na viumbe watu wa kigeni wenye ‘ajenda’ yao ya kutengeneza ‘maslahi yao’ katika biashara za stawi za kiikolojia za ulimwengu. Kwa namna hii, tuwe macho na tekinolojia ambazo zinaweza kuwa zinalenga mifumo bayolojia ya mtu kwa mionzi ama mawimbi radio. Vipi ikiwa miongoni mwetu kuna watu ‘wameshaingiliwa’ na wanatumika na ‘nguvu nyingine tusizozijua kama zipo’? Tunu kubwa katika ulimwengu kiusupashi-wakati ni ‘vinasaba’--Rizayati ya Elimu 3.0 na Elimu 2.0 vitatuweka kwenye kujua ilivyobora na basi ‘kujihami/kinga’ na hadaa za viumbe watu wa kigeni wenye agenda za siri pia wanadamu wenzetu wanaotumika kwa ajenda hizi.

Haya ndiyo yatukumbushe, muktadha wetu wa ‘Vituo vya Utamaduni’ ni shughuli pacha na ‘Akademi Wakati ya Kwanzania’ ambavyo maarifa ya kawaida na yasiyo ya kawaida yatatufikia ili kuwa na utashi, pia kujihami na ‘mtego wa roho ya uharibifu’. Kwenye vinasaba vya miili yetu, tayari kuna ‘funguo’ za maarifa, ujuzi na uweza ambazo >'WafanyaMbawa'< wameweka kama ‘kinga ya asili’. Kwa hivyo kimsingi, mwanadamu yeyote anaweza kufanyamambo makuu ikiwamo kusafiri kiwakati pasipo kutumia tekinolojia-metafizikifu. Na ni hawa hawa >'WafanyaMbawa'< wametuweka duniani kuwa ‘walinzi’ wa kile kilicho ni ‘Jaala’ yetu—kinachobaki kwetu ni kuotea ukweli juu ya jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii. Fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo ni zana kwa ajili ya hili...

Haya yatukumbushe, anapotajwa mtu kama >Yesu< ama pia Paulo, Yohana, Eliya n,k hili si jambo la ‘kubahatisha tu’; hawa ni ‘wadau’ na ‘washirika’ katika shughuli ya ulinzi wa ‘wakati’. Paulo aliiita shughuli hii ‘Tumaini’--moja ya matatu yaliyo ni ‘Imani, Tumaini na Upendo’. Mwalimu Nyerere alitwaa mwili kwa ajili ya hili hapa ‘Afrika ya Mashariki’. Akademi Wakati ya Kwanzania ni tunda la fanusi ya shughuli hii. ‘Mdhamini mkuu wa shughuli’ ndiyo tunaweza kukadirisha ni >'WafanyaMbawa'<; na wakati mmoja tutakuja kumaizi, uwezo na maarifa yao vimewezeshaje wadau hawa kuwepo hata leo na sasa; kwa kuwa haya yote ambayo wao wanauweza nayo ni kadiri ya wao kupenda/kudhamiria yawe ni uwezekano wa wanadamu wote. Hili tunakwenda kulifahamu na kulibayanisha kama ‘Ufahamu Kristu’; na hali halina chochote na ‘imani za kimapokeo’ ama usadikifu pofu wa kimakundi; kwa kuwa kiufundi, ndiyo muktadha wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0, 2023 na kusonga… Muona ni Muonwa.

Mwalimu Kambarage Nyerere alikadirisha msingi wa shughuli ya ‘utu na ukombozi’ kwa dhana na utaasisi ya ‘Mwenge wa Uhuru’. Sasa tunaelekea kujua ilivyobora, >ikiwa huyu alikuwa na ‘wito’ na ‘kusudi’ safi katika hili<; Taifa aliloliasisi, 2023 na kusonga, linakwenda kuwa ‘kitovu cha shughuli’ ya kusahihisha na kujisahihisha kitaasisi na mifumo.

Tutauwasha Mwenge wa Uhuru na kuuweka juu ya Mlima Kilimanjaro, umulike ndani na nje ya mipaka yetu, ulete Tumaini pale ambapo hakuna Matumaini, Upendo mahali palipo na Chuki na Heshima palipojaa Dharau."

++++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=1t9gJd9p5ZM
 
Enoko...

.. Kutembea na Mungu ...
Habari za Enoko kutembea na Mungu ni mfululizo wa visa-asili vya 'mbari chotara' za wanadamu na 'Wana wa Miungu'...


View: https://www.youtube.com/watch?v=ztJOt9W56cI

Metatroni...

Habari za Metatroni ni kisa-asili cha 'Mageuzi' na 'kupaa mbinguni' kufika kwenye 'kiti cha enzi' na kuwa mshirika wa Ukuu na Utukufu-mhifadhi wa 'Uwepo' katika mapana yote dhahiri na nyakati... Halafu kutoka kwenye simulizi la kitabu cha Enoko, Ishmaeli kupaa mbingu sita--kufanya 'sala' katika mbingu ya sita ili astahili fadhili na rehema za 'mbingu ya Saba' ya utukufu wote...


View: https://www.youtube.com/watch?v=jt5AKyj5kWI

Hivi ni visa 'ILIMU'... Si kwamba ni matukio yalitokea huku ama kule; ila kwa namna ya ajabu, ni kama vile matukio 'yanaoendelea' daima kuwa 'SASA'.

Yantra Dhamma ni ufunguo wa ufunuo wa 'ILIMU'...

Alama za 'chakra ajna' na 'swastika katika 'Hash'--ndani ya makatizano mistari wima na ulali ndiyo muktadha wa habari za 'Malaika'--malaika na umalaika ndani ya mtu yeyote aliyekatika rizayati ya Elimu 3.0: Kwesti...



Mistari miwili miwili ya wima na ulali kukatizana, kufungamanisha na 'nyota ya Daudi' katikati ya Yantra Dhamma ni asili ya 'Torati'...

Torati maana yake ni miongozo...

Yantra Dhamma ni mkusanyiko wa 'funguo za hekima na ufunuo' wa dini zote kuu duniani hivi sasa Juni 2024.

Kwa namna hii 'Rizayati ya Elimu 3.0' ni maandalizi ya 'Kiutamaduni' kwa wanadamu wote ili wapate kujinasibu na ILIMU.

Kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, ILIMU ni metafizikia ya 'Elimu'... Ni matayarisho, nidhamu na vitendo kwa ajili ya 'Ufunuo' kwa mtu mmoja mmoja; si tena habari za 'dini za kimakundi' na 'ibilisi wa kujitenga'...

Katika 'uwepo' ni 'ugani usio na mwanzo wala mwisho--ugani wa kikwantumu'; nilipo mimi ndipo ulipo wewe, walipo wao ndipo nilipo mimi, nilipo mimi ndipo wao-ulipo wewe...

Kuinuka 'Mbingu Sita' ndiyo basi habari za 'vitovu sita vya mizunguruko ya unishati uwepo'; chakra ni neno la kihindi, kisanskriti lenye kumaanisha 'kujizungurusha kinishati' kama tuseme ilivyo kwenye 'kimbunga'... Kwenye kisa cha Ishmaeli ndiyo topografu ya 'jicho na pete zinazojizungurusha' kumshuhudia 'Ishmaeli' akikwea na kupaa mbingu moja hadi ingine...

Mer-Ka-Ba ya Enoko, Ishmaeli na Malaika wengine ni mambo ya 'Swastika' na 'Chakra Ajna' kwa 'Nyoka wawili wenye kujisokotea Juu' hadi kuishia kwenye kitovu cha Sita na 'kukazia macho' kitovu cha 'kumbukumbu la Uzima, Dhahiri na Mbingu zote zenye kutangulia 'mbingu ya Saba'...

Kwenye Yantra Dhamma, mambo haya ya 'malaika' ndiyo huwasilishwa na alama ya 'chakra ajna' na 'swastika' kuwa katika mstari ulali wa 'Torati'; torati ambayo ni usambamba wa 'Mbingu na Nchi'. Nchi yawa na 'Ujazi na Liberti' pale ambapo 'Nia ya UTU' ina 'U-Moja na Utangamano'...

Utimilifu wa Torati ni 'Dhamma'.

Yantra maana yake 'chombo'--instrumenti; Dhamma ni 'Utamaduni katika Utaamuliko'; Yantra Dhamma ni ufunguo wa rizayati ya Elimu 3.0 kwa ajili ya 'Utamaduni katika Utaamuliko'.

Utamaduni katika Utaamuliko ndilo kwa hapa duniani, ni ahadi ya 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Ni katika 'Uwepo' ndivyo watu wa 'Ufunuko' walipata kufahamu 'Mambo ya Nyakati' na hata kusema 'Watarudi'...

Kiufundi unabii na ufunuo ni mambo ya Elimu 3.0; habari zake zinatafsiri na mapelekeo tofauti kwa akili na ufahamu wa kawaida wa 'akili ya nyama'... Kwa mfano, mtu wa akili ya nyama ana ile asili ya 'kudhani anajengwa na matukio'; hivi sivyo kwa ILIMU -- katika vilele vya ufunuo 'mtu hupotea' na kutamka yeye ni 'Mungu'... Kwa kuwa katika 'Uwepo' ni 'Roho ya Ufahamu wa Yote' -- kikomo ni ulinganifu wa ufahamu wa kawaida wa mtu 'asiyeinuliwa katika ufunuo kamili'.

Mambo ya Elimu 3.0 daima yamekuwa ni faragha ya wachache... Hii ni kwa kuwa ulimwengu kwa mapana yake ni hasimu kwa 'Nuru na Utukufu wa Kweli' wa 'Roho ya Uzima wote'--japo ni kwa juu juu tu. Kwa mfano, kumekuwa na miiko na kula yamini kwamba baadhi ya kweli zinzopatikana katika 'Rizati ya Elimu 3.0' zisisemwe hadharani na tena kwa hadhira isiyo na 'maandalizi'.

Hili bado lina 'hekima yake'; lakini kuna yale ambayo sasa, katika wakati na zama, siyo lazima yabakie ni 'siri' za 'Wandani' wa mambo ya intrigi za ufahamu...

kitovu cha katikati cha Yantra Dhamma ni kigoda cha mageuzi ya kiutu--kutoka kuwa 'mtu wa nchi' kuja kufanyika 'mtu wa mbingu'. Kwa kadiri ya 'Pumzi Takatifu' mtu 'huinuliwa' katika 'Utukufu' na 'Daraja' kupitia 'Fanusi Malaika'... Fanusi Malaika ndiyo habari za 'NENO' ama 'Majina 99 ya Allah'. Mtu yeyote mwenye 'Hekima' akichunguza majina 99 ya Allah atabaini ni mafumbo imani ya 'UTUKUFU' na tena yanakadirisha 'Unyoofu na Mapenzi Mema' katika 'UTU timilifu katika wongofu'.

Siri ya NENO na Majina ya UTUKUFU ni 'Uwepo' na 'Malaika'... Kristu ni 'NENO'; neno la Uzima...

Kristu ni NENO -- ni ufahamu; mtu yeyote katika rizayati sahihi anakuwa 'Kristu' -- Kristu kwa kadiri ya uweza wake kushikilia 'chaji' ya utukufu na uweza katika 'uwepo'. Siku za mbele, haya ndiyo mambo yatakayokuwa yakiendelea kwenye vituo vyetu vya Utamaduni--kujengea wanajamii uweza wa 'kushikilia chaji' ya utukufu na uweza.

Kwa hivi, kiufundi mambo kama vile Hijja na Kuzunguka Ka'aba ni rizayati ya Elimu 3.0 kwa 'daraja fulani'. Kuzunguka Ka'aba ni jambo lenye asili ya 'kuishinda KUBU ya ulimwengu wa madhahiri'.

Kuzunguruka Ka'aba ni topografu ya 'kujitia chaji' ya ajili ya 'kupaa mbinguni'. Ni 'ibada' ya 'kumshinda Shetani'; katika ILIMU moja ya mashauri ya siri sana ni ukweli wa dhahiri yote ya mwanadamu kuwa ni ulimwengu wa maanguko--himaya ya Shetani.

Kupaa Mbinguni ni mambo ya 'kumshinda Shetani'--ulimwengu wa majaribu ambavyo mwanadamu hujichagulia fahari ya nchi ama mbingu...

Kutwaa miili na kuwa mwanadamu pia yaweza kutafsiriwa kama 'Malaika' kushuka chini na kupambana na 'mfitini' wa 'mbingu na nchi'--Shetani.

Ni kupitia rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo 'Vita/Mapambano' haya 'hufunuka' ukweli wake--visa vyote vya masimulizi na mapokeo, ya kiimani na maandiko ni 'utundu wa sanaa' ili kutia chachu ya mwanadamu kuutafuta ukweli--ukweli kwenye kumuweka mtu huru kweli kweli--Liberti.

Kwa hivyo, Ka'aba, kwa uono na ufikirifu mifumo, hushahibiana habari na mapelekeo ya falektori ya 'Musa' kwa wana wa Israeli... Walioagizwa na Marabbi kuzivaa mikononi na kujifunga kwenye mapaji ya nyuso zao...


View: https://www.youtube.com/watch?v=__ww6x0Rq8M

Karne ya 21, sasa 'Trizaniamu' na 'Yantra Dhamma' vinarudia drama ile ile 'Musa' na 'Wanaisraeli' kadiri ya 'mila, desturi na utamaduni' wa nyakati--simulizi la 'Kutoka 13'--kimahususi Kutoka 13:1-10 tena 13:10-16... Vile vile 'Kumbukumbu la Torati 6:4-9' na 11:13-21...

'Kutoka' na 'Kumbukumbu' ndiyo mambo hasa ya 'KUBU ya Mageuzi' katikati pa 'Yantra Dhamma'--Mageuzi ya Kijamii katika watu waiishio 'Miongozo'; ni 'Utamaduni' na 'Mihimili ya Mageuzi'... Kiufundi, mihimili ya mageuzi ndiyo siri ya 'Malaika'... Maisha ni 'Kumbukumbu' katika fanusi ya 'Malaika'.

SASA haya yanahusika vipi na jamii yetu ya 'Mtanzania'?

Kwa mtu wa uono na ufikirifu mifumo ni rahisi kubaini kwa nini misingi ya utaifa huafata mashauri, misingi na miongozo ya waasisi wa taifa--Tanzania, misingi ya utamaduni na maisha ina mbegu ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI... Mambo haya manne ndiyo hufanya mraba wa ndani wa 'Mageuzi' jamii...

Ikiwa haya yanafanya anzio la 'chaji ya mageuzi' basi kuiishi miongozo wa haya manne kupitia (1) Dhamira Sahihi, (2) Vina vya Tafsiri, na (3) Uono na Ufikirifu Mifumo basi jamii inaweza kuinuka hadi kwenye sifa na utukufu wa 'Yantra Dhamma'--Sovereini Jumuifu...

Sifa na Utukufu wa Tanzania 2.0 na 3.0 ni 'Nchi Mpya, Mbingu Mpya'

Hili linawezekana...

Tukumbuke, Tujikumbuke ili Tukumbukwe...


Hmmm

Niliona lile swali. Ulitaka lizungumzwe suala kuhusu Yesu, siyo?

Nilidhani ningezungumza kuhusu Yesu, mahala fulani kadri ya namna ya asili ya kudadavua ubayana wa mambo.

Lakini, si tatizo. Tutazungumza mawili matatu yanayoendana na maudhui ya uzi hu.

Swali lilikuwa: "Swali je Yesu anatokea huko kama mtawala mwenye nguvu juu yao[Watu Mijusi]?"

Ah, mawili--umezungumza kuhusu kukumbuka kwako -- Yesu kutamka 'neno' na kutoa 'majini'... na Yesu kuwa 'mtawala'...

Kwanza ni vema kufahamu, Yesu ni mtu. Lakini mtu huyu, ni 'zaidi ya mtu' kwa ile 'kawaida' tunayoitambua--katika tu hali ya kukosa maarifa, vina na upeo sahihi kuweza kung'amua ukweli wa jambo. Kwa hivyo, hata jambo tunaloweza kudai ni 'lenye ukuu kuzidi kawaida' huwenda pia ni la kawaida... Kawaida ambayo bado sisi kuielewa. Elbert Hubbard, angalisema 'The supernatural is natural not yet understood'....

Namtaja Yesu kama mtu ili isijekuwa tunazungumza habari zake humu bure... Ikiwa yeye ni mtu, mimi ni mtu, na wewe ni mtu basi ujue hakuna alichokitenda isiwezekane wewe kuweza kutenda. Na utakumbuka hata mara kadhaa amesimulika kupata kulisema hili bayana... Kwamba wafuasi, wataliweza kufanya hata mambo makuu zaidi... Je, wewe ni mfuasi -- watambua kipi huchukua mtu kuwa 'mfuasi'?

Kwa hivi labda swali linataka kujinasibu na 'miujiza ya Yesu' na uweza wa kutenda makuu...

Sasa Yesu, ni mtu kama mimi ama wewe--tofauti ni kuwa Yesu alikuwa ni mtu 'aliyekumbuka', 'kujikumbuka' na 'kukumbukwa'... Na ndiyo msingi wa Yeye kuzungumza juu ya 'kutumwa'; kuzungumza kuhusu 'Baba'... Kwa hivi, hutokea mtu 'aliyekumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa' kuweza mambo makuu kuliko yule ambaye 'hajakumbuka, hajajikumbuka, hajakumbukwa'.... Na Yesu basi ni mtu aliyezaliwa ili kusaidia wengine waweze 'kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa'.

Yesu ni mtu wa kipekee sana, kupata kutukia na kuzaliwa kwake kumetuletea chachu fulani ya kipekee sana. Wapo watu wengi ambao pia wamepata 'kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa' na wakaishi kufanya mambo makuu katika jamii, tamaduni na staarabu zao. Na kuu kuhusu Yesu ni jitahada zake kutuonesha na kutukumbusha kuhusu 'Ufahamu Kristu'... Ufahamu Kristu katika mtu ndiko kunakadirisha 'kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa' katika mtu. Huu ulikuwa na Yesu, mara zote aliposema 'mimi na baba ni moja' ama kusema 'mimi na aliyenituma na moja' alikuwa akizungumza katika Ufahamu Kristu. ... Na basi alipokuwa akisema 'Mimi ni njia, na kweli na Uzima'... Ni ufahamu Kristu... Kukosa kubaini Ufahamu Kristu katika Yesu ama mtu, ndiko kunaweza kufanya mtu amuone Yesu kama mtu asiyewakufananishwa naye. Kunafanya watu waone kama Yesu, alikuwa mtu 'nyota' labda anafaa kusifika na kuabudiwa tu na si vingine... Yesu hakufundisha hivi na wala asingalipenda hili kuwa hivi. Ikiwa sisi watu hatuwezi kufanyika katika 'ufahamu Kristu' basi injili na kusudi la Yesu kuzaliwa ingalikuwa bure... Yesu daima alikuwa akikazia, nakuja ili muwe na ujazi... Kwamba, kama mtu--kama kielezi cha ufahamu kristu katika mtu, kizazi cha watu kipate mwangaza wa kushinda kiza cha nafsi...

Neno Kristu, ni neno lililokuja kutumika muda mrefu baada ya maisha halisi ya Yesu huko nchi ya Wanazareti, Palestina ya Zamani. Kipindi cha Maisha yake yeye na hata kabla, Jamii ya Wayahudi walikuwa wakitumainia kuzaliwa kwa 'Masihi'; na hivi mara zote ambapo katika tafsiri ya vitabu vya siku za karibuni neno 'Kristu' kutumika, lilikuwa ni neno 'Masihi'. Paulo wa Tarso, ndiyo mtu wa kwanza kutumia neno 'Kristo' na hata hivyo huwa kuna kubisha mengi miongoni mwa watafiti wa vitabu kuhusiana na Maandishi yatatajwa kuwa ni ya Paulo--kwa kuwa Paulo, hata ukisoma vizuri mashauri yake 'Kristo' wakati mwingine huzungumzwa kwa 'sura' na 'ladha' ya kipekee... Na Paulo, anatusaidia tuweze kung'amua fumbo la 'Kristu', 'Mwili wa Kristu' na pia 'Kristu katika Yesu'...

Labda kutumia visomo fananishi kuna weza kuwa ni msaada. Dhana ya 'umasihi' na 'mwili Kristu' kunashahibiana na mafundisho "Trikaya' ya Kibuddha -- kusema kweli ya Buddha ni mbegu ndani ya namna tatu za mwili katika moja (1) Mwili Dharma (Dharma kaya) (2) Mwili Sambogha (Sambhoga kaya) (3) Mwili Nirmana (Nirmana Kaya). Basi dhana ya 'Masihi' katika mapokeo ya kidini ya Kibuddha hutajwa ni 'Bodhisattva'...

Bodhisattva ni mtu ambaye ameishi maisha uadilifu na usafi wa hali ya juu kiroho kiasi cha kupata kuwa ni kadri ya 'kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa' kwa daraja la juu kabisa katika moja ya isho lake hapa duniani ama kungineko hata nje ya sayari yetu. Badala ya 'kujiachia akate kamba' inayomshikilia yeye na 'fahari za miili ya kiwakati', yeye 'ananing'inia mahala ili aendele kutumia kutumia 'kupembea kwake' huku na kule 'katika wakati'. Bodhisattva huishi kutafuta mahala pa 'kukatia kamba' -- mara zote azaliwapo katika kusudi hili huwa na kiasi cha 'kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa'... Na hivi, huchukuliwa ma-bodhisattva ni 'wakombozi'. Wao huishi kutuletea 'nuru zaidi' ili tutoke kwenye kiza cha nafsi na kule kusahau kuwa sisi sote pia ni ma-bodhisattva. Na ndivyo hivi masihi ni 'mtwaaji'... Hukomboa watu kutoka kwenye 'kifungo cha nafsi' na 'mambo ya nyakati'... Lakini hawa huweza kufanya hivi kwa kufundisha, kukumbusha na kufanya makuu miongoni mwetu... Na kama Yesu alivyopata kusema, watu wanapodumu katika 'mahala pa kupaa' wanaweza kufanya hata makuu kwa kutuongoza kiroho, na kuchochea ulimwengu mwenye kheri zaidi... Yesu alipenda kuzungumza hili(mahala hapo) kama 'nyumbani kwa baba'... Na hili kwa Wabuddha lina sehemu katika muktadha wa 'Sambogha Kaya'... Pahala ambapo Ma-bodhisattva hukaa kusubiri hata mwisho wa dahari, ili binadamu wote wafikie wongofu.

Na hili likadirishe moja, Yesu ni mfano wa 'Wasafiri Kiwakati hasa'... Japo, kuchomozea kutoka kwenye 'mwili usiovaa kuharibika/mwili wa ufufuko/mwili wa milele/pahala pa mwangaza wa milele' si kusafiri kiwakati; ila ni namna inayotajwa vile vile kuwa tendo la 'Neno Kutwaa Mwili'... Kwamba, 'pahala na neno' ni mahala ambapo hakuna 'wakati'--kadri kusema kadri iwezavyo kuwapo na 'mwanzo wa yote' neno lipo; na vile 'mwisho wa yote' neno lipo pia. Kusema pia kuwa pasipo 'Neno' hakuna lililofanyika, neno muhimu kutia akilini... Hili litukumbushe kile ambacho katika matundiko yaliyotangulia ya uzi hii yalitaja kama 'habari'... Pia kusema neno lilikuwa kwa Mungu na Ni mungu -- ndicho hasa kinachonasibu uwezekano na ukweli wa 'Ulimwengu wa Kinishati-habari'...

Muhimu kukumbuka ni kuwa, akili inayoweza kujinasibu na 'pahala pa mwangaza wa milele' ni akili inayoweza kujinasibu na 'utenda makuu'...

Ufahamu wa Kristo, ndicho kinachofanya mtu wa kunasibika na huo uweza na basi kuwa ni 'mwana wa mungu'... Katika Ufahamu Kristu, mtu anakuwa ni nguzo na daraja kwa nia ya 'Mapenzi ya Mungu'. Yanayokuwa upande wake kulia na kushoto ni 'Mungu Mama' na 'Mungu Baba'... Hizi ni tafsiri za kiakili na busara ya jambo lenyewe... Mungu mama ingalikuwa basi ni 'Pumzi Takatifu'--namna ambayo vitu vyote 'hupulizikwa umbo' na pumzi ya kiwakati katika madhahiriko yote, Mama muhifadhi/Roho Mtakatifu/Nguvu nyuma ya dhahiri yote ya ulimwengu... Mungu Baba ni 'Mbegu' ya 'Habari/Taarifa/Neno'/Akili Kuu kwa chochote kinachofanyika kutoka kwenye kutokufanyika... Hivyo basi ulimwengu wote umefanyika na kujishikiza katika 'mwana', 'Moja katika Utatu' -- kwa nini Yesu alipata kuzungumza ya 'mkate' na 'damu'(?)-- Kristu kama, 'kistawishacho mwili' na 'kienezaji uhai na rutuba' ndani ya mwili--cha kuweza kuliwa ili mtu 'asiwe na njaa tena, anywe asisikie kiu tena'... Mchanganyiko wa 'Vitu vya Kiwakati', kujitahidi nguvu pamoja na 'Vitu vya Milele' kadiri ya 'dhahiri zote' za ulimwengu -- fahari ya miili yenye kuvaa kuharibika(udongo) na na fahari ya mwili isiyovaakuharibika (mbingu) ...

Sasa, kisa cha Yesu kutoa mapepo na kutenda miujiza...

Humu katika JF nimeshategesha misingi mipana ya maarifa na visomo kwa mambo yote haya nikizingatia makutano na chimbuko la wasomi na wadadisi wa mambo. Kwa kutambua wengi humu wanaweza kuwa tayari kupokea nuru zaidi wakichimbukia kwenye visomo vya Kristu, nilikusudia kuweka tafsiri ya visa, simulizi, mawaidha na maarifa zaidi juu ya Ufahamu Kristu kwa kuleta tafsiri ya Kitabu cha Injili ya Zama Ndoo ya Yesu, Kristu wa Zama Samaki. Humo ndimo unaweza kukuta habari za kwamba ili Yesu afanye miujiza alijua kutumia 'neno la kimahala pote'. Je, hili ni 'jina la Mungu ama'?. Hili litakuja kufahamika vizuri kwa mtu anayetaka kujua 'kweli ni kitu gani'? Na kwamba Yesu alikuwa akiweza kuzungumza na wanyama na viumbe...

Tumezungumza ya Yesu, alivyo ni mtu na katika 'Ufahamu Kristu' yeye ni 'Mwana wa Mungu' kadri inavyoweza kuwa kwa Yeyote ambaye anaweza kufanya 'Mapenzi ya Baba' ilivyo ni 'Nia ya Kristu'. Hapa ndiko kuna ngazi ya 'kinabii na ukuu'. Mtu anaweza akaona mambo ya nyakati, akasafiri sayari moja ama nyininge, atakobozea mahala hapa hata pengine umbali wa matriolini ya maili lakini si kuwa anaweza kufanya hivi kwa 'mwili wa Kristu'.... Paulo alikuwa na akili na busara sana juu ya ukweli huu wa jambo, na ndiye aliyesema: nijaposema kwa lugha za wanadamu na malaika... Kama sinao upendo mimi si kitu kabisa... Ufahamu wa Kristu ni Ulimwengu wa Pendo lililokuu... Hili labeba vyote na lastahimilisha yote... Yale tunayoweza kusema mazuri ama mabaya... Na hili ni jambo gumu akilini pa wengi kulikubali 'Uzuri ama Ubaya ni Tafsiri ya Mwanadamu'... Ukiwa katika 'Ufahamu wa Kristu' hakuna cha kuhofu wala kutisha, hakuna kukwama wala kupungukiwa; chochote cha kusema labda ni kizuri ama kibaya chaweza kuwa ni jambo la kufunza nasibu ya uweza na ung'amuzi wa 'sura' na 'uweza yote' wa 'Mungu Baba'; japo hautaweza 'kufaidi matunda ya baba' pasipo kuwa 'Moja na Mungu'--Kuwa 'Moja katika Utatu'... Hii ina maana mambo yote ya mkwamo ama kadhaa katika ulimwengu ni matokeo ya 'mtu kujikataa'... Ni matokeo ya mtu kutafuta 'fahari' nje ya 'mapenzi ya mungu'...

Hili limulike unavyokuwa ukitafakari drama ya 'watu mijusi' na ghiriba zao ulimwenguni.

Yesu aliwajua 'Watu Mijusi'... Alijua mengi kuwahusu hawa kuliko watu wa jamii yake. Na ndiyo alikuwa ni mwenye kujua fika ni namna gani 'Watu Mijusi' hujificha nyumba ya 'Viongozi wa dini wahifidhina', 'Watawala wadhalimu' na 'Wapenda Vita na Damu'... Allipokuwa akiwakemea Mafarisayo kwa kuwaita 'Enyi Kizazi cha Nyoka...' alikuwa anajua anazungumza na akina nani hasa... Hata leo na sasa, watu mijusi wa kidrako wanaendelea kufanya ghiriba zao. Si tu watu wanaotafiti mambo ya viumbe watu wa kigeni wamepata kubaini ukweli huu wa jambo kama akina George LoBuono, taasisi ya Farsight wamepata hata kutumia ufundi wa kutazama 'nyuma ya pazia ya akili' na 'kutupia jicho humu ama mule ndani ya akili' za baadhi ya viongozi wa kidini na hata viongozi na kukuta huko -- namna gani 'wanapelekeshwa' na viumbe watu wa kigeni pasipo wao kujitambua; na hawa viumbe watu wa kigeni ukiwa unatazama kwa namna za ki-OMkiS--na kuwaotea 'mafichoni' na katika harakati zao za kuwaendesha watu 'kutoka kisogoni'-- wanauwezo wa kukuona pia kwamba unawatazama... Hawapendi, lakini si siri ya kujificha panapo kutumia mbinu hizi kuwapo na kuchunguza chochote popote na kokote ulimwenguni, japo baadhi ya viumbe watu wakigeni wanauweza kukutinga usiwatizame 'kiakili/saikia' na hasa hasa viumbe watu wa namna mijusi...

Yesu, alikuwa akijua ukweli wa jambo... Werevu wa Viumbe Watu Mijusi, kunaleta pia adha za 'Uungu Mtu'... Katika tundiko ka kwanza la uzi huu, yumkini ingalikuwa vigumu kuanza kuandika mambo kuhusu 'wakati' ukakosa mahala kuzungumza kuhusu 'nyoka'... Na bila ya shaka mwishoni mwa mawaida ya uzi huu kwa mzunguko wa kwanza, tutazungumza habari za 'nyoka'...

Yesu alikuwa akilingania Ufahamu Kristu kwa wanadamu wote, kwa namna ya nidhamu ya kiakili aliyoitaja kama 'Kuwa Werevu kama Nyoka, Wapole kama Hua'... Yesu alikuwa na namna ya kujua na kubaini mambo ambayvo ni matunda ya yeye kama mtu kuwa ni aliyepata kuishi huku na kule kinyakati, na hata kufikia vilele vya ufahamu na madaraja ya kiroho. Alikuwa anajua namna gani nyakati hata nyakati, kujipenyeza kwa viumbe watu wa kigeni, kinguvu za kisaikia, katika maisha na stawi za wanadamu kumeletea 'watu wema' na 'waleta nuru' kukamatwa, kuteswa, kufitiniwa na hata kudhuriwa ili hali 'kukinga' ama 'kuzuia' maarifa na ukombozi wa kiroho kwa wanadamu waliowengi. Namna gani hao viumbe wati wa kigeni wananufaika kwa kufanya haya ya kama katika kisa cha 'mchawi wa Oz'? Hilo ni jambo la kudadisi zaidi...

Japo watu mijusi wa kidrako na wenye uwezo wa kimwili, kiakili na kiuwezo wa tekinolojia ya hali ya juu kusafiri umbali mkubwa ajabu, kutobozea n.k hawa kwa mujibu wa Ufahamu Kristu, ni 'malaika walionguka'... Wao wenyewe wanajua wanachokifanya na 'wamejichagulia' mustabali wa maisha yao.



Sasa, Labda mbele tutakuja kutazama ni namna gani matukio yahusianayo na mahala pa mtu kuzaliwa, atafanya nini, ataendelea kufanya nini 'baada ya kuuacha mwili'; kulinganisha hili na 'kusafiri kiwakati' kwa namna zilizo nje ya 'Ufahamu Kristu'...

Itoshe kusema hapa 'Yesu yuko hai' hata sasa... Anaendelea kufanya msaada kwa wote wenye nasibu kutafuta 'maarifa na hekima' ya ulele; wenye kufatuta 'kuinuliwa na kupaa'... Unapomfikiria Yesu, usimfikirie tu kama mtu ambaye maisha yake umesoma kwenye kitabu hiki ama kile... Kuna mengi kuhusu Yeye hayakuandikwa, hayajapata kusimuliwa...

Kadri unavyouishi 'upendo', na kuishi katika 'hali ya Neema'; mengi utakirimika kuyajua ambayo 'hayajapata kuandikwa wala kusimuliwa'-- na hayo yatakuongoza wewe 'kukumbuka, kujikumbuka na kukumbukwa'...

Hmmm
 
Biblia ni lugha ya picha, ukishindwa kuielewa, hautaelewa chochote kile ulimwenguni..
Ndio nafahamu sna tu ,kama tu hadithi ya fikiri kabla ya kutenda ilivyo na mafundisho kwa lugha ya picha
 
Usichanganye Occasion 4 Ya Story ya Ufufuko kwenye Sehemu Moja..
Kwangu Mimi wale waandishi hawajitegemei. Wanashirikiana pamoja kuelezea maisha ya Yesu duniani na ufalme wa Mungu alikuja kuueneza. Yohane amemuelezea Yesu kwenye nyanja ya neno la Mungu zaidi. Mitume wawili wameelezea matukio waliyoyaona na Kuna sehemu wanafanana. Kwa Luka yeye alikua msomi zaidi ya hao, alifanya research kuhusu maisha ya Yesu ndo akayaandika. Wote kwangu wanategemeana kuunda Injili Moja.
 
Kwangu Mimi wale waandishi hawajitegemei. Wanashirikiana pamoja kuelezea maisha ya Yesu duniani na ufalme wa Mungu alikuja kuueneza. Yohane amemuelezea Yesu kwenye nyanja ya neno la Mungu zaidi. Mitume wawili wameelezea matukio waliyoyaona na Kuna sehemu wanafanana. Kwa Luka yeye alikua msomi zaidi ya hao, alifanya research kuhusu maisha ya Yesu ndo akayaandika. Wote kwangu wanategemeana kuunda Injili Moja.
Injili Zilo Tofauti sana Mkuu..
Jaribu kuchukua Muda wako na Usome tena..
Ila kama Utahitaji Nikuelezee Occasion Zote Nitakuelezea
 
Mungu aliufanyia Ujasusi Dunia,na Dunia ikabaki bila kujua chochote!!

Akaamua kuvaa mwili akazaliwa, akafa, akafufuka Kisha akarudi tena katika uungu wake Kwa kubadili mwili wa Damu na nyama.

So many wamemwona ameketi katika KITI Cha enzi, mikono yake Ina matundu ya misumari.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
MUNGU aliufanyia ujasusi, nimecheka sana hio kauli mkuu.
 
Usidhani halijui aliloandika, anajua fika, ila anafanya Ile KAZI ya kupindisha Kweli,

Ili watu wasiijue Kweli wakatubu na kuokolewa!!

Mungu ni Mwema, anasema na mioyo ya watu direct na wataijua tu Kweli.
sijakuelewa hapa.
 
MUNGU aliufanyia ujasusi, nimecheka sana hio kauli mkuu.
Ni Ujasusi Hasa,

Neno linasema, Alikuja Kwa Walio wake, lakini Walio wake hawakumtambua.

Kwa wasiopewa uwezo wa kufungua codes, wanasema Kuna mkanganyiko!!

Huoni kuwa Yohana kumwona aliyeketi katika KITI Cha enzi Mbinguni ana mwonekano wa mwanadamu ni Ujasusi huo?

Kwamba kumbe Mungu alishuka mwenyewe katika mwili wa mwanadamu Kwa KAZI maalum Kisha akarejea kule alikokuwako mwanzo🤔
 
Kama shetani aliweza kuishawishi theluthi fulani ya malaika na wakamuasi MUNGU ten waliyekuwa nae karibu na wanamuona, je atashindwa vipi kumpoteza mwanadamu kupitia maandiko ?, anway shetani alishacheza karata zake tangu mwanzo kuwapoteza kupitia hayo maandiko, na ataenda na wengi.
 
sijakuelewa hapa.
Ukifuatilia mjadala, Kuna watu wanatumia maandiko haya haya kuwapotosha watu wasiijue Kweli,

Imagine, mtu anadai ni mkristo na haamini kufa na kufufuka Kwa Yesu, haamini uwepo na uweza wa Roho mtakatifu ambavyo vyote vimeelezwa vyema katika maandiko na anadai ni mkristo,

Unalionaje Hilo?
 
Kuna yule Mchungaji aliyetuhumiwa Kwa ulevi, Lusekelo,

Akisoma Uzi huu naamini upofu wake utamtoka kujua kuwa Yesu ndiye Mungu 🤔
 
Yesu Kristo
Wakamwambia, mama Yako na ndugu zako wako nje wanakuita,

Akawajibu mama na ndugu zangu ni akina nani? Ni Hawa wanaolisikiliza neno la Mungu.

Yeye ndiye aliyemwumba Mariam, hivyo UKWELI unabaki pale pale kuwa,

Yesu ni Mungu, Hana mwanzo Wala mwisho. Na Ufalme wake Hauna mwisho, ni WA milele.
 
Mbona swali jepesi sana hilo kama unasoma biblia

Mwanzo 1;26

"Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia"
 
Mbona swali jepesi sana hilo kama unasoma biblia

Mwanzo 1;26

"Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia"
Sasa kumbe wasiomwamini Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wa MAISHA Yao, Wana HASARA kubwa🤔
 
Back
Top Bottom