min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁 kwanini nitulie , humu sio kanisani mkuu.Ok,
Ahsante Kwa mchango wako,
Tulia sasa tusikie na wengine wasemaje!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 kwanini nitulie , humu sio kanisani mkuu.Ok,
Ahsante Kwa mchango wako,
Tulia sasa tusikie na wengine wasemaje!!
HOJA kuhusu kitabu kinachopingwa na wanatheolojia ni nje ya mada.Hoja Ipi??
Kama ni Hoja Ya Mfano wa Mwanadamu Inakosa Authentification kwa sababu imetajwa kwenye Kitabu kimoja tu cha biblia..
Yaani Ufunuo..
Kitabu ambacho Bado kinapata Pingamizi kutoka kwa Wanatheolojia
Hata mahakamani ukiongea bila Utaratibu, unawekwa ndani chap😀😁😁 kwanini nitulie , humu sio kanisani mkuu.
😁😁😁Umezoea mahubiri ,unaambiwa tu hakuna kuhoji, uzi ukishauweka humu ni mali ya uma tulia upigwe spana.HOJA kuhusu kitabu kinachopingwa na wanatheolojia ni nje ya mada.
Anzisha Uzi wako na ujadiliwe huko.
Jikite kwenye mada, na ikiwa huja jibu, Tulia waje watakaoweza kujibu🙏
Ngoja kwanza tumuite kiranga.Hata mahakamani ukiongea bila Utaratibu, unawekwa ndani chap😀
Sasa Utajadili vipi Mada wakati Sources ya Mada Yenyewe Ni Non-Authentic..HOJA kuhusu kitabu kinachopingwa na wanatheolojia ni nje ya mada.
Anzisha Uzi wako na ujadiliwe huko.
Jikite kwenye mada, na ikiwa huja jibu, Tulia waje watakaoweza kujibu🙏
Nikisema, huna jibu kuhusu HOJA hapo juu, nitakuwa sijakosea.Sasa Utajadili vipi Mada wakati Sources ya Mada Yenyewe Ni Non-Authentic..
Lets say...
Tuanze kujadili Kuhusu Kuwa Sheria ya Kodi na Ufujaji aliyosaini Rais wa Tanzania Anayeitwa Joe Biden....
Halafu ukatupostia Contents za Hiyo sheria..
kisheria Contents nzima itakuwa Si halali kwa sababu hakuna Rais anayeitwa Joe Biden Tanzania..
So kama Hakuna inamaanisha hata Sheria Itakuwa ni Void na Inconclusive....
Huwezi kujadili Kauli ya Mtu anayesema Kaambiwa na Kuku hata kama Kauli itakuwa ya kweli
Muongeze na hizi aya Zao ambazo hawazisomi...Ngoja nijikite humo, Mungu ni wewe mimi na yule , hakuna Mungu kama kitu kimoja chenye nguvu zaidi njee na wewe mimi yule na kile , ukishasema Mungu yupo mahali fulani tayari ushapunguza sifa ya Mungu kuwa Mungu.
Yani kila kitu ni Mungu na Mungu ni kila kitu , na wala hana mahitaji ya kusifiwa wala kuabudiwa , wala hama sababu ya kuwa na chawa ( viongozi wa dini , manabii mitume na nk) ili kufikisha chochote kwa mtu wala kitu ambacho bado ni yeye mwenyewe .
Hiyo Hoja nimeitoa Unatakiwa wewe Uipinge kwa hoja zako Kushindwa kupinga Hoja yangu..Nikisema, huna jibu kuhusu HOJA hapo juu, nitakuwa sijakosea.
Vitabu gani hivyo mzee na unaweza thibitishaje ni vya kale kuliko Biblia?Hizo hadithi zipo pia kwenye vitabu vya kale vya kigiriki , kabla hata ya biblia .
Shida anataka Tujibu kama anavyotaka Yeye kuwa Kuna Mwanadamu ambaye yuko Kwenye Kiti kakaaa..😁😁😁Umezoea mahubiri ,unaambiwa tu hakuna kuhoji, uzi ukishauweka humu ni mali ya uma tulia upigwe spana.
Kwahiyo Yesu ni Mungu?Yesu Kristu, ndio maana kuna wakati tunamuita Mungu.
" Huyu ndie mwanangu mpendwa niliyependezwa nae msikilizeni yeye"
Ukisoma vizuri hapo juu utaona alikaimishwa majukumu, tukimsikiliza yeye ni sawa na kumsikiliza Mungu.
Wanasikia ila hawaelewi wanatazama ila hawaoni .
Wewe jini maimuna tulia huu uzi ni mali ya uma na siyo ya kanisa😁😁😁Vitabu gani hivyo mzee na unaweza thibitishaje ni vya kale kuliko Biblia?
Hivi ni kwanini unatushinikiza nasi tupinge uwepo wa Mungu? Kama we unapinga ni uhuru wako acha sisi tunaoamini, tuendelee kuamini. Kwani wewe unapungukiwa nini sisi wengine tukiamini uwepo wa Mungu?
Hakuna sehemu alipokushinikiza Ila ni Jukumu lako kuona kama Amesema sio kutetea Point yako...Vitabu gani hivyo mzee na unaweza thibitishaje ni vya kale kuliko Biblia?
Hivi ni kwanini unatushinikiza nasi tupinge uwepo wa Mungu? Kama we unapinga ni uhuru wako acha sisi tunaoamini, tuendelee kuamini. Kwani wewe unapungukiwa nini sisi wengine tukiamini uwepo wa Mungu?
Hahaaaaa, umejifunua leo Jina Makata? Mi nashauri tu. Jaribu kuachana na vitu visivyokudhuru mkuu. Kama huamini, piga kimya tuachie sisi tunaoamini tuendelee kuamini.Wewe jini maimuna tulia huu uzi ni mali ya uma na siyo ya kanisa😁😁😁
Mathayo 6:9Salaam, shalom!!
Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.
Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.
Ni nani huyo? Je Mungu ana mfano wa mwanadamu?
Karibuni 🙏
Enyi mafarisayo wenye imani haba ondoa kwanza kibanzi kwenye jicho lako ndipo utoe boriti kwa mwingne , kati ya watu wa dini na wasio na dini akina nan wanashawishi wengne ?Hahaaaaa, umejifunua leo Jina Makata? Mi nashauri tu. Jaribu kuachana na vitu visivyokudhuru mkuu. Kama huamini, piga kimya tuachie sisi tunaoamini tuendelee kuamini.