Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Kumbukumbu la Torati 33:26

"Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni,

Ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie.
Na juu ya mawingu katika utukufu wake."


"There is none like unto the God of Jeshurun, who rideth upon the heaven in thy help, and in his excellency on the sky."
Pia Unaweza ukasoma..
Ayubu 41:33-34
"Juu ya nchi hapana aliyefanana naye,
Aliyeumbwa pasipo oga.Yeye hutazama kila kitu kilicho juu; Ni mfalme juu ya wote wenye kiburi.

Upon earth there is not his like, who is made without fear.He beholdeth all high things: he is a king over all the children of pride."
Sasa hapa ndio umeandika kitu gani?

Mleta mada ameleta andiko lisemalo " aliyefanana na mwanadamu aketie katika kiti cha enzi".

Wewe unatuletea andiko lisemalo; "Hakuna aliyefanana na Mungu"

Hivi unajielewa kweli ewe Dr.?! Hujioni ulivyochemka hapo?

Umeshindwa kutofautisha "aliyefanana na mwanadamu" kama mleta mada alivyoandika, nawe unatuletea habari yako hakuna "aliyefanana na Mungu"?
 
Nani mjinga wewe. Mi nilikuwa naendelea na min -me then wewe from nowhere unakuja niandikia shit na kwa dharau. Jitahidi usiwe unawadharau wengine na jitahidi uwe unajifunza kwa wengine. Acha dharau we dogo. JF sio ya mama yako.
Tuvumiliane. Tafadhali ndugu yangu🙏
 
Tuvumiliane. Tafadhali ndugu yangu🙏
Mwambie awe anaheshimu watu. Pia asiwe anajiona anajua kila kitu. Huyo pia ni muongo muongo. Alafu kwa kawaida, wanadamu inatakiwa siku moja moja uwaoneshe uchi wa akili yako ili wawe na heshima.

Haina shida, amani ya Bwana itawale.
 
Kwahiyo kumbe Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake🤔
Ndiyo Mungu ni Mmoja. Lakini sio Yesu.
Wabrania 3:1 "Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito wa mbinguni, mfikirieni mtume na kuhani mkuu tunayemkubali—Yesu."
Yesu ni mtume. Alitumwa na Mungu ambaye jina lake ni Yehova(Kiebrania YHWH Yehowah)
 
Hilo jibu lako ndio hilo? tuambie mashaka gani hayo? bado unakimbia kimbia tu ajabu ukiambiwa una mbwembwe unaita makasiriko, hujiamini unalazimisha uonekane unapinga to for fun without any significant proof.
Ok Kuhusu maelezo ya mada Ni post na #17 na #28..

Nilichokuwa nazungumza kuhusu Story ya Kukutana na yesu Paulo aliyosema Rabbon..

Ni kuwa Hizo Story ziko Mbili..
Kama utazifatikia Utagundua something dont add up..

Kwa mfano ukisoma paulo alipokuwa Akienda Dameski kwenye Kuua watakatifu alisikia sauti ikimuita na kumsemesha..Sasa Ukisoma kwenye (matendo 9:7) Inasema wale aliokuwa nao walisikia Hiyo sauti pia...
Ila ukisoma (Matendo 22:9) utagundua Paulo anasema hawakusikia hiyo sauti..
But kumbuka Ni occasion moja


Na paulo alipouna ule mwanga aliniimaa mpaka ardhi (Alidondoka chini) ukisoma (Matendo 26:14) inasema aliokuwa nao.walidondoka pia ila ukisoma (Matendo 9:7) inasema hawakudondoka..

So umeona Two Events Potrayed at the same occasion
 
Ni kitabu Cha mwanzo chapter 1.

Kuna mfanano wa karibu kabisa kitabu Cha mwanzo na ufunuo,

Kumbe Mungu ana mfano wa mtu!!

Ana macho, anasikia, ana mikono ya kuponya na kuokoa, ana HISIA, hukasirika, hupenda, anasamehe, nknk.

Sisi ni mfano wa Mungu.

Jambo Hilo linanipa furaha sana na shukrani tele ndani ya moyo

Ni kitabu Cha mwanzo chapter 1.

Kuna mfanano wa karibu kabisa kitabu Cha mwanzo na ufunuo,

Kumbe Mungu ana mfano wa mtu!!

Ana macho, anasikia, ana mikono ya kuponya na kuokoa, ana HISIA, hukasirika, hupenda, anasamehe, nknk.

Sisi ni mfano wa Mungu.

Jambo Hilo linanipa furaha sana na shukrani tele ndani ya moyo wangu.
Psalms 82:6
[6]I have said, Ye are gods; and all of you are children of the most High.
Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia.
 
Mwambie awe anaheshimu watu. Pia asiwe anajiona anajua kila kitu. Huyo pia ni muongo muongo. Alafu kwa kawaida, wanadamu inatakiwa siku moja moja uwaoneshe uchi wa akili yako ili wawe na heshima.

Haina shida, amani ya Bwana itawale.
Ok ni nani huyo aketiye katika KITI Cha enzi aliye mfano wa mtu?
 
Sasa hapa ndio umeandika kitu gani?

Mleta mada ameleta andiko lisemalo " aliyefanana na mwanadamu aketie katika kiti cha enzi".

Wewe unatuletea andiko lisemalo; "Hakuna aliyefanana na Mungu"

Hivi unajielewa kweli ewe Dr.?! Hujioni ulivyochemka hapo?

Umeshindwa kutofautisha "aliyefanana na mwanadamu" kama mleta mada alivyoandika, nawe unatuletea habari yako hakuna "aliyefanana na Mungu"?
Namna kitu hapo bro. Huyo ni empty kabisa kwenye kichwa yake. Anajitahidi kuyumbisha yumbisha watu tu humu JF ila ni empty kabisa.
 
Sasa hapa ndio umeandika kitu gani?

Mleta mada ameleta andiko lisemalo " aliyefanana na mwanadamu aketie katika kiti cha enzi".

Wewe unatuletea andiko lisemalo; "Hakuna aliyefanana na Mungu"

Hivi unajielewa kweli ewe Dr.?! Hujioni ulivyochemka hapo?

Umeshindwa kutofautisha "aliyefanana na mwanadamu" kama mleta mada alivyoandika, nawe unatuletea habari yako hakuna "aliyefanana na Mungu"?
Nimejibu kutokana na Occasion uliyotoa Angalia nilichoquote kabla ya Kucoment post yako
 
Ok ni nani huyo aketiye katika KITI Cha enzi aliye mfano wa mtu?
Mmoja aliye mfano wa mwanadamu. Aliye mzee wa siku nyingi. Yeye aliyekuwepo, aliyepo na atakayekuwepo. Ni Yesu Kristo Mungu mkuu.

Katika Biblia, Mungu kajifunua kwa watu wake kama mmoja mfano wa mwanadamu. Ukianzia Isaya, Ukija kwa Ezekiel, Ukija kwa Daniel, Ukija kwa Nabii Mikaya hadi kwenye ufunuo wa Yohana. Yeye anajifunua kama "mmoja aliye mfano wa mwanadamu".
 
Kiungo punda ukisikia kuweni na upendo kwa kila mtu huwa inamaanisha nini ,na ni upendo kiasi gani kinahitajita?
Hatukuambiwa tumpende shetani na mawakala wake,

Hao tumeambiwa tuvae silaha za kiroho tupambane nao spiritual.

Na hapa vita hiyo inaendelea, na mshindi anajulikana.
 
Kiungo punda ukisikia kuweni na upendo kwa kila mtu huwa inamaanisha nini ,na ni upendo kiasi gani kinahitajita?
Achana naye huyo mwehu na empty head. U much know na dharau ni mbaya sana bro. Huyo from nowhere anakuja niandikia mbovu nikasema ngoja nimuoneshe nami uchi wa akili yangu. Sijamchukia ila nilitaka nimdharau na yeye kidogo. Yameshapita hayo we Jini Mahaba 😀😃😄😁😆 tuendelee na mada yetu na tutaijadili viziru bila kujazana upepo.
 
Mmoja aliye mfano wa mwanadamu. Aliye mzee wa siku nyingi. Yeye aliyekuwepo, aliyepo na atakayekuwepo. Ni Yesu Kristo Mungu mkuu.

Katika Biblia, Mungu kajifunua kwa watu wake kama mmoja mfano wa mwanadamu. Ukianzia Isaya, Ukija kwa Ezekiel, Ukija kwa Daniel, Ukija kwa Nabii Mikaya hadi kwenye ufunuo wa Yohana. Yeye anajifunua kama "mmoja aliye mfano wa mwanadamu".
Damu na nyama hazikukufunilia haya, Bali ni ROHO MTAKATIFU, Roho wa Yesu.

Ubarikiwe 🙏
 
Sio rahisi wawe na utulivu mkuu kwa sababu hawapo huru .
Edith Eger na Mateo Tabatabai waliwahi kusema..
Hakuna Gereza Kubwa na Ni ngumu kutoka kama Gereza La akili (A prison of Mind)..

Kwa sbabu kadri unavyozidi kulazimika kutoka ndani ya Box ni kama unazidi kujiongezea Mikufu..

Ni kama tu story ya Schrödinger's cat..
You will never know whether the cat is Dead or Alive til you open the Box
 
Back
Top Bottom