Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Nyoka ni Mwanamke, hasa mama yako.. tazama kwa makini sio nyoka huyu anayejiburuzaUsipo tumia fikra na kuyaacha mandiko utaamini na kuona ni kweli nyoka aliongea .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoka ni Mwanamke, hasa mama yako.. tazama kwa makini sio nyoka huyu anayejiburuzaUsipo tumia fikra na kuyaacha mandiko utaamini na kuona ni kweli nyoka aliongea .
Shukrani Mkuu Nimepokea Tusi Unalo jipya?Very low IQ, hata binti yangu Manka amekuzidi. Acha ujuaji na kudharau usiowajua wanaotumia fake ID kama wewe. Pumbavu mkubwa.
Bila kumjua Ukiwa unaishi, hutoenda Mbinguni!!Acha tutaenda huko mbinguni Kwanza then tutamjua huyo aliyekaa Kwenye kiti Cha enzi
Ubadilike, acha ujuaji. Acha kudharau wengine na kujifanya unajua kila kitu.Shukrani Mkuu Nimepokea Tusi Unalo jipya?
Matusi HAPANA.😁😁😁😁 umejibu vyema mno , kwa hiyo vita yenu na shetani mnachanganya mpka na matusi?
Asee sikuanzisha mada Ili mtukanane humu tafadhali 🙏We msenge tumekuangalia muda murefu kweli unaharibu mujadala maamae zako wewe ..
kama huwezi kuwa kwenye mjadala nenda kaendeleze ushoga wako hapa tunataka tuone watu wakijadiliana
Hahahahaha thibitisha kuwa mama yangu ni nyoka?Nyoka ni Mwanamke, hasa mama yako.. tazama kwa makini sio nyoka huyu anayejiburuza
1 Wakorintho 13:9-13Ubadilike, acha ujuaji. Acha kudharau wengine na kujifanya unajua kila kitu.
Upo sawa kabisa , kwenye hivyo vitabu vyenu inakubalika kabisa .Matusi HAPANA.
Vita yetu ni Kwa kutumia neno la Mungu,lililo upanga ukatao kuwili.
Aiseeeee, acha kutukana mwenzako. Nawe mbona huchangii unatukana?We msenge tumekuangalia muda murefu kweli unaharibu mujadala maamae zako wewe ..
kama huwezi kuwa kwenye mjadala nenda kaendeleze ushoga wako hapa tunataka tuone watu wakijadiliana
Tumefika Huku Duh...We msenge tumekuangalia muda murefu kweli unaharibu mujadala maamae zako wewe ..
kama huwezi kuwa kwenye mjadala nenda kaendeleze ushoga wako hapa tunataka tuone watu wakijadiliana
Mungu alisema na tufanye mtu kwa mfano wetu jiongezeSalaam, shalom!!
Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.
Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.
Ni nani huyo?
Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?
Karibuni 🙏
Huwa mara zote watu wa dini ni nini kinawashinda mpka mnashindwa kudhibiti hisia zetu naona mara nyingi hasa mkikutana hata na wale wenzenu!!Tafadhali GT tudhibiti HISIA zetu, tujadiliane Kwa staha🙏
Usikimbie dr tunapata madini yako wengi tu na kwa faida ya baadae pia.Tumefika Huku Duh...
Hakika Huu Uzi haunifai tena
Kwa Mfano wetu, Kwa sura yetu🤔Mungu alisema na tufanye mtu kwa mfano wetu jiongeze
sio kwamba matusi ila wengine sisi tunaipata hii elimu ya dini kutumia hii mitandao sasa mtu mwimungine anapoleta habazri sizo huwa hatumulewa kabisa ..wengine tumepinda tunatamaani kuokolewa ...Asee sikuanzisha mada Ili mtukanane humu tafadhali 🙏
Naona Jamii Intelligence imegeuka JAMII VIOLENCEUsikimbie dr tunapata madini yako wengi tu na kwa faida ya baadae pia.
Nawe unakwama hapo kwenye dini!!Huwa mara zote watu wa dini ni nini kinawashinda mpka mnashindwa kudhibiti hisia zetu naona mara nyingi hasa mkikutana hata na wale wenzenu!!
Yani ni nini mnachokipigania mpka kufikia hatua ya kuvunjiana heshima?
Nakuelewa ndugu.sio kwamba matusi ila wengine sisi tunaipata hii elimu ya dini kutumia hii mitandao sasa mtu mwimungine anapoleta habazri sizo huwa hatumulewa kabisa ..wengine tumepinda tunatamaani kuokolewa ...
Nilishakuona muda mrefu, wewe ni fundi wa kukariri maandiko bahati mbaya hauna upeo wa kutafsìri, kama unakumbuka ulishawahi kuja na article ya constitution kwa mbwembwe hivi hivi nikakuuliza swali moja ukapotea moja kwa moja, hili tatizo bado unalo.Nimejibu kutokana na Occasion uliyotoa Angalia nilichoquote kabla ya Kucoment post yako