Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Nawe unakwama hapo kwenye dini!!

Mtu wa Dini ni nani Hasa?

Hapa dini haijadiliwi Bali Imani!!
Ukishaongelea biblia hauwezi kuitenganisha na dini labda imani gani vile tofauti na iliyopo kwenye biblia?

Nisawa na sahani na wali hauwezi kula wali bila kuuweka kwenye chombo au mkono .
 
Edith Eger na Mateo Tabatabai waliwahi kusema..
Hakuna Gereza Kubwa na Ni ngumu kutoka kama Gereza La akili (A prison of Mind)..

Kwa sbabu kadri unavyozidi kulazimika kutoka ndani ya Box ni kama unazidi kujiongezea Mikufu..

Ni kama tu story ya Schrödinger's cat..
You will never know whether the cat is Dead or Alive til you open the Box
Jione ulivyo fundi wa kukariri, wewe sio msomi ni bingwa wa kukariri, akili yako imeishia copy & paste tu, huwezi kumfundisha mtu kitu kwa kumuelekeza isipokuwa kuhamishia kwake ulichokariri wewe.
 
Nilishakuona muda mrefu, wewe ni fundi wa kukariri maandiko bahati mbaya hauna upeo wa kutafsìri, kama unakumbuka ulishawahi kuja na article ya constitution kwa mbwembwe hivi hivi nikakuuliza swali moja ukapotea moja kwa moja, hili tatizo bado unalo.

Umeshindwa kutafsiri kile alicholeta mleta mada, badala yake unakimbilia kuleta andiko kama vile andiko uliloleta ndio linajibu, wakati ukweli halijibu chochote, matokeo yake ni kama unataka kutuambia alicholeta mleta mada ni uongo/hakipo, wakati tatizo liko kwako, unajua copy & paste tu, hujui kuchambua kitu kwa kina.

Mimi nilimjibu mleta mada baada ya kuchambua alichoandika, wewe ukaja quote nilichoandika kwa kuweka andiko, huoni unajichanganya, usipende kukariri maandiko ukajiona msomi, wewe bado mchanga sana kupevuka kifikra.
Ni kwwli kabisa uko sawa na haujakosea..

Ila Nilichojibu kuhusu Mtoa mada kuwa kitabu cha Ufunuo ni moja ya Kitabu tata ambacho bado tangu miaka na miaka kinajadiliwa kuhsuu Habari zake ambazo ni apocaliptic version..

Na kingine kitu gani ambacho uliwahi kuniuliza nikakimbia??
Na sio kwamba mimi nina majibu yote na ukiona najibu kitu Bhasi ninakijua au Nina experience nacho sijibi kila kitu..

Na kuhusu Maandiko Mimi Nimesoma theologia na kila mara huwa nakwambia Ndugu yangu na kuhusu Kuinterprete maandiko inategemea na mtu mwenyewe na Theological interpretation ya Dhehebu alilosoma Theologia yake
 
Jione ulivyo fundi wa kukariri, wewe sio msomi ni bingwa wa kukariri, akili yako imeishia copy & paste tu, huwezi kumfundisha mtu kitu kwa kumuelekeza isipokuwa kuhamishia kwake ulichokariri wewe.
Hapo sijacopy na Kupate nimefanya Refference preview Hahaha 🤣😅😅
Tutofautishe kati ya Refference na Kukariri 😅😅..

Bhasi natak na mimi unifundishe kitu nje ya Biblia au Nje ya vitabu
 
Ni kwwli kabisa uko sawa na haujakosea..

Ila Nilichojibu kuhusu Mtoa mada kuwa kitabu cha Ufunuo ni moja ya Kitabu tata ambacho bado tangu miaka na miaka kinajadiliwa kuhsuu Habari zake ambazo ni apocaliptic version..

Na kingine kitu gani ambacho uliwahi kuniuliza nikakimbia??
Na sio kwamba mimi nina majibu yote na ukiona najibu kitu Bhasi ninakijua au Nina experience nacho sijibi kila kitu..

Na kuhusu Maandiko Mimi Nimesoma theologia na kila mara huwa nakwambia Ndugu yangu na kuhusu Kuinterprete maandiko inategemea na mtu mwenyewe na Theological interpretation ya Dhehebu alilosoma Theologia yake
Mungu anatetewa kwa njia nyingi mkuu , mpka na matusi , yule yesu angerudi tena akaongea yale yale kipindi hiki angenyongwa kabisa .
 
Ni kwwli kabisa uko sawa na haujakosea..

Ila Nilichojibu kuhusu Mtoa mada kuwa kitabu cha Ufunuo ni moja ya Kitabu tata ambacho bado tangu miaka na miaka kinajadiliwa kuhsuu Habari zake ambazo ni apocaliptic version..

Na kingine kitu gani ambacho uliwahi kuniuliza nikakimbia??
Na sio kwamba mimi nina majibu yote na ukiona najibu kitu Bhasi ninakijua au Nina experience nacho sijibi kila kitu..

Na kuhusu Maandiko Mimi Nimesoma theologia na kila mara huwa nakwambia Ndugu yangu na kuhusu Kuinterprete maandiko inategemea na mtu mwenyewe na Theological interpretation ya Dhehebu alilosoma Theologia yake
Kwanza issue ya kusema kitabu cha ufunuo kina tatizo hilo ni lako na wenzako huko chuoni, nyie kuona tatizo kwenye kitabu cha ufunuo haina maana kila mtu anaona tatizo mliloona nyie, inawezekana wote shida yenu ni upeo mmeshindwa kuchambua kile kitabu kwasababu mnaishia kukariri maandiko, hamna roho ndani yenu wa kuwapa utambuzi.
 
Ni kwwli kabisa uko sawa na haujakosea..

Ila Nilichojibu kuhusu Mtoa mada kuwa kitabu cha Ufunuo ni moja ya Kitabu tata ambacho bado tangu miaka na miaka kinajadiliwa kuhsuu Habari zake ambazo ni apocaliptic version..

Na kingine kitu gani ambacho uliwahi kuniuliza nikakimbia??
Na sio kwamba mimi nina majibu yote na ukiona najibu kitu Bhasi ninakijua au Nina experience nacho sijibi kila kitu..

Na kuhusu Maandiko Mimi Nimesoma theologia na kila mara huwa nakwambia Ndugu yangu na kuhusu Kuinterprete maandiko inategemea na mtu mwenyewe na Theological interpretation ya Dhehebu alilosoma Theologia yake
Kumbe umesomea theolojia,

Walimu wako ni wanadamu,

Usilolijua, wapo watu humu ambao wamefundishwa na Mungu mwenyewe kupitia Malaika wake katika chuo Cha Mbinguni.

Ndio maana mara nyingi tunashindwa kuelewana sababu Huwa unajaribu kufafanua maandiko Kwa kutumia akili za kibinadamu bila msaada wa Mungu.

Ikiwa humuamini Roho MTAKATIFU na uwepo wake, kamwe huwezi kuijua BIBLIA.

Anyway Mungu akujaalie neema uone na ufahamu kama tuonavyo.

Barikiwa 🙏
 
Hapo sijacopy na Kupate nimefanya Refference preview Hahaha 🤣😅😅
Tutofautishe kati ya Refference na Kukariri 😅😅..

Bhasi natak na mimi unifundishe kitu nje ya Biblia au Nje ya vitabu
Kwani reference ukishaiweka kichwani unafanyaje kama sio kuihamishia sehemu nyingine kama ilivyo?

Nakwambia ukweli, biblia ni zaidi ya hapo unapodhani wewe, yale maandiko ni mapana unasoma andiko huelewi, sometimes unasoma leo jibu linakuja automatically next time ukiwa huna hili wala lile, hata ukiwa unavuka barabara, biblia haiishii kuisoma chuoni ukichukua course ya Theology.
 
Kumbe umesomea theolojia,

Walimu wako ni wanadamu,

Usilolijua, wapo watu humu ambao wamefundishwa na Mungu mwenyewe kupitia Malaika wake katika chuo Cha Mbinguni.

Ndio maana mara nyingi tunashindwa kuelewana sababu Huwa unajaribu kufafanua maandiko Kwa kutumia akili za kibinadamu bila msaada wa Mungu.

Ikiwa humuamini Roho MTAKATIFU na uwepo wake, kamwe huwezi kuijua BIBLIA.

Anyway Mungu akujaalie neema uone na ufahamu kama tuonavyo.

Barikiwa 🙏
Ndani ya hizo imani zenu wote mpo kwenye box ila kuna mabox mengine madogo dogo kila mtu anaamini chake nakumwona mwingne hayupo sawa ,jinsi unavyojiona wewe na mwingne wa imani tofauti na yako pia anajiona hivyo hivyo.😁😁😁😁
 
Ndani ya hizo imani zenu wote mpo kwenye box ila kuna mabox mengine madogo dogo kila mtu anaamini chake nakumwona mwingne hayupo sawa ,jinsi unavyojiona wewe na mwingne wa imani tofauti na yako pia anajiona hivyo hivyo.😁😁😁😁
Neno la Mungu limepimwa na kuthibitika kuwa perfect.
 
Kumbe umesomea theolojia,

Walimu wako ni wanadamu,

Usilolijua, wapo watu humu ambao wamefundishwa na Mungu mwenyewe kupitia Malaika wake katika chuo Cha Mbinguni.

Ndio maana mara nyingi tunashindwa kuelewana sababu Huwa unajaribu kufafanua maandiko Kwa kutumia akili za kibinadamu bila msaada wa Mungu.

Ikiwa humuamini Roho MTAKATIFU na uwepo wake, kamwe huwezi kuijua BIBLIA.

Anyway Mungu akujaalie neema uone na ufahamu kama tuonavyo.

Barikiwa 🙏
Mungu aliyekufundisha alikufundisha kupitia Spiritual Realm..?

Umejuaje kama Mungu huyo huyo sio aliyenifundisha mimi?
Kwanza issue ya kusema kitabu cha ufunuo kina tatizo hilo ni lako na wenzako huko chuoni, nyie kuona tatizo kwenye kitabu cha ufunuo haina maana kila mtu anaona tatizo mliloona nyie, inawezekana wote shida yenu ni upeo mmeshindwa kuchambua kile kitabu kwasababu mnaishia kukariri maandiko, hamna roho ndani yenu wa kuwapa utambuzi.
Hiyo Ilikuwa Debate since Early churches Mkuu..
Katafute kitabu cha Church father "Eusebian"..
Churches History kimeandika Kuhusu the debate about the canonicity of Revelation
 
Back
Top Bottom