Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Hakuna ushirika hapo,


Shetani alikuja kumshtaki Ayubu kuwa Si wa Nuru ni WA upande wa Giza.

Mungu akatoa Ruhusa mashtaka yake yachunguzwe, na mwisho imethibitika Ayubu ni WA Nuru.

Sasa wale wenzio, wanaabudu pamoja na majini na mashetani, Pana Ibada hapo🤔
Unaelewa nini kuhusu kushirikiana ?
 
Mungu aliyekufundisha alikufundisha kupitia Spiritual Realm..?

Umejuaje kama Mungu huyo huyo sio aliyenifundisha mimi?

Hiyo Ilikuwa Debate since Early churches Mkuu..
Katafute kitabu cha Church father "Eusebian"..
Churches History kimeandika Kuhusu the debate about the canonicity of Revelation
Kwanini nikasome badala wewe ulete hapa hicho unachokijua mjadala uendelee?

Acha usanii, naona unapewa majibu yote lakini bado unaruka ruka tu.
 
So kuna Mzee wa Siku pia Yupo??
Sasa Kama Yule Aliye Mfano wa Mwanadamu Atakalia Kiti Mzee wa Siku yeye atakuwa wapi??
Unaona mawazo ya WANADAMU haya🤔

Hii ni reasoning ya kitoto, anyway nitakujibu.

Kabla huyo Mzee wa siku kuamua kufanya Ujasusi wa kuvaa mwili na kuonekana kama mwanadamu Kwa KAZI ya Ukombozi wa mwanadamu alikuwepo milele. Na alijulikana na Malaika kama Mzee wa siku!!

Kwa WANADAMU waliookolewa Kwa KAZI ya msalaba watamwona akiwa na mikono iliyotobolewa misumari, na mwonekano wa kijana.

Lakini ndiye huyo huyo, Malaika na utawala wa Mbinguni uTAENDELEA kumwona vile walivyokuwa wakimwona tangu zamani kama Mzee wa siku maana KAZI ya Ukombozi ilikuwa ni special Kwa WANADAMU, Si Kwa Malaika na Serikali iliyo Mbinguni.

Karibu 🙏
 
Salaam, shalom!!

Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.

Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.

Ni nani huyo?

Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?

Karibuni 🙏
Kwanza kabisa, unaelewa kuwa hizo ni hadithi za kutungwa na watu tu, si habari za kuelezea mambo yaliyo kiuhalisia?
 
Kwanini nikasome badala wewe ulete hapa hicho unachokijua mjadala uendelee?

Acha usanii, naona unapewa majibu yote lakini bado unaruka ruka tu.
Kitabu ni Kikubwa sana kimecontain all the churches History kutoka Enzi za Mitume mpaka Miaka ya 325 na 400s AD so siwezi kuelezea Just for A small paragraph kungekuwa na Sehemu ya Kuongea kwa sauti i think ningeongea kwa Audio
 
Unaona mawazo ya WANADAMU haya🤔

Hii ni reasoning ya kitoto, anyway nitakujibu.

Kabla huyo Mzee wa siku kuamua kufanya Ujasusi wa kuvaa mwili na kuonekana kama mwanadamu Kwa KAZI ya Ukombozi wa mwanadamu alikuwepo milele. Na alijulikana na Malaika kama Mzee wa siku!!

Kwa WANADAMU waliookolewa Kwa KAZI ya msalaba watamwona akiwa na mikono iliyotobolewa misumari, na mwonekano wa kijana.

Lakini ndiye huyo huyo, Malaika na utawala wa Mbinguni uTAENDELEA kumwona vile walivyokuwa wakimwona tangu zamani kama Mzee wa siku maana KAZI ya Ukombozi ilikuwa ni special Kwa WANADAMU, Si Kwa Malaika na Serikali iliyo Mbinguni.

Karibu 🙏
Tudi tena Kasome Daniel
 
Kitabu ni Kikubwa sana kimecontain all the churches History kutoka Enzi za Mitume mpaka Miaka ya 325 na 400s AD so siwezi kuelezea Just for A small paragraph kungekuwa na Sehemu ya Kuongea kwa sauti i think ningeongea kwa Audio
Mbona wewe fundi wa kukariri inakuwaje ushindwe kuweka hapa hiyo mistari? Au yenyewe ndio iligoma kuingia kwa kichwa chako!.
 
Kwanza kabisa, unaelewa kuwa hizo ni hadithi za kutungwa na watu tu, si habari za kuelezea mambo yaliyo kiuhalisia?
Leo Watakutukana sana Naona leo kwenye Huu uzi wamejipanga kutokana yeyeto anayepinga so Kuwa makini..
 
Back
Top Bottom