Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Aliye mfano wa mwanadamu aketiye katika Kiti cha enzi Mbinguni ni nani?

Neno sio Mungu,bali mwa na Mungu.
huyu malaika mwenye sura ya Mungu na mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ndiye Neno.
Huyu ndiye aliyewato wana wa israeli Misri na ndiye aliyemtokea Mussa kwenye kijinga cha Moto.

Exodus 20: 23.behold I send an Angel before you to keep you in the way and to bring you into the place which I have prepared. Beware of Him and obey His voice; do not provoke Him, for He will not pardon your transgressions; for My name is in Him. .
huyo mailaka anauwezo kusamehe dhambi kwa mujibu wa Exodus.


huyu mailaka na ana sura bwana.
Katika harakati zote za wana wa israeli toka Misri neno ndiyo alisimamia show.

isaiah 63:9:In all their affliction he was afflicted, and the ANGEL OF HIS PRESENCE saved them: in his love and in his pity he redeemed them; and he bare them, and carried them all the days of old.
Una uelewa finyu!!

Aliyemtokea Musa alijitambulisha kuwa "MIMI NIKO AMBAYE NIKO " Huyo Si Malaika, ni Mungu mwenyewe.

Aliyesema nitamtuma Malaika awaongoze, alikuwa Mungu, na Malaika hakuwa huyo Mungu, elewa kiswahili.

Malaika ni mtumishi wa Mungu.

NENO ndiye Yesu, Ndiye Roho MTAKATIFU, ndiye Mungu BABA, Ndiye huyo Mzee wa siku.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Una uelewa finyu!!

Aliyemtokea Musa alijitambulisha kuwa "MIMI NIKO AMBAYE NIKO " Huyo Si Malaika, ni Mungu mwenyewe.

Aliyesema nitamtuma Malaika awaongoze, alikuwa Mungu, na Malaika hakuwa huyo Mungu, elewa kiswahili.

Malaika ni mtumishi wa Mungu.

NENO ndiye Yesu, Ndiye Roho MTAKATIFU, ndiye Mungu BABA, Ndiye huyo Mzee wa siku.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
🤣🤣🤣
 
Una uelewa finyu!!

Aliyemtokea Musa alijitambulisha kuwa "MIMI NIKO AMBAYE NIKO " Huyo Si Malaika, ni Mungu mwenyewe.

Aliyesema nitamtuma Malaika awaongoze, alikuwa Mungu, na Malaika hakuwa huyo Mungu, elewa kiswahili.

Malaika ni mtumishi wa Mungu.

NENO ndiye Yesu, Ndiye Roho MTAKATIFU, ndiye Mungu BABA, Ndiye huyo Mzee wa siku.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Kwani Yesu si niko ambaye niko?.
Nikikupa andiko yesu anasejiita Yeye yuko utasema nini?.
Unielewi,wakati mimi nimeshakuelewa.
 
Nadhani jamaa waliounda hizi dini hawakutegemea kama maelfu ya miaka baadaye bado watu watakuwa wajinga kiasi cha kutokubaini uongo wao ulio dhahiri.
 
Kwani Yesu si niko ambaye niko?.
Nikikupa andiko yesu anasejiita Yeye yuko utasema nini?.
Unielewi,wakati mimi nimeshakuelewa.
Yesu ndiye huyo NIKO AMBAYE NIKO,

Na maana yake ni BWANA Mungu!!

Na Yesu Si Malaika, maana Malaika hamwamrishi Malaika, Bali hupokea order Toka Kwa Mungu,

Yesu ni Mungu, kumfananisha na Malaika ni makufuru!!

Umeelewa?
 
Nadhani jamaa waliounda hizi dini hawakutegemea kama maelfu ya miaka baadaye bado watu watakuwa wajinga kiasi cha kutokubaini uongo wao ulio dhahiri.
Ni Kweli kabisa,

Bundi ameumbwa na Mungu Ili atumike usiku tu gizani, na ana mipaka yake.

Cha kushangaza ni kuwa, Giza pia halimfichi kitu Mungu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA/ HAMASHIACH ndilo JINA lake.
Amen
 
Sasa wewe unayeamini ni kitabu fixtuous kwanini upoteze muda kujadili fix🤔
Kwa sababu, uongo ukichukuliwa kama ukweli, unaumiza, unaweza kuua.

Kuna mtu alijirusha kutoka juu ghorofani Morogoro Road, akapanga aangukie kwene Simtank lenye maji, akiamini kuwa kuangukia kwenye Simtank kutamponya.

Yule jamaa alikufa, kwa sababu imani yake potofu kuwa lile Simtank lililojaa maji litamsaidia asife, haikuwa na ukweli.

Yani ike hadithi ya uongo, licha ya kuwa uongo, ilimuua.

Umeelewa?

Hadithi ya uongo ikiaminika kama ukweli inaweza kuleta madhara, inaweza kuua.

Umeelewa?
 
Kwa sababu, uongo ukichukuliwa kama ukweli, unaumiza, unaweza kuua.

Kuna mtu alijirusha kutoka juu ghorofani Morogoro Road, akapanga aangukie kwene Simtank lenye maji, akiamini kuwa kuangukia kwenye Simtank kutamponya.

Yule jamaa alikufa, kwa sababu imani yake potofu kuwa lile Simtank lililojaa maji litamsaidia asife, haikuwa na ukweli.

Yani ike hadithi ya uongo, licha ya kuwa uongo, ilimuua.

Umeelewa?

Hadithi ya uongo ikiaminika kama ukweli inaweza kuleta madhara, inaweza kuua.

Umeelewa?
Ni ya uongo kwako,

Kwetu ni ya Kweli.

Sasa wewe wewe unahangaiashwa na nini?
 
unampangia Mungu jinsi ya kuendesha dunia kuwa wewe Mungu basi
Hapana, simpangii Mungu jinsi ya kuendesha dunia.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Naonesha logical inconsistency na contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.

Yani story yenu wenyewe ya kusema Mungu yupo ina matobo na uongo, mimi naonesha tu hapa kuna tobo, hapa kuna uongo.

Usichanganye mimi kuonesha uongo kwenye story yenu ya kuwepo Mungu na mimi kumpangia Mungu.
 
Ni ya uongo kwako,

Kwetu ni ya Kweli.

Sasa wewe wewe unahangaiashwa na nini?
Unaruhusiwa kuamini unachotaka, ila huna haki ya kuwa na facts zako.

Naonesha kuwa hizi habari si fact, ni imani tu.

Imani yako hata mimi naitetea, natetea haki yako ya kuamini unachotaka.

Ila, tukija kwenye facts, Mungu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Salaam, shalom!!

Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.

Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.

Ni nani huyo?

Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?

Karibuni 🙏
BABA MTAKATIFU PAPA
 
Hata kwenye agano la kale uwezo wake ni ule ule.
Anasujudiwa,anauwezo wa kusamehe dhambi nk.
Hakuna mwenye huo uwezo ila na Mungu.
huyu malaika mwenye sura ya Mungu na mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ndiye Neno.
Huyu ndiye aliyewato wana wa israeli Misri na ndiye aliyemtokea Mussa kwenye kijinga cha Moto.

Exodus 20: 23.behold I send an Angel before you to keep you in the way and to bring you into the place which I have prepared. Beware of Him and obey His voice; do not provoke Him, for He will not pardon your transgressions; for My name is in Him. .
huyo mailaka anauwezo kusamehe dhambi kwa mujibu wa Exodus.

huyu mailaka na ana sura bwana.
Katika harakati zote za wana wa israeli toka Misri neno ndiyo alisimamia show.

isaiah 63:9:In all their affliction he was afflicted, and the ANGEL OF HIS PRESENCE saved them: in his love and in his pity he redeemed them; and he bare them, and carried them all the days of old.
Kwanini umuite 'Neno' malaika wakati mwenye kusamehe dhambi ni Mungu pekee?....malaika hawafanyi hayo...
 
Unaruhusiwa kuamini unachotaka, ila huna haki ya kuwa na facts zako.

Naonesha kuwa hizi habari si fact, ni imani tu.

Imani yako hata mimi naitetea, natetea haki yako ya kuamini unachotaka.

Ila, tukija kwenye facts, Mungu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
Kuko Kwenye kujadili kuhusu uwepo wa Mungu umeenda mbali,

Anza kwenye familia Yako, wachukue wazazi wako, waweke kitako wakuthibitishie ikiwa ni wazazi wako Kweli au la!!
 
Back
Top Bottom