Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Akili fupi sana hawa afu wanajionaga wanajua kumbe akili za kukuKuna time Hawa watu Huwa naamini hatupasi kujibizana nao🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili fupi sana hawa afu wanajionaga wanajua kumbe akili za kukuKuna time Hawa watu Huwa naamini hatupasi kujibizana nao🤔
Hapana, si mada nyingine.Hiyo ni mada ingine, ianzishie thread ulete na ushahidi!!
😅😅😅😅Mbona wewe fundi wa kukariri inakuwaje ushindwe kuweka hapa hiyo mistari? Au yenyewe ndio iligoma kuingia kwa kichwa chako!.
Hiki ndo nilichoandka mwanzo kabisa Nikaambulia Matusi ya Nguoni hahaha😅😅Hapana, si mada nyingine.
Kabla ya kusoma kitabu inafaa uelewe kwamba hiki kitabu ni fiction au non fiction.
SureWachache wamekuelewa
Wapuuzi wenzake ndio wamemuelewa hakuna mtu na akili zake atamuelewaWachache wamekuelewa
Mimi au wewe!!Tudi tena Kasome Daniel
Kutukana nako kutaonesha hicho kitabu ni cha kutungwa na watu tu.Leo Watakutukana sana Naona leo kwenye Huu uzi wamejipanga kutokana yeyeto anayepinga so Kuwa makini..
Matusi yao nayo yanaonesha huyo Mungu hayupo na hicho kitabu ni cha kutungwa na watu tu.Hiki ndo nilichoandka mwanzo kabisa Nikaambulia Matusi ya Nguoni hahaha😅😅
Sasa wewe unayeamini ni kitabu fixtuous kwanini upoteze muda kujadili fix🤔Hapana, si mada nyingine.
Kabla ya kusoma kitabu inafaa uelewe kwamba hiki kitabu ni fiction au non fiction.
Ngoja jamaa awavuruge kabisa , tuliwalea kwa upendo wa katuona malofa.Hiki ndo nilichoandka mwanzo kabisa Nikaambulia Matusi ya Nguoni hahaha😅😅
Maana una uhakika kabisa kama ni hadithi za kutunga lazima atakuwa alizitunga mtu wako wa karibu hasa hasa huyo niliyemtajaKwa nini unamuweka bibi yangu hapa?
Kwa nini unakuwa emotional katika hoja ya kimantiki ya kutafuta fact?
Neno sio Mungu,bali mwa na Mungu.Hakuna popote huyo aketiye katika KITI Cha enzi amefananishwa na Malaika,
Lete evidence.
Neno ndiye Mungu huyo huyo.
Yaani hicho ulichojibu ndo niliuliza kwenye soma Post #28..Kutukana nako kutaonesha hicho kitabu ni cha kutungwa na watu tu.
Kwa sababu Mungu wao angekuwapo, isingewezekana mtu yeyote kumtukana yeyote.
unampangia Mungu jinsi ya kuendesha dunia kuwa wewe Mungu basiKutukana nako kutaonesha hicho kitabu ni cha kutungwa na watu tu.
Kwa sababu Mungu wao angekuwapo, isingewezekana mtu yeyote kumtukana yeyote.
Kama sio za kutunga barua ya Paulo kwa waefeso aliandika nani?Maana una uhakika kabisa kama ni hadithi za kutunga lazima atakuwa alizitunga mtu wako wa karibu hasa hasa huyo niliyemtaja
🤣🤣Ngoja jamaa awavuruge kabisa , tuliwalea kwa upendo wa katuona malofa.
Hata kwenye agano la kale uwezo wake ni ule ule.Ila huku kwenye agano jipya ametajwa kuwa na mamlaka kuliko hao malaika...
Halafu Unajua kuwa Injili haikuandikwa Mpaka Zilipoandikwa kwanza Barua za Paulo??Kama sio za kutunga barua ya Paulo kwa waefeso aliandika nani?
NajifunzaHalafu Unajua kuwa Injili haikuandikwa Mpaka Zilipoandikwa kwanza Barua za Paulo??