Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Pale alikuwa katika ubinadamu ndio maana hata akaona uchungu wa yale matesoNimefuatilia mjadala kisha nikagundua watu mnatuchanganya sana humu,,...........Kwa mfano unasema YESU ni Mungu Mkuu,...Sasa kwanini BIBLIA inaonyesha YESU alikua ana MUNGU wake MKUU anaemuabudu tena kwa kumsujudia kabisa...? hiyo imekaaje, ufafanuzi tafadhali.
Kwa mfano soma hapa chini...
Mathayo 26:39:"Akainuka kidogo, akaanguka kifudifudi, AKASALI, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nipendavyo mimi, bali kama upendavyo wewe."
hiyo inaonyesha Yesu akisali kwa bidii na kusujudu mbele za Mungu wake kuomba aepushiwe kuuwawa na adui zake.
Maisha ya mtakatifu yoyote ni funzo kwetu ndiyo maana yakaandikwa ili kuwa funzo kwetu hii inajulikana toka kale ..kuna siku yesu alikuwa kwenye maji na wanafunzi wake chombo kikaanza kuzama pale pia akatoa somoHapa bado hujajibu swali,.. unatoa maoni yako tu ambayo kimsingi ni ngumu kumfanya mtu anaefikiria kukuamini.
Biblia haijasema kwamba alikua anafundisha,..wewe hizo habari za kufundisha kwenye hilo suala la ibada umeitolea wapi? kumbuka kabla ya YESU watu walikua wanajua kuabudu vizuri enzi na enzi yaani kwao kusali haikua jambo jipya.
Soma kitabu kinachoitwa Theogony cha (hesoid).shusha Moja,Kwa ushahidi.
Nadhani hapa ndiyo changamoto inapokuja,....Wewe hiyo statement kwamba alikua katika ubinadamu umeitoa kwenye Biblia au ni mtazamo na maoni yako?Pale alikuwa katika ubinadamu ndio maana hata akaona uchungu wa yale mateso
Unapokosea ni kuongeza maneno yako kwenye swali ambalo halihitaji maoni wala mtazamo wako....linahitaji ujibu kutokana na kile ambacho kimeandikwa kwenye andiko husika tu.Maisha ya mtakatifu yoyote ni funzo kwetu ndiyo maana yakaandikwa ili kuwa funzo kwetu hii inajulikana toka kale ..kuna siku yesu alikuwa kwenye maji na wanafunzi wake chombo kikaanza kuzama pale pia akatoa somo
Ila ujue mbinguni ni mahali pa kusadikika. Ni hadithi tu za sungura.Salaam, shalom!!
( Isaya 6:1-10), Mwanzo 1:26-28). (Matendo 9:4)
Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.
Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.
Ni nani huyo?
Je Mungu ana mfano wa mtu/mwanadamu?
Karibuni π
Reference: (Isaiah 6:1-10), (Genesis 1:26-28.). (Ufunuo 1:13-14), ( Daniel 7:9,13,14), (Matendo 9:4).
Mimi siyo mkristo wa makanisani wala wa madhehebu ya dini wala muislamu kwa kuwa injili ya kweli naijua ila sija ifuata ..nitofauti na hiyo yenu ya Mungu mwenye nafsi 3 ...hapa ninaweka dondoo tu za injili ya kweliLugha unayoitumia Ina herufi kubwa,
Hivyo ni muhimu ukitumia "Mungu" Ili tujue ikiwa u mmoja wetu au adui yetu!!
Usiongee bila research kwanza umesoma vitabu vingapi vya dini? Vilivyo karibu na wewe ni Biblia and Quran inaonesha hujaisoma pia Allah pia ana viungo kama Mikono japo yote ni ya kulia, Ugoko,Mguu,Macho zaidi ya Moja,Sura kama ya binadamu,anasikia means ana Masikio, Anakaa kwenye kiti cha enzi means ana matako possibly big Ass, anajiita HE means ni Mwanaume, ukikataa basi jike dume, ana nywele za Carly according to islamic souce Allah ni physical being huwa anasuku third party on the night kusikiliza sarat kutoka kwa waumini tena huwa anauliza nani anaswali nimsikie...Hoja Ipi??
Kama ni Hoja Ya Mfano wa Mwanadamu Inakosa Authentification kwa sababu imetajwa kwenye Kitabu kimoja tu cha biblia..
Yaani Ufunuo..
Kitabu ambacho Bado kinapata Pingamizi kutoka kwa Wanatheolojia
Mungu ni MMOJA, NAFSI Moja, Roho Saba!!Mimi siyo mkristo wa makanisani wala wa madhehebu ya dini wala muislamu kwa kuwa injili ya kweli naijua ila sija ifuata ..nitofauti na hiyo yenu ya Mungu mwenye nafsi 3 ...hapa ninaweka dondoo.
Nyie ndio mashetani mnaobadilisha maneno na tafsiri ili ujumbe ukose maana.. Praise na holly ni vitu tofauti kabisa.. Mungu haombwi kutakaswa na yeye mwenyewe yeye tayari ni Holly.. kuweni makini na Tafsiri za watu wajinga wajinga usipoteeMathayo 6:9
Basi, salini hivi: ββBaba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe.
Mungu ana makao. Makao yake Yako mbinguni.
Ila huyo mfano wa mwanadamu ni Yesu Kristo.
MUNGU ana mikono ila yote ya kulia. Embu jenga picha ya hilo umbile?Usiongee bila research kwanza umesoma vitabu vingapi vya dini? Vilivyo karibu na wewe ni Biblia and Quran inaonesha hujaisoma pia Allah pia ana viungo kama Mikono japo yote ni ya kulia, Ugoko,Mguu,Macho zaidi ya Moja,Sura kama ya binadamu,anasikia means ana Masikio, Anakaa kwenye kiti cha enzi means ana matako possibly big Ass, anajiita HE means ni Mwanaume, ukikataa basi jike dume, ana nywele za Carly according to islamic souce Allah ni physical being huwa anasuku third party on the night kusikiliza sarat kutoka kwa waumini tena huwa anauliza nani anaswali nimsikie...
Ukija kwa Hindu karibu miungu yao yote over 1,000 imekaa chini au kwenye kiti, Budhist pia.. Kasome vitabu acha uvivu.... na usiongee tena hadharani you know nothing
hahaha stupid book kadanganye madrassa huko... shaka kila page hilo bookIna tofauti gani na Qur'an haina shaka ndani yake πππ
Punguza hasika mkuu nyie wote ni pipa na mfuniko tuπhahaha stupid book kadanganye madrassa huko... shaka kila page hilo book
Unaitwa Mla leo right??Usiongee bila research kwanza umesoma vitabu vingapi vya dini? Vilivyo karibu na wewe ni Biblia and Quran inaonesha hujaisoma pia Allah pia ana viungo kama Mikono japo yote ni ya kulia, Ugoko,Mguu,Macho zaidi ya Moja,Sura kama ya binadamu,anasikia means ana Masikio, Anakaa kwenye kiti cha enzi means ana matako possibly big Ass, anajiita HE means ni Mwanaume, ukikataa basi jike dume, ana nywele za Carly according to islamic souce Allah ni physical being huwa anasuku third party on the night kusikiliza sarat kutoka kwa waumini tena huwa anauliza nani anaswali nimsikie...
Ukija kwa Hindu karibu miungu yao yote over 1,000 imekaa chini au kwenye kiti, Budhist pia.. Kasome vitabu acha uvivu.... na usiongee tena hadharani you know nothing
Hahaha Mkuu bado uko nao tuPunguza hasika mkuu nyie wote ni pipa na mfuniko tuπ
Hahhaha umepotea sana daktari .Hahaha Mkuu bado uko nao tu
Siunajua Lazima tutafute vya watoto na wajukuu zetu kwanza nilikuwa Nahangaika na kaisariHahhaha umepotea sana daktari .
Kweli mkuuSiunajua Lazima tutafute vya watoto na wajukuu zetu kwanza nilikuwa Nahangaika na kaisari
Hiyo ni INJILI FEKI hata kuna shehe aliniuliza hivyo nikamwambia injili iliyo ya kweli nini sababu za kusulubiwa kwa yesu ...wakristo waongo wanasema ni dhambi ya asili ..huo ni uongo mkubwa sana ...kasome maandiko utskuta kuna maandiko yanasema kulikuwa na vita mbinguni ...hivyo vita ni fumbo la nini kilifanyika ...yesu alisulibiwa ili kufanyika sadaka ya kuziondoa hasira za mungu juu ya dhambi zetu ili toba zetu zikiwa za kweli zikubaliwe ila hiyo damu ya yesu mwisho wake kufanya kazi ni siku ya kiama ndiyo maana siku ya kiama hakuna toba ..unajua ni kwanini siku ya kiama hakuna toba ? Sababu ni hasira za mungu zitakuwa kubwa sana kiwanga cha kufanya kusiwe na toba yoyote itakayo weza kuishinda na kufanya mungu kusamehe dhambi ....imeandikwa kikombe cha ghadhabu ya mungu kipo pembeni ila bwana mungu atakuja kukinywea tena na hapo ndiyo mwisho wa toba ...kilicho ziondoa ghadhabu za mungu ni sadaka ya damu ya kristo...
Shetani kabla ya kristo alikuwa na nguvu mbili za kumwangamiza mwanadamu ila baada ya kristo nguvu yake imebaki moja tu nayo siyo kuu kama ile ya pili ambayo kristo alimpokonya ....nguvu hizo ni
1)DHAMBI
2)HASIRA YA MUNGU itokanayo na dhambi.
Damu ya yesu ilizipokonya hizo nguzu za pili kwa muda maana hiyo hasira ipo ila siyo kifuani mwa mungu ili mungu aweze kukubali toba za kweli kwa kuwa hasira ya mungu ushindana na toba siku zote ndiyonmaana kiama kikija hakuna toba itakayo fanya kazi maana hiyo hasira itakuwa ni kuu mno ...kwenye ufunuo hiyo hasira inaitwa KIKOMBE CHA GHADHABU YA MUNGU
Kuhusu dhambi ya asili ...hakuna dhambi ya asili la ingekuwepo basi watoto wadogo na wachanga wasio na hatia wasingeitwa watakatifu pia adamu na hawa walipo kula tunda hawakupata dhambi kwa sababu walikuwa awajui mema na mabaya bali walifunguka na kutambua mema na mabaya hapo ndipo dgambi ilikuja ila ilikuwa aijampata mwanadamu kwa sababu mungu ana mwambia adamu na hawa baada ya kula tunda maneno haya ..tazama umejua mema na mabaya basi tenda mema ukitenda mema utapata dhawabu bali ukitenda mabaya utapata dhambi hii maana yake mungu kathibitisha kuwa dhambi ya kwanza ni kutenda mabaya baada ya kujua mema na mabaya na siyo kabla ya kujua mema na mabaya mabaya.
TUMIENI AKILI KUIJUA INJILI YA KWELI