Aliye tayari kuwa 'new couple' special kwa ajili ya JF

Usijali tena ili kumwonyesha kua unatafuta tiba ..anza kabisa kumwambia **kuna mwanamme nataka nimlishe limbwata ale ashibe maana ananjaaa ,,jina Putin , namba yasimu ile ile ya kwenye kale kabajaji**
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka hadi nimepaliwa Jf raha sana aisew
 
Kunywaaa sodaaaa
 
Aiseeee........ naona Jf imebadilika kwa kasi ya ajabu kuliko mwendo wa treni ya mwendo kasi...... Yaani kapo zimekua ndio headlines zinazo tamalaki kwa kasi kila kukicha.....tehteehh..... all the best mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] my Mr hana neno ananipenda mm peke yangu ya zaman ameshayafuta hana shida nayo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] my Mr hana neno ananipenda mm peke yangu ya zaman ameshayafuta hana shida nayo.
hahahahahahhaah ya zamani yepi Demi jamani,

mimi naomba tu uaguzi ujue na mimi nafurahi akikupenda peke yako
 
hahahahahah haya mapenzi ya mtandaoni ni shida kwa kweli. uaminifu unatakiwa kwa asilimia kubwa tu
halafu kama wewe ni Me akijipitisha same KE mwambie kwetu tuliambiwa tusithubutu kutowasaidia wanawake na hapo atakoma kukuchokoza.

teh teh
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…