Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Wewe jinsi unavyonijua humu kwa pazia hii nadhani unaweza kung'amua yupi anafaa kusimama na mimi.Inaweza kuwa visa versa though, ila acha nifanye hiyo kazi
Sasa wewe nitonye ulikuwa unamuwaza nani halafu mm ndo nitamalizia
Teh
Kumbuka vazi zuri likinipendeza watu ndio watajua kama nimependeza au la kuliko mimi kujua.