Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Kinacho nishangaza, eti jamaa anapata support kubwa na wabongo kupitia kitabu chake. Well, JPM kweli alikua katiri na hakua mwana demokrasia at all, now tofauti yake yeye na sasa hivi ni ipi? Mzee Kibao kauawa kwasababu gani? Hivi tofauti ya Ben Saa nane na Sativa ni ipi? Kina Soka?Kwabendera ni Mganda sampuli ya General Muhoozi Kinelugaba msome post zake ukiingia X kichwani kuna nati zimepelea
Kuanzia leo nitaenda K,koo na Mwendokasi ila nitarudi na Bajaj.
Sio kwa mateso ya leo. Nimeingia stand saa 11 jioni ila nimepanda gari saa moja tena kwa kurukia gari kama chui anaemdaka nyumbu
Hawa jamaa wanatutesa sana....Ndugu tunateseka unasubili gali masaa mawili kama ndege na habati mbaya kutoka posta mpaka kimara daladala waliziua
Na tutazidi kuhamia huko kama kumbikumbi, nani anataka kupigwa na vumbi huku mikoaniHapana sio population
Ni kwamba vijana wote wamekimbilia Dar
Wote wamekuja kubanana mjini kuwa sijui winga mara chawa
Wamejaa Dar bila shughuli ya maana ndio maana enzi nyerere watu walikuwa wanakamatwa kurudishwa vijijini na mikoani kukontrol populatio ya miji
Hii nchi uzalendo umeshaisha kitambo, ukipata nafasi ya kula keki kula tuu mradi usikamatweWatanzania wengi ukiwapa ajira, kitu cha kwanza wanachowaza ni jinsi gani ataiba apate utajiri aishi maisha ya kifahari, ili nae atupie picha kwenye mitandao ya kijamii atambie wenzake.
We jiulize, waziri mzima tena wa wizara nyeti, anaenda kwenye sherehe yeye na familia yake, anapiga picha chakula anachokula na mke wake, alafu anatupia kwenye mitandao ya jamii. Hiyo ni akili kweli? mbona alivyokua raia wa kawaida hakuwa anafanya hivyo?
Alafu ukiajiriwa kwenye kampuni iliyojaa wezi hapa Tanzania, ukaanza kufanya kazi kwa kunyoosha mstari, wenzako wanaona unawaharibia ulaji, wanaamua kukupiga fitna, alafu unafukuzwa, au wanakupiga sumu una rest in peace. Alafu kwenye msiba wanasema, pengo lako halitazibika.
MkuuAmani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi halafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jamani
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY
Project ilisha feli kitambo hiyo. Chaajabu bado wako busy kujenga barabara zingine za mwedokasi. Posta wamefumua hovyo, foleni hovyo. Hivi, saa hizi mabasi mangapi ya mwendokasi yako barabarani?Amani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi halafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jamani
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY
Hadi masuala ya change yamekuwa tabu kwenye vituo vya mwendokasi.
Katika hili ndiyo niliona kwamba Mwendokasi hawako serious.... Nililazimika kuacha chenji yangu pale.... Jamaa anasema ili uepukane na haya eti ununue Kadi Yao.... Shenziiii.... Hii BRT ni changamoto sana ..Hadi masuala ya change yamekuwa tabu kwenye vituo vya mwendokasi.
Bila picha hainogiAmani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi halafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jamani
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY
Population yenyewe ndio hii ya akina BICHWA KOMWE - majitu ya hovyo MABWABWA TUPU yasiyo na faida.Watu watakupinga ila population kubwa tena isiyo na quality ni mzigo mzito kwa nchi.