Aliyeanzisha usafiri wa mwendokasi sidhani kama alikuwa na mpango wa kuwatesa watanzania kiasi hiki

Aliyeanzisha usafiri wa mwendokasi sidhani kama alikuwa na mpango wa kuwatesa watanzania kiasi hiki

Kwabendera ni Mganda sampuli ya General Muhoozi Kinelugaba msome post zake ukiingia X kichwani kuna nati zimepelea
Kinacho nishangaza, eti jamaa anapata support kubwa na wabongo kupitia kitabu chake. Well, JPM kweli alikua katiri na hakua mwana demokrasia at all, now tofauti yake yeye na sasa hivi ni ipi? Mzee Kibao kauawa kwasababu gani? Hivi tofauti ya Ben Saa nane na Sativa ni ipi? Kina Soka?
 
Kuanzia leo nitaenda K,koo na Mwendokasi ila nitarudi na Bajaj.
Sio kwa mateso ya leo. Nimeingia stand saa 11 jioni ila nimepanda gari saa moja tena kwa kurukia gari kama chui anaemdaka nyumbu
Ndugu tunateseka unasubili gali masaa mawili kama ndege na habati mbaya kutoka posta mpaka kimara daladala waliziua
Hawa jamaa wanatutesa sana....
 
Hapana sio population
Ni kwamba vijana wote wamekimbilia Dar
Wote wamekuja kubanana mjini kuwa sijui winga mara chawa
Wamejaa Dar bila shughuli ya maana ndio maana enzi nyerere watu walikuwa wanakamatwa kurudishwa vijijini na mikoani kukontrol populatio ya miji
Na tutazidi kuhamia huko kama kumbikumbi, nani anataka kupigwa na vumbi huku mikoani
 
Watanzania wengi ukiwapa ajira, kitu cha kwanza wanachowaza ni jinsi gani ataiba apate utajiri aishi maisha ya kifahari, ili nae atupie picha kwenye mitandao ya kijamii atambie wenzake.

We jiulize, waziri mzima tena wa wizara nyeti, anaenda kwenye sherehe yeye na familia yake, anapiga picha chakula anachokula na mke wake, alafu anatupia kwenye mitandao ya jamii. Hiyo ni akili kweli? mbona alivyokua raia wa kawaida hakuwa anafanya hivyo?

Alafu ukiajiriwa kwenye kampuni iliyojaa wezi hapa Tanzania, ukaanza kufanya kazi kwa kunyoosha mstari, wenzako wanaona unawaharibia ulaji, wanaamua kukupiga fitna, alafu unafukuzwa, au wanakupiga sumu una rest in peace. Alafu kwenye msiba wanasema, pengo lako halitazibika.
Hii nchi uzalendo umeshaisha kitambo, ukipata nafasi ya kula keki kula tuu mradi usikamatwe
 
Amani iwe nanyi watanzania

Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki

Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha

Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi halafu wanataka tuwachague tena

Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B

Mwendokas ni mateso jamani

MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi

LONDON BOY
Mkuu
shukuru sana haya madudu yanajitokeza kwa wazi maana ndiyo tiketi yako ya maamuzi Oktoba 2025

Haitokaa itokee CCM ikaleta maendeleo kwa nchi zaidi ya matumbo yao.
 
Amani iwe nanyi watanzania

Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki

Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha

Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi halafu wanataka tuwachague tena

Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B

Mwendokas ni mateso jamani

MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi

LONDON BOY
Project ilisha feli kitambo hiyo. Chaajabu bado wako busy kujenga barabara zingine za mwedokasi. Posta wamefumua hovyo, foleni hovyo. Hivi, saa hizi mabasi mangapi ya mwendokasi yako barabarani?
 
Hadi masuala ya change yamekuwa tabu kwenye vituo vya mwendokasi.

Hadi masuala ya change yamekuwa tabu kwenye vituo vya mwendokasi.
Katika hili ndiyo niliona kwamba Mwendokasi hawako serious.... Nililazimika kuacha chenji yangu pale.... Jamaa anasema ili uepukane na haya eti ununue Kadi Yao.... Shenziiii.... Hii BRT ni changamoto sana ..
 
Project ilisha feli kitambo hiyo. Chaajabu bado wako busy kujenga barabara zingine za mwedokasi. Posta wamefumua hovyo, foleni hovyo. Hivi, saa hizi mabasi mangapi ya mwendokasi yako barabarani?
Wanapiga hela zao tu
 
Mwanasheria wangu anashughulika na talaka ya Wolper na mumewe kwa sasa.

Akimaliza hiyo kesi nitarudi kuchangia.
Mimi mwanasheria wangu ni Simon Patrick wa yanga ila acha tu nijilipue
 
Amani iwe nanyi watanzania

Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki

Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha

Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi halafu wanataka tuwachague tena

Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B

Mwendokas ni mateso jamani

MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi

LONDON BOY
Bila picha hainogi
 
Ukichunguza sana unaweza kukuta aliyeanzisha mwendokasi hakuwa na lengo la kuwasaidia watanzania 🐼
Hakika kabisa

Alikuwa na lengo la wizi na rushwa na kafanikiwa kwa asilimia mia moja
 
Back
Top Bottom