Aliyefuta somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

Aliyefuta somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

Swala si kufuta somo la kilimo maana mpaka sasa zipo shule na vyuo bado zinafundisha somo hlo, swala ni je hao wasomi na wataalam wanatumiwa ilikuleta tija kwa taifa?
Wanaandika upuuzi Tu , hawa hii sekta imetelekezwa miaka , kilimo kimebadilika , na kilimo ni biashara kama biashara nyingine tena inayohitaji uwekezaji mkubwa wa mitaji na modern farming equipments ,sasa watu bado Wana mentality za mwaka 47 za kilimo cha jembe la mkono , that's subsistence peasantry not a commercial farming /agriculture , nchi walio serious with this industry ni Brasil ,Argentina ,USA, Israel ,Russia ,Canada , Australia ingieni hata YouTube huko muone wakulima wakule ni watu gani ,yet hapa kwetu Kilimo kinachukuliwa kisiasa na kilimo kinaonekana kama last option Kwa waliokosa ajira au kujiajiri Kwa sekta nyingine , Kwa hii mentality haiwezekani kuinua kilimo , price Tu ya rudimental essential farming equipments Tu , trekta ndogo Tu ya kawaida si Chini ya milioni 60 .
Serikali inakwepa role yake ya kuinvest heavily katika kucreate infrastructures na policies Bora ili kuwezesha hii sekta zimebaki blaaa blaa Tu kila siku
 
Kilimo bila fedha, Vitendea kazi hicho sio kilimo chakuleta maendeleo kwenye Taifa bali kuongeza umasikini tu.

Sera na mipango mibovu ni shida tupilia mbali rasilimali watu.
Na ndio mentality za wabongo wengi zilivyo , wanawaza peasantry agriculture na si commercial farming
 
Magufuli ndiye aliyepaswa kuwa mfungwa nambari 1 hapo.
1. Yeye katika miaka yake 6 ya utawala pesa alizipeleka wizara ya kilimo ni ndogo kuliko alizotupatia TEMESA ambayo ni taasisi tu si wizara.
2. Magufuli hakuwahi kuajiri afisa kilimo au afisa ugani katika kipindi chake chote cha miaka 6, badala yake akaajiri maafisa usalama na kuwapandisha cheo wengine huku Taasisi zingine wakisugua benchi.
Magufuli was the baddest president ever
Yaani Yule alikuwa mwendawazimu kabisa .
 
Nimesoma somo la kilimo lakini halikuwai kua msaada kwangu. Changamoto ya kilimo cha sasa ni fedha na soko.

Mtu unaweza lima sasa ata kwa kujifunza kuhusu kilimo fulani kupitia mtandao. Ata wafunzwe kwa viboko vingi hakutakua na tija yoyote kama hakuna uwekezaji stahiki.
Hiyo Mitandao shuleni wanafundishwa?
 
Utamfungulia kesi hali ni marehemu kwa sasa.
Joseph Mungai mbunge ambae alikuwa Mkenya mamluki ndie aliyeua elimu kwa interest ya Kenya kuteka soko la ajira nchini.
 
Elimu bora ni ile waliyoasisi wakoloni ndio elimu sahihi kwa hali ya sasa kumaliza tatizo la ajira nchini. Nyerere ndie aliyeharibu elimu kwa kuingiza siasa mashuleni.
 
Magufuli ndiye aliyepaswa kuwa mfungwa nambari 1 hapo.
1. Yeye katika miaka yake 6 ya utawala pesa alizozipeleka wizara ya kilimo ni ndogo kuliko alizowapatia TEMESA ambayo ni taasisi tu si wizara.
2. Magufuli hakuwahi kuajiri afisa kilimo au afisa ugani katika kipindi chake chote cha miaka 6, badala yake akaajiri maafisa usalama na kuwapandisha cheo wengine huku Taasisi zingine wakisugua benchi.
Magufuli was the baddest president ever
Acha uongo, Waliajiriwa maafisa kilimo wengi tu.
Screenshot_20220625-125205_1.jpg
Screenshot_20220625-124636_1.jpg
 
Hivi study za kazi yenye kilimo nayo ilifutwa ? nakumbuka nilijifunza kupandikiza michungwa na milimao pamoja na ufugaji wa vibwagala
Alifuta.
Zama zile tulisoma kwa vitendo jinsi ya kupika,kufua,kupiga pasi,kupanda mazao kwa mstari, kutumia leso kupenga makamasi. Ilikuwa ni elimu ya vitendo.
Sio siku hizi za kuzalisha wakata viuno.
 
Wanaandika upuuzi Tu , hawa hii sekta imetelekezwa miaka , kilimo kimebadilika , na kilimo ni biashara kama biashara nyingine tena inayohitaji uwekezaji mkubwa wa mitaji na modern farming equipments ,sasa watu bado Wana mentality za mwaka 47 za kilimo cha jembe la mkono , that's subsistence peasantry not a commercial farming /agriculture , nchi walio serious with this industry ni Brasil ,Argentina ,USA, Israel ,Russia ,Canada , Australia ingieni hata YouTube huko muone wakulima wakule ni watu gani ,yet hapa kwetu Kilimo kinachukuliwa kisiasa na kilimo kinaonekana kama last option Kwa waliokosa ajira au kujiajiri Kwa sekta nyingine , Kwa hii mentality haiwezekani kuinua kilimo , price Tu ya rudimental essential farming equipments Tu , trekta ndogo Tu ya kawaida si Chini ya milioni 60 .
Serikali inakwepa role yake ya kuinvest heavily katika kucreate infrastructures na policies Bora ili kuwezesha hii sekta zimebaki blaaa blaa Tu kila siku
Na lengo la elimu ni kujibu changamoto za wakati husika. Kwa taifa kama letu tulipaswa kuwa na maendeleo makubwa sana kwenye mambo ya kilimo ikiwa tungekuwa serious na kilimo.

Tulipaswa kufundisha kilamo na liwe somo la lazima kwa kila mwanafunzi tangia nursery hadi chuo kikuu tulipaswa watanzania wakisome kilimo kwa vitendo Tanzania ilipaswa agricultural transmissional center kwa subsahara region and the rest of the world.

Tuzalishe watafiti na wataalamu wa kutosha wa udongo, mbegu Bora, pembejeo, masoko ya ndani na nje, miundo mbinu ya kilimo cha kisasa na cha umwagiliaji, uhandisi wa mitambo na viwanda vya zana za kilimo nk. Haya yote yanatakiwa kufundishwa kwenye shule zetu zote.

Sio hivyo tu lakni serikali itenge fedha za kutosha kuifanya hii elimu kuwa ya vitendo zaidi badala ya nadharia.
 
Alifuta.
Zama zile tulisoma kwa vitendo jinsi ya kupika,kufua,kupiga pasi,kupanda mazao kwa mstari, kutumia leso kupenga makamasi. Ilikuwa ni elimu ya vitendo.
Sio siku hizi za kuzalisha wakata viuno.
Umenikumbusha mbali sana yaani kuna mahali nadhani nahisi kuna mtu kwa makusudi aliamua kulihujumu taifa letu ndie alileta haya mauzauza
 
Back
Top Bottom