Aliyefuta somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

Aliyefuta somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

Kwa nchi yetu kupuuza elimu inayohusiana na mambo ya kilimo lilikuwa kosa kubwa sana lisilosameheka.

Mikoa yote ya Tanzania ukiondoa dar salam msingi wao mkuu wa uchumi na ajira ni kilimo Kwa miaka yote.

Ukanda wetu wa majirani zetu na mataifa mengine duniani wanakabiliwa na changamoto za kiusalama, uhaba wa ardhi, ukame, hali mbaya ya hewa na kutokuwa eneo la kimkakati kama tulivyo sisi, yaani tupo mahali ambapo Kila njia ya usafiri ni rafiki.

Katika mazingira ya namna hiyo unashindwaje kukifanya kilimo kuwa ajenda kuu ya kujikomboa kiuchumi?

Ni kwa nini usikifanye kilimo kuwa ufumbuzi wa tatizo la ajira?
Ukishajijua hivyo unaondoaje somo la kilimo shuleni badala ya kuongeza uwekezaji huko ili lifundishwe kwa kina litengeneze wataalamu watakaoleta tija kwenye kilimo?

Mimi naamini katika nyakati hizi za changamoto za Russia vs Ukraine sisi tungepiga hela sana. Ni aibu sana kwa taifa kushindwa kustabilize kilimo ili kijibu maswali yote magumu ya kiuchumi.

Ndipo nadhani Iko haja ya kumtafuta mtu aliyeondoa somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi.
Alikuwa Joseph Mungai mtanzania Mkikuyu mwenyeji wa iringa ,alishatangulia mbele za haki miaka kitambo
 
Ufahamu wako unaonekana ni mkubwa ila inashangaza kuona umeandika eti ulilima kwa staili unayojua wewe,ukauza mazao kwa style unayojua wewe,hv km unanania ya dhati na kilimo chako ulishindwa kuwatafta wataalamu wakakuelekeza kuhusu mbegu bora na kupanda kwa nafasi?

Au wewe ulikaa tu ili baadae upate cha kulaumu? Mbona hospitali huwa unajipeleka mwenyewe na hausubiri serikali ikupeleke? Hata kutafta soko baada ya kuvuna napo ulitaka serikali ikusaidie? Kila kitu serikali!! Kujiongeza hamna![emoji15][emoji15] Watanzania tunalaumu sana!
Asante kwa concern yako. Ndugu yangu watu tunatofautiana sana. Ni kweli mi nina kaufahamu kidogo kwenye mambo mengine lakini kwenye suala la kilimo ninakiri kwamba uzoefu wangu ni mdogo. Ukiniuliza kwa nini nilijilimia kivile nitakujibu kwamba I was "experimenting" with kulima lakini nilijifunza mambo mtambuka kuhusu kilimo kupitia uzoefu huu.

Jambo la kwanza nililojifunza, hata kama ningekuwa mzoefu kivipi ni vigumu sana kwa mkulima wa kawaida mmoja mmoja kuweza kunufaika na kilimo reja reja namna ile.

Jambo la pili nililojifunza, inawezekana ningeconsult wataalamu wa kilimo kungenisaidia kuchagua mbegu sahihi ya kulima, kuchagua na kutumia mbolea kwa usahihi, na kupata ushauri wa nitunze mavuno yangu kwa namna gani ili yakae muda mrefu kidogo bila kubunguliwa.

Lakini kwa bei ilivyokuwa inatembea sokoni (gunia la mahindi Tshs 40000) isingewezekana kabisa nikakiona kilimo kuwa na faida. Tayari nilishaona kwa nini kilimo chetu hakiwezi kuwavutia vijana wa leo.

La muhimu zaidi nililojifunza: only kilimo kinaweza kuleta tija iwapo kitaendeshwa ubepari zalendo: yaani makampuni machache ya kilimo yatakayowekeza kwenye vilimo mbalimbali (pengine kampuni moja kila mkoa) yatakayokuwa trusted na guaranteed na serikali kulisha watu wote wa nchi hii kupitia agricultural value chain production. Haya yanaweza kukifanya kilimo kiwe na tija (wanaweza kuregulate profitable price, kuajiri watu wengi kupitia value chain industries za kilimo husika, na hata elimu ya mashuleni kuhusu kilimo itakuwa na end goal in mind, mtoto atasoma kulimo huku akiwa ana motisha na wapi anaweza kufit kwenye maeneo mtambuka yanayohusu kilimo chetu kipya "fikirika").
 
Ishu si kulazimisha watu.Tatizo la nchi hii tumekalili kila kitu ni kulazimishana. Muhimu ni kutengeneza "image" nzuri ya kilimo ili watu wakipende wenyewe. Mbona watu hawalazimishwi kubet,kuimba music au kucheza mpira?
Sioni shida pia sioni kama unaongea jambo tofauti kwa sababu serikali ina njia nyingi za kulazimisha mfano ni namna serikali imelazimisha watu wasome ualimu tija iliyopatikana ni kwamba hatuna tena tatizo la upungufu wa walimu, isipokuwa tuna tatizo la kuwatumia.
Sasa Kwa habari ya kilimo kwa kuwa tuna ardhi ya kutosha, hali ya hewa nzuri, amani ipo isipokuwa tuna tatizo la uduni wa njia zetu za kulima, ndipo tunaitaka elimu itusaidie kukibadili hiki kilimo ili tulime kisasa sana.
 
Swala si kufuta somo la kilimo maana mpaka sasa zipo shule na vyuo bado zinafundisha somo hlo, swala ni je hao wasomi na wataalam wanatumiwa ilikuleta tija kwa taifa?
Lingeanzia shule ya msingi, sio sekondari au ngazi ya chuo.
 
Ile mitaala yake mi nilikuwa sielewi,Lirudi kivingine kisasa zaidi.
 
Asante kwa concern yako. Ndugu yangu watu tunatofautiana sana. Ni kweli mi nina kaufahamu kidogo kwenye mambo mengine lakini kwenye suala la kilimo ninakiri kwamba uzoefu wangu ni mdogo. Ukiniuliza kwa nini nilijilimia kivile nitakujibu kwamba I was "experimenting" with kulima lakini nilijifunza mambo mtambuka kuhusu kilimo kupitia uzoefu huu.

Jambo la kwanza nililojifunza, hata kama ningekuwa mzoefu kivipi ni vigumu sana kwa mkulima wa kawaida mmoja mmoja kuweza kunufaika na kilimo reja reja namna ile.

Jambo la pili nililojifunza, inawezekana ningeconsult wataalamu wa kilimo kungenisaidia kuchagua mbegu sahihi ya kulima, kuchagua na kutumia mbolea kwa usahihi, na kupata ushauri wa nitunze mavuno yangu kwa namna gani ili yakae muda mrefu kidogo bila kubunguliwa.

Lakini kwa bei ilivyokuwa inatembea sokoni (gunia la mahindi Tshs 40000) isingewezekana kabisa nikakiona kilimo kuwa na faida. Tayari nilishaona kwa nini kilimo chetu hakiwezi kuwavutia vijana wa leo.

La muhimu zaidi nililojifunza: only kilimo kinaweza kuleta tija iwapo kitaendeshwa ubepari zalendo: yaani makampuni machache ya kilimo yatakayowekeza kwenye vilimo mbalimbali (pengine kampuni moja kila mkoa) yatakayokuwa trusted na guaranteed na serikali kulisha watu wote wa nchi hii kupitia agricultural value chain production. Haya yanaweza kukifanya kilimo kiwe na tija (wanaweza kuregulate profitable price, kuajiri watu wengi kupitia value chain industries za kilimo husika, na hata elimu ya mashuleni kuhusu kilimo itakuwa na end goal in mind, mtoto atasoma kulimo huku akiwa ana motisha na wapi anaweza kufit kwenye maeneo mtambuka yanayohusu kilimo chetu kipya "fikirika").
Kongole kwako mkuu haya mawazo yako naona yananipa mwanga mwingine kwa taarifa tu mimi nimewahi kufanya kazi kwenye kampuni ya ilovo ya kilombero sugar company baada ya kubinafsishiwa mabeberu wa S Africa ni kwamba pale unatumika huu mfumo unaoupendekeza yaani kaburu amepewa mashamba na viwanda na kwa kuwa kilimo kile kinahitaji utaalam mkubwa unakuta kila kitengo kinachohusika kimeajiri watu wenye fani.

Mbali na hilo raia wa kawaida wameruhusiwa kulima miwa ili wakiuzie kiwanda. Ni kwa mantiki hiyo unakuta elimu kuhusu kilimo inaleta tija, kwa sababu kampuni haitaki mtu ajilimie tu anavyoona but azingatie vigezo vya kitaalamu ili kampuni iweze kununua miwa yake.

Kibaya nilichojifunza kwenye kampuni Ile ninachokihusisha na udhaifu wa elimu yetu kuhusu mambo ya kilimo ni kwamba wale makaburu wameweka masharti kwamba rasilimali watu, vitendea kazi na mali ghafi nyingi zinazotumika kwenye kilimo hicho zitoke kwao kwa madai kwamba hapa kwetu hatuna vinavyokidhi vigezo na kutosheleza.
 
Shule nyingi hazina mashambam
Not necessarily mashamba lakini watoto wa kitanzania wafumbuliwe macho kwamba njia rahisi ya kutoka kimaisha kwa majaaliwa aliyotupa mola ni kilimo na mnyororo wa thamani unaotengenezwa na kilimo.

Mbona zamani tuliimbishwa karudi baba mmoja?
 
Kwa nchi yetu kupuuza elimu inayohusiana na mambo ya kilimo lilikuwa kosa kubwa sana lisilosameheka.

Mikoa yote ya Tanzania ukiondoa dar salam msingi wao mkuu wa uchumi na ajira ni kilimo Kwa miaka yote.

Ukanda wetu wa majirani zetu na mataifa mengine duniani wanakabiliwa na changamoto za kiusalama, uhaba wa ardhi, ukame, hali mbaya ya hewa na kutokuwa eneo la kimkakati kama tulivyo sisi, yaani tupo mahali ambapo Kila njia ya usafiri ni rafiki.

Katika mazingira ya namna hiyo unashindwaje kukifanya kilimo kuwa ajenda kuu ya kujikomboa kiuchumi?

Ni kwa nini usikifanye kilimo kuwa ufumbuzi wa tatizo la ajira?

Ukishajijua hivyo unaondoaje somo la kilimo shuleni badala ya kuongeza uwekezaji huko ili lifundishwe kwa kina litengeneze wataalamu watakaoleta tija kwenye kilimo?

Mimi naamini katika nyakati hizi za changamoto za Russia vs Ukraine sisi tungepiga hela sana. Ni aibu sana kwa taifa kushindwa kustabilize kilimo ili kijibu maswali yote magumu ya kiuchumi.

Ndipo nadhani Iko haja ya kumtafuta mtu aliyeondoa somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi.
Ni Mungai nadhani, hivi yupo au alishatangulia?
Mungai bana alifuta kilimoa, kafuta michezo sijui alikuwaga anawaza nini
 
Kwa nchi yetu kupuuza elimu inayohusiana na mambo ya kilimo lilikuwa kosa kubwa sana lisilosameheka.

Mikoa yote ya Tanzania ukiondoa dar salam msingi wao mkuu wa uchumi na ajira ni kilimo Kwa miaka yote.

Ukanda wetu wa majirani zetu na mataifa mengine duniani wanakabiliwa na changamoto za kiusalama, uhaba wa ardhi, ukame, hali mbaya ya hewa na kutokuwa eneo la kimkakati kama tulivyo sisi, yaani tupo mahali ambapo Kila njia ya usafiri ni rafiki.

Katika mazingira ya namna hiyo unashindwaje kukifanya kilimo kuwa ajenda kuu ya kujikomboa kiuchumi?

Ni kwa nini usikifanye kilimo kuwa ufumbuzi wa tatizo la ajira?

Ukishajijua hivyo unaondoaje somo la kilimo shuleni badala ya kuongeza uwekezaji huko ili lifundishwe kwa kina litengeneze wataalamu watakaoleta tija kwenye kilimo?

Mimi naamini katika nyakati hizi za changamoto za Russia vs Ukraine sisi tungepiga hela sana. Ni aibu sana kwa taifa kushindwa kustabilize kilimo ili kijibu maswali yote magumu ya kiuchumi.

Ndipo nadhani Iko haja ya kumtafuta mtu aliyeondoa somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi.
agriculture inataka wanafunzi wakujitoa na kujituma kwelikweli, me sijutii kusoma shule ya kilimo kutoka primary hadi sec. agriculture ina branches za nguvu zaidi ya tano; Soil science, crop production, livestock production, agro-mechanization,agricultural economy, etc na mtu unatoka na B, sasa wanafunzi wa siku hizi kasomo kamoja tu geography wanaishia kupata ka D, kwenye kilimo wakipelekwa field watakimbia shule
 
Duhhh mkuu utakuwa uko vizuri sana kwenye kuona matangazo ya Ajira, sie wengine hatujawahi kuona hizo Ajira unazosema hapo zimetoka kila mwaka, anyway

Na pale juu umeweka picha za tangazo la 2019 lenye kuhitaji watu 3 na tangazo la January 2021 lenye kuhitaji mtu mmoja

Kwa ukubwa wa Tanzania na demand ya maofisa kilimo Kwahiyo hao watu 4 ndio wewe kwako unaita zilitoka Ajira nyingi?
Sio nipo vizuri, mm huwa nakemea propaganda chafu. Huyo mwehu alisema hakuna hata afisa kilimo aliwahi kuajiriwa awamu ya 5. Nilipomletea ushahidi akabadili gia angani.

PSRS huwa wanafuta matangazo ya nyuma, lakini naweza kuyapata Wala usijali wewe sema tu unataka tangazo la mwaka gani kuhusu aajira za maafisa kilimo kwenye awamu ya 5. Be free
 
Ile mitaala yake mi nilikuwa sielewi,Lirudi kivingine kisasa zaidi.
mitaala ilikuwa mizuri labda utoe mfano wapi ulikuwa huelewi, au tatizo ni kwamba ulikuwa huelewi somo kabisa, narudia tena Agriculture haitaki watu ndezindezi ambao hawako serious na kitabu hasa field
 
Kongole kwako mkuu haya mawazo yako naona yananipa mwanga mwingine kwa taarifa tu mimi nimewahi kufanya kazi kwenye kampuni ya ilovo ya kilombero sugar company baada ya kubinafsishiwa mabeberu wa S Africa ni kwamba pale unatumika huu mfumo unaoupendekeza yaani kaburu amepewa mashamba na viwanda na kwa kuwa kilimo kile kinahitaji utaalam mkubwa unakuta kila kitengo kinachohusika kimeajiri watu wenye fani.

Mbali na hilo raia wa kawaida wameruhusiwa kulima miwa ili wakiuzie kiwanda. Ni kwa mantiki hiyo unakuta elimu kuhusu kilimo inaleta tija, kwa sababu kampuni haitaki mtu ajilimie tu anavyoona but azingatie vigezo vya kitaalamu ili kampuni iweze kununua miwa yake.

Kibaya nilichojifunza kwenye kampuni Ile ninachokihusisha na udhaifu wa elimu yetu kuhusu mambo ya kilimo ni kwamba wale makaburu wameweka masharti kwamba rasilimali watu, vitendea kazi na mali ghafi nyingi zinazotumika kwenye kilimo hicho zitoke kwao kwa madai kwamba hapa kwetu hatuna vinavyokidhi vigezo na kutosheleza.
Upo sahihi sana mkuu wangu. Kilimo ni eneo tulilokosea sana na kurekebisha itachukua jitihada za makusudi kabisa za uongozi kutoka "juu" na mwenye uthubutu na ubunifu wa ajabu kama ilivyokuwa serikali kuhamia Dodoma. Miaka mingi jamaa wanaimba makao makuu ya serikali ni Dodoma but they couldn't get it done kwa sababu ya kukosa uthubutu.

Hata kwenye vilimo mbali mbali inawezekana. Hao makaburu are very right kuhusu masharti yao. Mitaji wameipata kupitia benki za South Afrika na wanahisi wana wajibu wa kurudisha kile wanchokivuna kwenye jamii yao. Ndiyo maana napendekeza mabepari zalendo -- pengine raia wa kitanzania wenye mitaji kupewa guarantee ya serikali kuuza bei ya mazao ya kilimo kwa kadri wanavyoona inafaa -- but utajiri watakaoupata kupitia kuwekeza kwenye kilimo utumike kuchochea sekta zingine mtambuka ndani ya nchi hii. Niadmit tu kwamba easier said than done.
 
Mimi nimeanzisha kilimo cha kisasa nilipofika katikati naona naelekea kukwama maana ukwasi umekata. Nikaenda bank kuomba mkopo. Wamenipa mashart ambayo siwezi kutoboa. Nilidhani dhamana ya nyumba itanibeba kupata 50m nimalizie project yangu. Niliambiwa Bank Kuu imetuonya tusitoe mkopo bila mkulima kuanza kutoa mazao ya kwanza.

Mbali na kuwaonyesha shamba liliofikia 70% na lina mwaka na miezi 3 nikilihudumia bado wamegangana mpaka lianze kutoa mazao. Nikajiuliza hivi hawa huwa wanawakopesha wakina nani ikiwa bank statement yangu inaonyesha nina uwezo wa kupata hata hela ya pembeni ambayo ndiyo naitumia kuwezesha shamba kuwepo bado waligoma.

Issue hii nilimweleza afisa kilimo wa wilaya fulani. Akaniambia ukweli kuwa kuna pesa waliahidiwa kuweka kwenye alimashauri zihudumie mikopo na sisi kwa kushirikiana na wananchi tukaanzisha mradi wa kilimo skim tatu. Mpaka leo hakuna cha hela wala nini. Mradi unaanza kufa wananchi waliotumia nguvu zao wanaona serikali imewatupa.

Yaani hizi ndio changamoto zetu. Mitaji na pembejeo za kisasa ndio zinatumaliza. Mfano mimi na malengo nije kulima hadi heka 1000+ lakini ukitazama unaanzia wapi kuwezeshwa. Mwisho wa siku unaishia kua mlanguzi wa mazao na kulima kwa uchache.

Bado kuna changamoto sana katika sekta hii. Kama hatukubali kufanya revolution nzuri tutaishia kupiga kelele na mipango isiyi na tija
 
agriculture inataka wanafunzi wakujitoa na kujituma kwelikweli, me sijutii kusoma shule ya kilimo kutoka primary hadi sec. agriculture ina branches za nguvu zaidi ya tano; Soil science, crop production, livestock production, agro-mechanization,agricultural economy, etc na mtu unatoka na B, sasa wanafunzi wa siku hizi kasomo kamoja tu geography wanaishia kupata ka D, kwenye kilimo wakipelekwa field watakimbia shule
Ni sawa alama za dalasani zina nafasi yake lakini tunaitaka elimu yetu irahisishe kilimo ikifanye Cha kisasa na kibiashara ilenge utatuzi wa soko teknolojia tija na kujibu maswali ya wakati hasa ukosefu wa ajira wakati tuna ardhi tunayo.
 
Ile mitaala yake mi nilikuwa sielewi,Lirudi kivingine kisasa zaidi.
Nadhani kuielewa au kutokuielewa mitaala ni jambo linalotegemea uwezo wako kuelewa isipokuwa tunachotaka kwa ujumla kwa nn elimu yetu ikipuuze kilimo? Huyu aliyekiondoa uzito wa elimu ya kilimo lazima ashughulikiwe
 
Hata ajira za juzi mwalimu wa somo la kilimo hakuna hata mmoja
 
Back
Top Bottom