Aliyefuta wimbo wa Cheche ajulikana

[emoji16][emoji16] ilikuwa uploaded Tanzania lakin m2 yeyote alie nchi yoyote Ana access hiyo Kama ilivyotokea kwa 6ix9ine
Mwimbo umewekwa You Tube na ulisimamishwa na Tou Tube baada ya huyo mtu kulalamika. Kwa hiyo m2 yoyote hawezi kuwa na access kufuta mwimbo You Tube.
Kwa hiyo mada ingetakiwa iwe "aliyechongea mwimbo kufungiwa Tou Tube" sio "aliyefuta"!!
 
Mwimbo umewekwa You Tube na ulisimamishwa na Tou Tube baada ya huyo mtu kulalamika. Kwa hiyo m2 yoyote hawezi kuwa na access kufuta mwimbo You Tube.
Kwa hiyo mada ingetakiwa iwe "aliyechongea mwimbo kufungiwa Tou Tube" sio "aliyefuta"!!
Upo sawa kabisa.
 
Kuna kipindi nilikua napoteza muda kufanya hio kazi ID yako na nyinginezo ni miongoni mwa id zilizokua zinamwaga matusi tu so naenda mnavyotaka mkuu
mkuu hakuna mtu anaetukana kama wewe ndo maana tulikua twakujibu vile bt nadhani mtindo ule si mzuri ndo maana tunapaswa kubadilika, tunapaswa kua hater wenye fact na si wenye matusi
 
Huwa natukana kwenda na biti lenu. Angalia huko juu mdau alivyoreact. From nowhere siwezi tukana kama sijatukanwa.
mkuu hakuna mtu anaetukana kama wewe ndo maana tulikua twakujibu vile bt nadhani mtindo ule si mzuri ndo maana tunapaswa kubadilika, tunapaswa kua hater wenye fact na si wenye matusi
 
Huwa natukana kwenda na biti lenu. Angalia huko juu mdau alivyoreact. From nowhere siwezi tukana kama sijatukanwa.
right bt tunapaswa tuwe tunajenga hoja nadhani itapendeza zaidi kuliko kutoleana maneno ya hovyo
 
Mtakuwa mmetoa pesa. Mlivo wambea Kama kweli mngemdaka mngeshaweka picha zake hadharani. Kiufupi mmepigwa faini kwa mwenye wimbo ndo akaurudisha. Ndio faida ya wizi hiyo
😀😀😀aisee
 
ameshusha tena audio ya cheche
 
Sema ukweli mmepigwa faini wimbo umerudi eti polisi wa Kenya blah blah.
 
Hapa naona mnahalalisha wizi kwamba lawama ziende kwa jamaa Huyo wa Kenya .
Yeye sio kichaa mpk azuie huo wimbo ana akili .
Ndo mkome siku nyingine
 


Hii ni trend kwa diamond na harmonize...kuiba nyimbo
 

Sio kweli

Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule

Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto

Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake

Vishungundo bana
 
Sio kweli

Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule

Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto

Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake

Vishungundo bana
Kiba ni bongo tu ndiyo mshindani wa diamond lakini tukivuka mipaka ya nchi yetu, Kiba si mshindani kwa diamond kabisa. Na huo ndio Ukweli mchungu
 
Sio kweli

Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule

Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto

Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake

Vishungundo bana
Kiba ni bongo tu ndiyo mshindani wa diamond lakini tukivuka mipaka ya nchi yetu, Kiba si mshindani kwa diamond kabisa. Na huo ndio Ukweli mchungu
 
Hapa naona mnahalalisha wizi kwamba lawama ziende kwa jamaa Huyo wa Kenya .
Yeye sio kichaa mpk azuie huo wimbo ana akili .
Ndo mkome siku nyingine
we amini usiamini lakini huwez badilisha ukweli. Kazi iliyoibiwa ya tony Antony ni ipi hasa? Wakati wabongo mlikuwa mkifananisha video content na ngoma ya Beyonce au beyonce ndio tony Antony
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…