nilitarajia utajibu kwa fact after kuusikiliza huo wimbo nilokutajia bt matokeo yake umeendeleza ngonjera
Mwimbo umewekwa You Tube na ulisimamishwa na Tou Tube baada ya huyo mtu kulalamika. Kwa hiyo m2 yoyote hawezi kuwa na access kufuta mwimbo You Tube.[emoji16][emoji16] ilikuwa uploaded Tanzania lakin m2 yeyote alie nchi yoyote Ana access hiyo Kama ilivyotokea kwa 6ix9ine
Upo sawa kabisa.Mwimbo umewekwa You Tube na ulisimamishwa na Tou Tube baada ya huyo mtu kulalamika. Kwa hiyo m2 yoyote hawezi kuwa na access kufuta mwimbo You Tube.
Kwa hiyo mada ingetakiwa iwe "aliyechongea mwimbo kufungiwa Tou Tube" sio "aliyefuta"!!
kua hater sio kibali cha kupinga kila kitu mkuu, nimekutajia wimbo uusikilize kisha ulete mrejesho bt umekalia ngonjeraHamnaga fact nyie,ni kupoteza muda tu
kua hater sio kibali cha kupinga kila kitu mkuu, nimekutajia wimbo uusikilize kisha ulete mrejesho bt umekalia ngonjera
mkuu hakuna mtu anaetukana kama wewe ndo maana tulikua twakujibu vile bt nadhani mtindo ule si mzuri ndo maana tunapaswa kubadilika, tunapaswa kua hater wenye fact na si wenye matusiKuna kipindi nilikua napoteza muda kufanya hio kazi ID yako na nyinginezo ni miongoni mwa id zilizokua zinamwaga matusi tu so naenda mnavyotaka mkuu
mkuu hakuna mtu anaetukana kama wewe ndo maana tulikua twakujibu vile bt nadhani mtindo ule si mzuri ndo maana tunapaswa kubadilika, tunapaswa kua hater wenye fact na si wenye matusi
right bt tunapaswa tuwe tunajenga hoja nadhani itapendeza zaidi kuliko kutoleana maneno ya hovyoHuwa natukana kwenda na biti lenu. Angalia huko juu mdau alivyoreact. From nowhere siwezi tukana kama sijatukanwa.
😀😀😀aiseeMtakuwa mmetoa pesa. Mlivo wambea Kama kweli mngemdaka mngeshaweka picha zake hadharani. Kiufupi mmepigwa faini kwa mwenye wimbo ndo akaurudisha. Ndio faida ya wizi hiyo
ameshusha tena audio ya checheHivi karibuni kuna mtu anaijiita Tony Anton alifuta ngoma ya Cheche na akaifanya isipatikane YouTube kwa siku mbili, baada ya huo mkasa kutokea uongozi wa WCB kwenye department ya digital platform ikiongozwa na kimkayndo wakalishughulikia hilo jambo na kugundua kuwa aliyofanya hivyo jina halisi ni James na si Tony kama anavyojiita kwenye mitandao ya kijamii na huyo kijana anapatikana Kenya kwenye sehemu inaitwa kiisie.
Na hii imekuja kujilikana ni baada ya WCB kushirikiana na Mamlaka ya Kenya. Na kabla huyo James ajajulikana alimtumia ujumbe Kimkayndo ambaye anahusika na digital platform za Wasafi kama wanataka ngoma wafanye biashara kwanza.
Ajajulikana huyo James kafanya vile kwa sababu zipi?Baada ya mahojiano yake na polisi wa Kenya yote yatajulikana
Chawa tu kutoka tandaleHivi ww ndo Nani pale WCB maana unajitahidi sana kwenye kazi yko
Hivi karibuni kuna mtu anaijiita Tony Anton alifuta ngoma ya Cheche na akaifanya isipatikane YouTube kwa siku mbili, baada ya huo mkasa kutokea uongozi wa WCB kwenye department ya digital platform ikiongozwa na kimkayndo wakalishughulikia hilo jambo na kugundua kuwa aliyofanya hivyo jina halisi ni James na si Tony kama anavyojiita kwenye mitandao ya kijamii na huyo kijana anapatikana Kenya kwenye sehemu inaitwa kiisie.
Na hii imekuja kujilikana ni baada ya WCB kushirikiana na Mamlaka ya Kenya. Na kabla huyo James ajajulikana alimtumia ujumbe Kimkayndo ambaye anahusika na digital platform za Wasafi kama wanataka ngoma wafanye biashara kwanza.
Ajajulikana huyo James kafanya vile kwa sababu zipi?Baada ya mahojiano yake na polisi wa Kenya yote yatajulikana
Kiba apendi show off na Wala Hana attention ndio maana azungumziwi ila nae ana kopi Sana wimbo wake seduce me kakopi baadhi ya mashairi kwenye wimbo despacito,wimbo wake wa maumivu per day kakopi baadhi ya scene kwenye wimbo wa Davido ft Tinashe,Wimbo wake wa lupela copy & paste ya I am more addicted ya Hussein machozi
Kiba ni bongo tu ndiyo mshindani wa diamond lakini tukivuka mipaka ya nchi yetu, Kiba si mshindani kwa diamond kabisa. Na huo ndio Ukweli mchunguSio kweli
Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule
Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto
Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake
Vishungundo bana
Kiba ni bongo tu ndiyo mshindani wa diamond lakini tukivuka mipaka ya nchi yetu, Kiba si mshindani kwa diamond kabisa. Na huo ndio Ukweli mchunguSio kweli
Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule
Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto
Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake
Vishungundo bana
we amini usiamini lakini huwez badilisha ukweli. Kazi iliyoibiwa ya tony Antony ni ipi hasa? Wakati wabongo mlikuwa mkifananisha video content na ngoma ya Beyonce au beyonce ndio tony AntonyHapa naona mnahalalisha wizi kwamba lawama ziende kwa jamaa Huyo wa Kenya .
Yeye sio kichaa mpk azuie huo wimbo ana akili .
Ndo mkome siku nyingine
Jamaa anatuona mazuzuHiyo nyimbo ilikua uploaded wapi mpaka huyo james akapata acces ya kuifuta?