Inawezekana sio mmilikiMmiliki wa gari hajafahamika kivipi na plate namba zipo hapo kwenye gari? Ina maa usajili wa hilo gari haujatolewa na TRA?
40 km per hour huwez gonga tembo hadi afe mzee huyo jamaa alikua kiatu kingi hapo above 100km/hrNyingine bahati mbaya tu. Wafanye uchunguzi usikute tembo ndio alizingua. Unaendesha zako 30kmph unakuta tembo katoka from nowhere. Na hakuna kibao cha taadhari ya mwendo.
Kama alikua kiatu kingi lazima na yeye hali yake mbaya40 km per hour huwez gonga tembo hadi afe mzee huyo jamaa alikua kiatu kingi hapo above 100km/hr
Ya Nyalandu siyo ajali , nje ya mada .Hata Nyalandu sijui kama alitafutwa alivyoisafirisha twiga kwenda Ulaya!!
Labda uwe huna brake kabisa, au labda usinzie.Nyingine bahati mbaya tu. Wafanye uchunguzi usikute tembo ndio alizingua. Unaendesha zako 30kmph unakuta tembo katoka from nowhere. Na hakuna kibao cha taadhari ya mwendo.