Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Mungu atusaidie tu tuingiapo na tutakapo dada yangu..!!🙏🙏 Inasisimua sana yaani mdogo wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atusaidie tu tuingiapo na tutakapo dada yangu..!!🙏🙏 Inasisimua sana yaani mdogo wangu.
Halafu wakaita Ndugu na Mke wa mchongo.Huyo mzee alishakufa wamemuweka mtu mwingine..nadhani
Kweli kabisaYule alikuwa kibonge pia
Ndugu si waliwekwa wa mchongo...Sasa wamweke mwingine na ndugu wakae kimya??
Mdugu si walijitokeza kabisa
Wakikaa kimya kwan inakuaje kwan wanadaiwa [emoji1]
Mkuu nchi hii ni ngumu kweli.. yani mtu atoke ICU...aende extensive care..arudi kama alivyokua!?Probabilities/ uwezekano:
1: Weupe usoni, kutokana na mashine alizowekewa kwajili ya kupumua na oksijen.
2: Body mass/ukubwa wa mwili kupungua. Kulingana na uwezo wa kupewa chakula na kula mwenyewe.
3: Ujana/kunawili more balanced diet ya mgonjwa.
NB: Kula mlo kamili kunaweza j
kukufanya kuwa na mwili mdogo lakini ulionawili.
Huo ni zaidi ya usanii haki ya Mungu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ni kijana aisee bila kujali kubadilika rangi, yule alikuwa mzee, tena 50+ kabisa.
Shida zinazeesha jamaniHuyu ni kijana aisee bila kujali kubadilika rangi, yule alikuwa mzee, tena 50+ kabisa.
Hii kamba mbona ni dhaifu hivi
Shida huzeesha jamani.. Muone mama Dangote wa sasaHuo ni zaidi ya usanii haki ya Mungu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Isije ikawa kuna wajanja washakula kupitia mgongo wakeNAPEND KUJUA KAMA HUYU NDUGU YETU AMELIPWA FIDIA AU NDIO WANATAKA AANZE KUHANGAIKA NA MAKARATASI KWENYE MAOFISI YA MWENDO KAZI
Mkuu nchi hii ni ngumu kweli.. yani mtu atoke ICU...aende extensive care..arudi kama alivyokua!?
Imagine mtoa mada anapata kabisa watu wanasapoti upumbavu wake huoo..
Hakika mdogo wangu.Mungu atusaidie tu tuingiapo na tutakapo dada yangu..!!🙏
Hapo sasa nashangaa na mie.Yule alikuwa kibonge pia
Ndo napoona mie hapana, yule alikua mzee, huyu kijanaa.Huyu ni kijana aisee bila kujali kubadilika rangi, yule alikuwa mzee, tena 50+ kabisa.
Hii kamba mbona ni dhaifu hivi