Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
🤣🤣🤣🤣 hii Nchi raha sana, halafu kuna mamtu yanatuweka nafasi ya top ten za watu tusio na furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si alikuwa anaumwa au? Akili ipo okay wewe.alikuwa kama kibonge hivi mara kakonda ghafla
Lete picha ya alivyoingiaMnaoelewa kinachoendelea tunaomba majibu, mtu anaingiaje hospitali mzee na mweusi, halafu anatoka mweupe kijana? Picha chini inajieleza
View attachment 2569115
Alikuwa mzee, kawa kijana, wasiwasi ulikuwa hapo, sasa tusihoji?Huyo Osam (aliyegongwa na mwendo kasi) aliyeruhusiwa ni yeye 100%. Nendeni Global online youtube mtawaona ndugu wakiwemo baba yake, mtoto wake, wadogo zake, majirani, yeye mwenyewe n.k wamehojiwa.
Waandishi wa Global Online Tv waliwahi mapema kumsubiri mgonjwa nyumbani kwake kumpokea na kufanya mahojiano.
Wakati anashuka, kusaidiwa kwenda kwake, mazingira ya nyumbani, majirani, ndugu, jamaa, marafiki, watoto (anao watatu), dada mwandishi n.k wanaonekana wazi kwenye clip ya dakika 14 sekunde 40.
Sasa Serikali ifiche kuwa sio yeye ili iweje?
Mleta uzi jitafakari, inawezekana nati na tredi za kichwa chako zinahitilafu. Hii ni pamoja na waliochangia negatively huenda nao wana matatizo kichwani.
Kila kitu kipo wazi youtube mkaangalie halafu mrudishe mrejesho humu.
Jitu linakurupuka kutoka huko madongo kuinama na kusema mtu aliyegongwa sio yeye.
Tz wakati mwingine ina mambo ya hovyoo mnooWakikaa kimya kwan inakuaje kwan wanadaiwa 😄
Pengine ni facial surgeryMnaoelewa kinachoendelea tunaomba majibu, mtu anaingiaje hospitali mzee na mweusi, halafu anatoka mweupe kijana? Picha chini inajieleza
View attachment 2569115
Mzee? Unabisha !!! Je, ni baba yako/kaka yako/jirani yako/mdogo wako/mjomba wako ambapo ulikuwa unamjua kabla au baada ya ajali? What's the definition of kijana?Alikuwa mzee, kawa kijana, wasiwasi ulikuwa hapo, sasa tusihoji?
Kila mtu alimuona kwenye video ya ajali, na taswira tuliyopata ilikuwa ya mzee, hata kama tuliona vibaya, ila ndio hivyo tulivyoonaMzee? Unabisha !!! Je, ni baba yako/kaka yako/jirani yako/mdogo wako/mjomba wako ambapo ulikuwa unamjua kabla au baada ya ajali? What's the definition of kijana?
Kuwa seriazi basi wakati mwingine !!!