Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Itaondoa kuwa hakuhoji urai wake. Itaondoa kuwa hakuhoji kuhusu mashaka ya maaskofu hawa ikiwemo Papa kuikimbia madhabahu kwa hofu ya corona na kuamua kutegemea na kumcha barakoa kuliko Bwana Yesu.
Yuko jirani yangu alizikwa na Padre mtaliano akisindikizwa na masister Magoa weusi wa India. Je liko tatizo hapo.
Magufuli ni Shujaa Imfia Imani kuliko hawa Maaskofu ambao wengine ni mashushu wa Jesuits na wenye ajenda za uchumia tumbo zaidi huku Bwana Yesu akitumika tu kama kibebeo cha kutimiza agenda na matamanio yao .
Yuko jirani yangu alizikwa na Padre mtaliano akisindikizwa na masister Magoa weusi wa India. Je liko tatizo hapo.
Magufuli ni Shujaa Imfia Imani kuliko hawa Maaskofu ambao wengine ni mashushu wa Jesuits na wenye ajenda za uchumia tumbo zaidi huku Bwana Yesu akitumika tu kama kibebeo cha kutimiza agenda na matamanio yao .