Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Leo ndiyo mmejua hayo? Asante MunguMalipo gani Tena? Kwahiyo askofu hatokufa kwakuwa alihojiwa uraia wake na aliemhoji amekufa? Kifo ni fumbo, kifo ni kwaajili ya viumbe hai wote, adui akifa sio guarantee wewe hatokufa, kifo sio kwaajili ya uwachukiao pekee