Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 939
- 1,460
Usitake kumsemea Mhasham baba Askofu. Huyo hana kinyongo Kama Kaka yenu wa Ubeluiji. Suala la Askofu lilikua suala la kisheria, na kesho kutwa subiri usikie atakavyomsifia Magu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema askofu hatafufa? Askofu huyu akifa atakumbukwa kwa tendo jema. Huyo sultani wenu hakujali hakiMalipo gani Tena? Kwahiyo askofu hatokufa kwakuwa alihojiwa uraia wake na aliemhoji amekufa? Kifo ni fumbo, kifo ni kwaajili ya viumbe hai wote, adui akifa sio guarantee wewe hatokufa, kifo sio kwaajili ya uwachukiao pekee
Ni kweli Baba Askofu hana kinyongo. Mwenye kinyongo ni huyo aliyetwaliwa. Mtu gani hata katika mauti yake bado kuna watu wanaswekwa jela kwa kusema tu anaumwa. Hapa mtoa mada hajamsemea Baba Askofu bali kamsema huyo katili wenuUsitake kumsemea Mhasham baba Askofu. Huyo hana kinyongo Kama Kaka yenu wa Ubeluiji. Suala la Askofu lilikua suala la kisheria, na kesho kutwa subiri usikie atakavyomsifia Magu.
Unaniuliza mie akili gani badala umuhoji mleta mada?@Siyo kila mtu ana maadui wa kujitakia, sasa watoto wachanga maadui zao ni wazazi wao?? Akili gani hizi tena??
Hakika japo utukufu wake hauna fikra Kama zako za kudhania adui yako ndio amastahili kufaUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Hatokufa yule kwani hujui?Kwani huyo wa Twitter Republic ndiye mlikuwa mnampia chapuo atawale milele?
Hekima za mwanadamu Ni upumbavu mbele za MunguHuyu kaka Aida namwombea awe na moyo mvumilivu. Majitoleo yake yatapokelewa na Mungu na tuzo pia ni hapahapa duniani. Lakini huyu aliyezoea kusema "Msema kweli ni mpenzi wa Mungu" hakupenda kusikia ukweli - bila shaka - ukweli unauma
Yesu ni adui wa haki? Hao watoto malaika ni adui wa haki? Lakini huyo malaika wenu aliyetangulia alikuwa ni adui mkubwa sana wa haki? Haihitaji PHD kujua kama siyo mnufaika wakeKweli kabisa hata Yesu Ni adui wa shetani alimtangulia.
Sasa na wale waliokufa huko kibiti walimtangulia Nani? Na watoto wachanga wanaokufa wanawatungulia maadui wazazi wao bila shaka.
Petro alimkana Yesu kwa hofu ya Mayahudi. Marehemu alitesa watu kwa hofu ya nani?hata petro alimkana yesu bt yesu alimuombea aongoke
Unajadili kutangulia kufa au haki?Yesu ni adui wa haki? Hao watoto malaika ni adui wa haki? Lakini huyo malaika wenu aliyetangulia alikuwa ni adui mkubwa sana wa haki? Haihitaji PHD kujua kama siyo mnufaika wake
Aliwahi kukutesa?Petro alimkana Yesu kwa hofu ya Mayahudi. Marehemu alitesa watu kwa hofu ya nani?
Kuna maiti za kuonea wivu lakini siyo maiti ya mtu aliyejitukuza na kutukuzwa pengine kuliko hata Mungu aliyetuumba. Unakumbuka Mwanri alisema eti Mungu aje duniani kumshukuru huyo mungu wenu. AibuUnaonea wivu Hadi maiti?
Ndiyo ujue unapotesa watu wasiyo na hatia unasahau kuwa pua imetizama chini kutuonya kuwa sisi ni wa mavumbini. Hivyo tusitumie viungo vingine kwa maasi. Siamini macho na masikio yangu. Ndoto hiiKwa hiyo Askofu yeye hatokufa? Au yeye atakuwa wa mwisho kufa?
Kweli kabisa na hata sasa anaombolezwa na walionyimwa haki zao....Nani kasema askofu hatafufa? Askofu huyu akifa atakumbukwa kwa tendo jema. Huyo sultani wenu hakujali haki
Hongera kwa kuwa malaika mchungza roho za wanadamuNi kweli Baba Askofu hana kinyongo. Mwenye kinyongo ni huyo aliyetwaliwa. Mtu gani hata katika mauti yake bado kuna watu wanaswekwa jela kwa kusema tu anaumwa. Hapa mtoa mada hajamsemea Baba Askofu bali kamsema huyo katili wenu
Wanyonge akili zao wanazijua wenyeweHahah
Hahahaaahahaa.....wanyonge imekuwa kitenzi kivumishi
Eeeenh Heee,Askofu Niwemugizi alipotumia uhuru wake wa kutoa maoni, kufumba na kufumbua, makachero wakamvaa na kumpora pasi ya kusafiria. Wakauliza, "Wapi kaburi la bibi ya babu yako?"
Sasa kabla Baba Askofu hajaanza ibada ya mazishi, mrudishieni kwanza pasi yake ya kusafiria.
Soma hapa:
1) Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki aitwa Uhamiaji kuhojiwa juu ya uraia wake
2) Uraia wa Askofu Severine Niwemugizi (mkosoaji wa Serikali) unaendelea kuchunguzwa
3) Uhamiaji wamuhoji mdogo wake Niwemugizi
4) Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona
Angalia madikteta wanavyozi kwa hofu, hakuna upendo hapoKweli kabisa na hata Sasa anaombolezwa na walionyimwa haki zao....
Aiseeeeeee. Kuna cha kujifunza kwa hili.Angalia madikteta wanavyozi kwa hofu, hakuna upendo hapo