The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Hapana chezea kanisa katoliki.Malipo ni hapa hapa chini ya jua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana chezea kanisa katoliki.Malipo ni hapa hapa chini ya jua
Mfalme Ahabu alimnyanysa sana Nabii Eliya. Eliya akamtandika adhabu ya ukame kwa Nguvu za Mungu. Bado Ahab akajjona mbabe akaendelea na ukorofi wa kupora wake za watu na mali za watu. Alipora hadi mali za Nabothi. Kilichomtokea hakuamini.Askofu Niwemugizi alipotumia uhuru wake wa kutoa maoni, kufumba na kufumbua, makachero wakamvaa na kumpora pasi ya kusafiria. Wakauliza, "Wapi kaburi la bibi ya babu yako?"
Sasa kabla Baba Askofu hajaanza ibada ya mazishi, mrudishieni kwanza pasi yake ya kusafiria.
Soma hapa:
1) Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki aitwa Uhamiaji kuhojiwa juu ya uraia wake
2) Uraia wa Askofu Severine Niwemugizi (mkosoaji wa Serikali) unaendelea kuchunguzwa
3) Uhamiaji wamuhoji mdogo wake Niwemugizi
4) Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona
😂 😂 😂..siku zote adui anatakiwa akutangulie kufa.
Ujeuri wake anaenda kuozea ardhiniJamaa ni jeuri, pamoja na order ya mahakama bado hawajampa
Kuwapa nchi washamba ni hasara tupu.Nchi tumepitia kipindi kigumu sana....
Kuna kipindi mtu anashitakiwa uchochezi anaenda kupimwa mkojo 😁 😁 😁 😁
Niwemugizi alikuwa akimwangaliaa anasema Hihiiiii....!!Hakika Askofu Nemuganzi ni mchapa kazi kweri-kweri.
WEWE NA SHUJAA WAKO WA AFRIKA NDIO WAPUMBAVUUzi wa kipumbavu pa1 na supporters wake
IDIOT TOOPunguza upumbavu ikusaidie maishani
Nyanooko
Mkuu una akili timamu ?Sasa kama alinyang'anywa na makachero lawama ndo abebeshwe Dkt John Pombe Magufuli?
Labda huyo askofu ndiye mwenye passport ya marehemu ili aingie mbinguniKwani kuzika mtu kunahitaji pass ya kusafiria.
Kama kweli uliwahi kupita shule tafuta palipoandikwa askofu hatakufa. Wewe, mimi, sote tutakufa. Tatizo ni kujifanya mungu-mtu kwa ulevi wa madaraka.
Unataka kusemaje?Askofu Severine Niwemugizi wa jimbo la Rulenge Ngara.
Kwakweli, maana kila mbinu ilibuma,wakaona wam rest in peace,na hio Mungu akakataaJamaa sheria zote zimekaa kichwani wakaona the only solution ni yeye ku-rest in peace
Kwani kuzika mtu kunahitaji pass ya kusafiria.
Yeee baba, pamoja na kuvunjwa vunjwa mifupa ila kina Lissu wanapumua oxygen ya bureee ya mwenyezi Mungu - maisha haya ya duniani aisee ni SIRI nzito!!Kweli majibu ni hapa hapa .....aibu juu hiyo
Umeandika kinyonge kweli!! Maneno ya mtu aliyekata tamaa,pole sana mtanzania mnyongeKwa hiyo Askofu yeye hatokufa? Au yeye atakuwa wa mwisho kufa?