Aliyehoji uraia wa Askofu Niwemugizi kuzikwa na Askofu Niwemugizi

Aliyehoji uraia wa Askofu Niwemugizi kuzikwa na Askofu Niwemugizi

Maajabu ni kwamba kwenye mahubiri atamsifu kwa kusema kwamba alikuwa mtu wa haki.
 
Askofu Niwemugizi alipotumia uhuru wake wa kutoa maoni, kufumba na kufumbua, makachero wakamvaa na kumpora pasi ya kusafiria. Wakauliza, "Wapi kaburi la bibi ya babu yako?"

Sasa kabla Baba Askofu hajaanza ibada ya mazishi, mrudishieni kwanza pasi yake ya kusafiria.

Soma hapa:

1) Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki aitwa Uhamiaji kuhojiwa juu ya uraia wake

2) Uraia wa Askofu Severine Niwemugizi (mkosoaji wa Serikali) unaendelea kuchunguzwa

3) Uhamiaji wamuhoji mdogo wake Niwemugizi

4) Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona
Mfalme Ahabu alimnyanysa sana Nabii Eliya. Eliya akamtandika adhabu ya ukame kwa Nguvu za Mungu. Bado Ahab akajjona mbabe akaendelea na ukorofi wa kupora wake za watu na mali za watu. Alipora hadi mali za Nabothi. Kilichomtokea hakuamini.

Hawa watawala wakishakuwa wanazungukwa na mabunduki na mabomu wanajiona wa maana sana.

Kesho atalala kwenye kitanda cha udogo, ahuka la nyasi na mlango wa miti. Ndio nitoleee hiyo.
 
Kama kweli uliwahi kupita shule tafuta palipoandikwa askofu hatakufa. Wewe, mimi, sote tutakufa. Tatizo ni kujifanya mungu-mtu kwa ulevi wa madaraka.

I think concept hapa ni kutomtendea mwenzako mabaya ukidhani utabaki salama. yes kila myu atakufa.. but kuona alikutendea mabaya katangulia thats feels new
 
Wewe utajisikia jamaa ulompiga mkwala mbuzi sana uko duniani leo ndio ana anakutakia uende salama uko kwa bwana God.

Aah ah mimi ningemuombea moto wa milele umuanzie ktk jeneza
Kwani kuzika mtu kunahitaji pass ya kusafiria.
 
Fumbo la imani.... Askofu sasa upo huru!!
 
Kweli majibu ni hapa hapa .....aibu juu hiyo
Yeee baba, pamoja na kuvunjwa vunjwa mifupa ila kina Lissu wanapumua oxygen ya bureee ya mwenyezi Mungu - maisha haya ya duniani aisee ni SIRI nzito!!
 
Back
Top Bottom