Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hakuhoji uraia wake tu, alihoji pia imani yake baada ya Askofu huyo kusitisha ibada kwa ajili ya Corona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Twaweza waibuke na tafiti inayo onyesha kuwa CCM ni chama bora kupita vyote barani AfrikaAidan wa Twaweza naye bado hajapewa passport yake.
Nadhani atarudishiwa pia.
Mbuzi kafia kwa muuza supuUkisikia jambo limezua jambo ndio hii hapa sasa
Aliimba Samba MapangalaTuishi kwa kutambua kuwa duniani ni njia tu na hakuna atakayeishi milele
Labda Twaweza waibuke na tafiti inayo onyesha kuwa ccm ni chama bora kupita vyote barani Afrika
Hahahaaahahaa.....wanyonge imekuwa kitenzi kivumishiWananchi wanyonge watakuja kukuvamia hapa ukimbie
Tutendeane mema tukiwa hai, tukikoseana tusameheane tukiwa hai. Sijui kama marehemu alipata nafasi ya kuomba msamaha.HahahhahahahahaahH
OKW BOBAN SUNZU njoo huku...hahhaaa Askofu kuna hati hati asizikee
Yaani hii ni bab kubwa jamani..mtoa mada umenicheksha hiyo line ya mwisho nimecheka mnoooAskofu Niwemugizi alipotumia uhuru wake wa kutoa maoni, kufumba na kufumbua, makachero wakamvaa na kumpora pasi ya kusafiria. Wakauliza, "Wapi kaburi la bibi ya babu yako?"
Sasa kabla Baba Askofu hajaanza ibada ya mazishi, mrudishieni kwanza pasi yake ya kusafiria.
Zilikua 💣💣💣🔥🔥Nakumbuka mihadara na makala za Bashiru na Polepole kabla ya kujiunga na CCM
Hule ndo madudu gani mkuu?Hule ugali wa bure magogoni at taxpayers na donors expense ulimpofusha sana jamaa.
Malipo gani Tena? Kwahiyo askofu hatokufa kwakuwa alihojiwa uraia wake na aliemhoji amekufa? Kifo ni fumbo, kifo ni kwaajili ya viumbe hai wote, adui akifa sio guarantee wewe hatokufa, kifo sio kwaajili ya uwachukiao pekeeMalipo ni hapa hapa chini ya jua
Malipo gani Tena? Kwahiyo askofu hatokufa kwakuwa alihojiwa uraia wake na aliemhoji amekufa? Kifo ni fumbo, kifo ni kwaajili ya viumbe hai wote, adui akifa sio guarantee wewe hatokufa, kifo sio kwaajili ya uwachukiao pekee
Yaani nashangaa sana hizi akili za hawa Wananchi kukichambua kifo namna hiiKwa hiyo Askofu yeye hatokufa? Au yeye atakuwa wa mwisho kufa?
Rule no 1😆..siku zote adui anatakiwa akutangulie kufa.
Jamaa sheria zote zimekaa kichwani wakaona the only solution ni yeye ku-rest in peace
Hujaelewa madaKwani kuzika mtu kunahitaji pass ya kusafiria.