Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima kwa amiri jeshi mkuu ni muhimuWasiojulikana wangejikita hata na vitu vya msingi mara moja moja
Yule mwenyekiti wa serikali ya mtaa ahojiwe..yaani hata baada ya baba yake kuomba msamaha namna ile, hawakuridhika?
Bila shaka Hangaya anataka dogo atoweke ili kutisha wengine, Mchengerwa alikuwa Mbeya hivi karibuni, msisahau hiloWamemficha wa nini wakati alishahukumiwa na akalipa faini? Au Mama Samia hakuridhika na maamuzi ya mahakama?
Hasa ukizingatia kuwa unayemtusi kuna watu wameapa mbele yake,.Heshima kwa amiri jeshi mkuu ni muhimu
Ingekuwa mafisadi na waizi wa mali za umma wanapotezwa namna hii tungekuwa mbali kama taifaWasiojulikana wangejikita hata na vitu vya msingi mara moja moja
Inawezekana yeye karidhika na wala hana neno ila wanasema Rais siyo mtu ni taasisiWamemficha wa nini wakati alishahukumiwa na akalipa faini? Au Mama Samia hakuridhika na maamuzi ya mahakama?