Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo

inafikirisha ngoja tuone
 
Kama kuna mwingine achome akiwa peke yake sio achome anajirekodi na kubandika katika mitandao ya kijamii lazima ataambia Jamhuri alikua na lengo gani Kufanya hivyo.
 
Hapo ingelikuwa china au korea tusnge zungumza kihiv yaan jamaa angesha jongwa ila n Tz kwa sababu alikuwa anataka kick tumuombe awesalama tu
Unaifananisha China na Tanzania ?kwa kipi hasa ? Tanzakiza vituko haviishi.
 
Ndugu Ngurukia , hata mimi pia naamini kuwa pamoja na mapungufu mengi ya mh. kule juu, hawezi kuamrisha hili, lakini ukimya wake juu ya haya ya utekaji na hasa ile kauli yake ya "drama za utekaji" zinanifanya akili ya kawaida kukataa.

Kwa nini asikemee haya matukio na kuamrisha wasaidizi wake au vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi wa wahusika na wachukuliwe hatua!!???
 
Hii gari mbona haimilikiwi na Jamhuri yetu kwa kuangalua No tuu..

Labda kibao kiwe cha kubandika na kutoa.
We jamaa utakuwa sio Mtanzania.

Hii gari ya nchi yako na inamilikiwa na Shirika la Reli Tanzania.
 
Wanaweza kumfanya chochote lakini wasisahau hapa duniani ni mapito huyu ndugu watamtesa lakini Mungu atampa haki yake.
 
Hapo ingelikuwa china au korea tusnge zungumza kihiv yaan jamaa angesha jongwa ila n Tz kwa sababu alikuwa anataka kick tumuombe awesalama tu
China hawabagui wa kunyonga, mafisadi yote yananyongwa ila huku mafisadi yanatamba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…