Aliyeimba "wanaume tumeumbwa maaatesooo" aliwaza sana

Wanaume hatutumii emoji za kucheka wala kulia , Usirudie tena kutumia emoji.
Kama umezidiwa sana tumia hii👍🏾
 
Wee mama Abaya naomba ulale 😁
 
😁....wote wapo dar.
Walisoma UDSM, masters walichukulia Ujerumani.
Nusu yao ni wakuu wa vitengo kwenye makampuni ya kimataifa.
 
Aaaah aaaah🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,hii ndoa itakuwa ya uji ramadhani ikiisha talaka....maana kivuruge mmmh
Alete mahari Kaka mdogo nipo kupokea hiyo bride price. 😁😁😁
Madogo bhana
 
sasa wewe,
kaugali tu kanakushinda kupika, kanakutoa jasho, shughuli za uzalishaji utaweza kweli 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…