binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mama Abaya naomba ulale 😁🤣🤣🤣 kweli aisee! Wanaume wa humu ambao hamjaoa mnakula bata sana, hakuna mateso, wote mna mandinga mkali, mnaishi kwenye apartment masaki, dada wa kazi anakuja mara moja kwa wiki kufanya kazi, mambo ni supa.
Ila waliooa wana stress, wanateseka, kutwa kulia lia 😂
ndio nishamaliza kula hapa nikiangusha hadi asubuhi🤣Kula daku kabisa mywangu ukilala umelala usisumbuke baadae😁
😁....wote wapo dar.🤣🤣🤣 kweli aisee! Wanaume wa humu ambao hamjaoa mnakula bata sana, hakuna mateso, wote mna mandinga mkali, mnaishi kwenye apartment masaki, dada wa kazi anakuja mara moja kwa wiki kufanya kazi, mambo ni supa.
Ila waliooa wana stress, wanateseka, kutwa kulia lia 😂
Jamani ndio kwanza nimeingia hapa, walau nusu saa ijayo ndio mnifukuze wakuu! 😀Wee mama Abaya naomba ulale 😁
nishamaliza kula shem usijaliSalama shemeji.
Kula kwanza daku.
Alete mahari Kaka mdogo nipo kupokea hiyo bride price. 😁😁😁Aaaah aaaah🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,hii ndoa itakuwa ya uji ramadhani ikiisha talaka....maana kivuruge mmmh
Safi sana Bwana harusi,kumbe tukishaoana nitakuwa napaka Hina tu wewe unanipikiandio nishamaliza kula hapa nikiangusha hadi asubuhi🤣
Mimi naaweza kupika ugali tuu.kwahio utaweza kula ugali usiku?Safi sana Bwana harusi,kumbe tukishaoana nitakuwa napaka Hina tu wewe unanipikia
Eeeh unataka kumuharibia mfungo, tobaaaaa 🙆Wanaume hatutumii emoji , Usirudie tena kutumia emoji.
Hapana kabisa, sipendi kabisa ugali Mimi ndani kuwe na mchele wa kutosha Mimi ni kama mpogolo....wali kama doziMimi naaweza kupika ugali tuu.kwahio utaweza kula ugali usiku?
Sisi ni waarabu wa Pemba,mtuache😁Tangazo lako kwa bibiee Joanahh umelileta kitaalamu mnoo
sasa wewe,Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.
Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
Kwanini atumie emoji nyingi kumzidi hata Unique Flower?Eeeh unataka kumuharibia mfungo, tobaaaaa 🙆
Mmmh ila kichwa chake anakijua Mwenyewe mtarajiwa wangu...anaweza akaharibu daku aliyokula Sasa hiviKwanini atumie emoji nyingi kumzidi hata Unique Flower?