Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
- Thread starter
-
- #61
Aah Inasikitisha sana kwakweli japo tunachekaHahahaaaaaaa afadhali Serikali imefanya vizuri!! Hii dunia sijui inakoelekea !!! Watu kweli wanacheza na jina la Yesu hivi!!ππ
Na kama watu wametoa sadaka sijui ni vipi unaweza kumuhukumu kwamba siye beyond reasonable doubt..., Na huyo Hakimu kama ana roho nyepesi anaweza kudhani yeye ni Pilato incarnated....Utapeli wa kutumia akiliπππ
Akawape hi ndugu na jamaakama yeye yesu kweli na aende Israel.
ππππNa kama watu wametoa sadaka sijui ni vipi unaweza kumuhukumu kwamba siye beyond reasonable doubt..., Na huyo Hakimu kama ana roho nyepesi anaweza kudhani yeye ni Pilato incarnated....
Dhihaka kaifanya huyo aliyejidai yesu huko kenya kwa kudhihaka ukristo
Na kupiga pia baada ya wanigeria kundi la pili ambao huwezi wakosa nchi yeyote duniani Ni wakenya.Si rahisi uende nchi yeyote usiwakute wakenya sio rahisiWakenya siku zote watu wa kupigwa tu
Ova
Wamemfukuza Yesu, hawana tofauti na waliomsulubishaKenya jinga sana
Na harudi ng'o maana mmemfukuzaMwanawa mungu amekataliwa tena kwa Mara ya pili,tutaweka wapi nyuso zetu!?
Alisha fanya na matamasha kadhaa, clips zake zipoWalisha published Yesu yupo mjini Nairobi.. Serikali ikaona tusizidi kuwa wajinga timulia mbali...
Huyo angejifanya ndiyo yule wanayemuabudu ule upande wa Boko Haram, Al-Qaeda na Al-Shabab. Huyo angekuwa maiti muda si mrefu maana kiongozi wao hutetewa na wanadamu.
Wale wazee wa balaza wa kule hawataki masihara watamsulubu mara ya pili.kama yeye yesu kweli na aende Israel.
Acha kumgombeza.Si kuna reliable source hapo? Acha uvivu tembelea huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na angefanya photoshop ya kiwili-wili cha mtu aliyevaa bikini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
lingekuwa limeandika gazeti la musiba ingekuwa shoga aliyejifanya yesu afukuzwa kazi Kenya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wangempokea kwa mauno kama wanapokea BombadierDah nimecheka sana,ila hongera zake sana Mwamba kwa kuwapiga hela mazuzu. Nahisi angekuja Tanzania angealikwa Ikulu
[emoji1787][emoji1787]