RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Kwa wananchi wote ambao miaka mitano wameathirika kwa utawala mbovu wa Rais Magufuli na chama chake, ni wakati wa kuungana kumkataa kwenye sanduku la kura!
Hofu kubwa waliyonayo wananchi ni kuporwa kwa matokeo na tume ya uchaguzi ambayo kwa mazingira ya uwepo wake na utendaji wake kwenye chaguzi zilizopita, ni wazi kuwa huamrishwa imtangaze nani, na nani isimtangaze!
Kama wananchi tunajua kura ni mali yetu ya thamani tutailinda! Ulinzi wa mali na maisha yetu ni jukumu la kila mzalendo wa kweli!
Wananchi tukapige kura kwa wingi na tulinde kura yetu ihesabiwe na itangazwe kama tulivyochagua!
Wezi wa kura tunawajue tujipange kuwadhibiti kwa mbinu na gharama yoyote, tumechoka na dharau za wezi hawa!
Hofu kubwa waliyonayo wananchi ni kuporwa kwa matokeo na tume ya uchaguzi ambayo kwa mazingira ya uwepo wake na utendaji wake kwenye chaguzi zilizopita, ni wazi kuwa huamrishwa imtangaze nani, na nani isimtangaze!
Kama wananchi tunajua kura ni mali yetu ya thamani tutailinda! Ulinzi wa mali na maisha yetu ni jukumu la kila mzalendo wa kweli!
Wananchi tukapige kura kwa wingi na tulinde kura yetu ihesabiwe na itangazwe kama tulivyochagua!
Wezi wa kura tunawajue tujipange kuwadhibiti kwa mbinu na gharama yoyote, tumechoka na dharau za wezi hawa!