Kwahiyo yeye kama mgombea wa ccm ulitaka aseme kuwa upinzani mtashinda?Tuwe wakweli Watanzania wanahitaji heshima na kuthaminiwa.Haya mambo ya dharau na kiburi watawala yanachosha. Neno " Hamtashinda" baya sana halifai kwa taifa la kidemocrasia.
We know clearly that NEC is not independent! Our duty as true citzens is to compel the commission to respect our voice in the ballot box!How we can cheat ourselves to have a free and fair election
Kama wananchi wakiamua kwa pamoja kuuondosha udhalimu huo umapindizu wakafanyie vyumbani mwaoUmesema kweli kabisa, ila yatupasa kujua si rahisi kuiondoa ccm madarakani kwa sanduku la kura/makaratasi.
SIRI: Maana ya ccm ni CHAMA CHA MAPINDUZI. Si rahisi kukiondoa chama /serikali iliyoingia madarakani kwa mapinduzi kwa kutumia karatasi, SERIKALI AU CHAMA KILICHOINGIA MADARAKANI KWA MAPINDUZI, KINAONDOLEWA KWA MAPINDUZI.
Kwani hao wabunge waliopatikana waliopatikana kwa tume ipi.Wapinzani wanajua kabisa eneo wanalopigwa kila siku. It doesnt matter kura kiasi gani zimepigwa as long as NEC wana model yao ambayo tayari ipo calibrated na equations za kumpa ushindi mgombea wa CCM
VIONGOZI wa Upinzani wanalijua hili vyema but yet wanaingia kwenye uchaguzi ili kulinda matumbo yao (ruzuku etc). Kila mtu anajua kwamba bila Tume iliyo independent (bila mkono wa Rais), ni ndoto CCM kuachia Ikulu
Tume ni issue. Tume imepewa mamlaka ya mwisho ya kumtangaza Rais bila kupingwa popote. Why?Kwani hao wabunge waliopatikana waliopatikana kwa tume ipi.
Tume sio ishu
Bora kulala nyumbani siwezi sumbua akiri yangu siku hiyo.Ukijua thamani ya kura yako utapata ujasiri wa kwenda kupiga kura na kuilinda na itangazwe namna ulivyochagua!
It is never too late in lifeKiongoxi wa chama dola ataka kuendelea kuweka rekodi yake mwenyewe toka aliposhika madaraka. Alipata 100% alipothibitishwa kuwa Mwenyekiti Taifa na Mkutano Mkuu wa chama chake. Wote tu mashahidi kuwa chama chake kiliibuka na ushindi mnono wa zaidi ya 99% ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2019, na kuviacha hoi vyama vya upinzani.
Tumeshuhudia tena hapo juzi akichaguliwa tena Mkutano Mkuu wa chama chake kupeperusha tena bendera kwa kinyang'anyiro cha uraisi na kupata 100% kwa mara nyingine tena. Hakuna wa kumzuia kuzidi kuitunza hii rekodi inayoandikwa kwa wino wa kijani. NEC imejaa makada wa chama chake, vyombo vya dola vyote vinambeba kwa mbeleko, pengine wananchi wahamasike, waache uoga palec wanapoona haki yao ikipokwa kwa nguvu na waamke na kumzuia kufanya hivyo.
Akili ya kusumbua unayo!?Bora kulala nyumbani siwezi sumbua akiri yangu siku hiyo.
Uchaguzi ni wa Wananchi! Uchaguzi ukivurugwa, ni dharau kwa wananchi na si kwa wapinzani!Wapinzani wanajua kabisa eneo wanalopigwa kila siku. It doesnt matter kura kiasi gani zimepigwa as long as NEC wana model yao ambayo tayari ipo calibrated na equations za kumpa ushindi mgombea wa CCM
VIONGOZI wa Upinzani wanalijua hili vyema but yet wanaingia kwenye uchaguzi ili kulinda matumbo yao (ruzuku etc). Kila mtu anajua kwamba bila Tume iliyo independent (bila mkono wa Rais), ni ndoto CCM kuachia Ikulu
Mkuu, badala ya kulaumu ungeshauri cha kufanya.. Mwaka jana kwny serikali za mitaa umma uligomea uchaguzi, wezi wakajishindia kwa mbwembwe na tambo nyingi..!!! Unataka wagome tena, au??Wapinzani wanajua kabisa eneo wanalopigwa kila siku. It doesnt matter kura kiasi gani zimepigwa as long as NEC wana model yao ambayo tayari ipo calibrated na equations za kumpa ushindi mgombea wa CCM
VIONGOZI wa Upinzani wanalijua hili vyema but yet wanaingia kwenye uchaguzi ili kulinda matumbo yao (ruzuku etc). Kila mtu anajua kwamba bila Tume iliyo independent (bila mkono wa Rais), ni ndoto CCM kuachia Ikulu
Wacheni kutujaza ujinga,hivi kura wanaohesabu ni mawakala au wapiga kura.unaposema tulinde kura tunalindaje wakati haturuhusiwi kuingia ndani zinakohesabiwa kura?#sipigikuraUkijua thamani ya kura yako utapata ujasiri wa kwenda kupiga kura na kuilinda na itangazwe namna ulivyochagua!
Pole hata agombee nani Magufuli is the president mpaka 2025Naunga Mkono Hoja Lissu akigombea ni saa4 tu mtu anaenda chato
Ujinga unakuwa nao mwenyewe na siyo dhambi!Wacheni kutujaza ujinga,hivi kura wanaohesabu ni mawakala au wapiga kura.unaposema tulinde kura tunalindaje wakati haturuhusiwi kuingia ndani zinakohesabiwa kura?#sipigikura
Ni kweli hawatamshinda kwa sababu kazi alizozifanya siyo za kawaida kwa kipindi kifupi mno. Tutampatia tena kipindi cha miaka 5Tuwe wakweli Watanzania wanahitaji heshima na kuthaminiwa.Haya mambo ya dharau na kiburi watawala yanachosha. Neno " Hamtashinda" baya sana halifai kwa taifa la kidemocrasia.
Hata kama Sugu au DJ wakiwa wakurugenzi wa Tume hakuna mtu ataishinda CCM kwa kipindi hiki. Wala msijifariji.Naunga Mkono Hoja Lissu akigombea ni saa4 tu mtu anaenda chato
Tumeporwa tokea one party system, mnashtuka leo?Vumilia hadi aje mkombozi.Kwa wananchi wote ambao miaka mitano wameathirika kwa utawala mbovu wa Rais Magufuli na chama chake, ni wakati wa kuungana kumkataa kwenye sanduku la kura!
Hofu kubwa waliyonayo wananchi ni kuporwa kwa matokeo na tume ya uchaguzi ambayo kwa mazingira ya uwepo wake na utendaji wake kwenye chaguzi zilizopita, ni wazi kuwa huamrishwa imtangaze nani, na nani isimtangaze!
Kama wananchi tunajua kura ni mali yetu ya thamani tutailinda! Ulinzi wa mali na maisha yetu ni jukumu la kila mzalendo wa kweli!
Wananchi tukapige kura kwa wingi na tulinde kura yetu ihesabiwe na itangazwe kama tulivyochagua!
Wezi wa kura tunawajue tujipange kuwadhibiti kwa mbinu na gharama yoyote, tumechoka na dharau za wezi hawa!
Narudia tena kwako, hata kama Mbowe na Zito wangepewa ukuu wa Tume bado hamtashinda. Mwaka ule mlisaidiwa na mzee Lowassa na hayuko kwenu tena na wala msije jifariji. Hata kura millioni moja this time hamtopata. Mark my words. Na wala hamtaibiwa ila watu hawatawapa.Sahihi kabisa!
Na hii ndo agenda kuu mwaka huu. Tunapiga kura kwa wingi, tunasimamia uhesabuji wa kura zetu na kuzilinda. Na mwisho tunahakikisha hatutoki vituoni hadi matokeo yatangazwe kama tulivyopiga kura.
Mwaka huu ndo mwisho wa kuvumilia ujinga. Wakitaka watuuwe sote ila vizazi miaka elfu vitatukumbuka.