RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
- Thread starter
-
- #41
Hatuhitaji mkombozi, tujikomboe wenyewe!Tumeporwa tokea one party system, mnashtuka leo?Vumilia hadi aje mkombozi.
Subiri tuwaandalie kiboko yenu safari hiiUsitupotezee muda hapa.
Kiboko gani? Hamna lolote.Subiri tuwaandalie kiboko yenu safari hii
M7 alishawahi kusema yeye ni kotapini hivyo atatolewa kwa nyundoUmesema kweli kabisa, ila yatupasa kujua si rahisi kuiondoa ccm madarakani kwa sanduku la kura/makaratasi.
SIRI: Maana ya ccm ni CHAMA CHA MAPINDUZI. Si rahisi kukiondoa chama /serikali iliyoingia madarakani kwa mapinduzi kwa kutumia karatasi, SERIKALI AU CHAMA KILICHOINGIA MADARAKANI KWA MAPINDUZI, KINAONDOLEWA KWA MAPINDUZI.
Naunga Mkono Hoja Lissu akigombea ni saa4 tu mtu anaenda chato
Hongera kwa kujifariji😁😁😁Narudia tena kwako, hata kama Mbowe na Zito wangepewa ukuu wa Tume bado hamtashinda. Mwaka ule mlisaidiwa na mzee Lowassa na hayuko kwenu tena na wala msije jifariji. Hata kura millioni moja this time hamtopata. Mark my words. Na wala hamtaibiwa ila watu hawatawapa.
Mkuu, si vizuri kuidanganya nafsi yako mwenyewe
Umma ni nyundo, ukiamua risasi za watawala hazitatosha!M7 alishawahi kusema yeye ni kotapini hivyo atatolewa kwa nyundo
Umma ni nyundo, ukiamua risasi za watawala hazitatosha!