GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
hatujui nani atashindaAsanteni sana Wazee wa Kikwajuni Zanzibar hakika safari hii mmeamua kwani haiwezekani tukose vyote kwa 2024 sawa?
Mno na sana Mkuu.OHoooo plan B imefanya kazi
Fred na Job Sports Club wanashinda 1 kwa 0 au 2 kwa 1 ila kuna uwezekano wa Kadi Nyekundu na Mchezaji Mmoja Kuumia.hatujui nani atashinda
Naona leo umekuja na hii ID yako mpya ili Kuniingiza katika 18 yako na Kesho ikiwa tofauti uje na ile ya Kawaida Kunicheka.Ok mda utaongea,nakuamini Sana bro hujawahi kufeli!
Vile 🐸 baada ya mechi yataingia madimbwini kimyaaaMakolo kesho yanakufa 4 0
Derby ni keshoPamoja na kujua yote haya ila bado tu huachi Kunifuatilia Kutwa hapa JamiiForums. au labda unajua Mimi napenda Machoko?
Hawataamini mamayeAsanteni sana Wazee wa Kikwajuni Zanzibar hakika safari hii mmeamua kwani haiwezekani tukose vyote kwa 2024 sawa?
Dr Matola PhD na Bujibuji Simba Nyamaume mpo? Kesho sitaki kabisa mkosekane hapa Jamvini JF kuanzia Usiku sawa?
Unatumia nguvu Kubwa sana kutaka kuonyesha Watu hapa kwamba Wewe ni Moderator ili Uogopwe, Idiot nipe hiyo BAN sawa?Derby ni kesho
Ngoja tufanye mchakato ulambe ban
Haliwezi kuwepo tukio kubwa kama derby af wewe uwepo jf unaporomosha matusi na kuandika uzushi kushusha heshima
Kula ban ukae eda mwezi