Aliyekuambia Kesho kuna 'Droo' nani? Kudadaeki Kesho linakufa Jitu kwa Mkapa na tusikiambiane tu hapa JF sawa?

Aliyekuambia Kesho kuna 'Droo' nani? Kudadaeki Kesho linakufa Jitu kwa Mkapa na tusikiambiane tu hapa JF sawa?

JamiiForums1381953234.jpg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2968465
1.Mama J FC

2.Kabwili FC

3.Wenye Akili Wawili Tu FC

4.Mwakarobo Jr FC

5.Mwiko Matakoni FC

6.Vilaza wa Goal line Technology FC

7.Gongowazi FC

8.Supu za Makafara FC

9.Majini FC

10.Wachezaji Mishahara Duni FC

11.Kupenda vya Bure Mwisho Kupigwanao FC
 
Kwenye mkeka wangu Nabeti team ya ugenini ( Simba ) apate goli 1 tu kipindi Cha pili, odds 5.47 naweka sh 100,000/- [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hadi sasa umepataaa, mkeka wako umetikiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga wako busy na mazoezi na ku access Hali za wachezaji kama pacome na Yao kama wataanza nyi mpo busy na wazee wa kikwajuni, mkifungwa mnalaumu marefa na wachezaji wenu wenyewe kua wamepewa mlungula

.ndo maana jamaa aliwaita mbu*3
ulisema ukweli mtupu yametokea tayari
 
Back
Top Bottom