FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #181
Tanzania ilishindwa kukopa pesa ikajenga hilo bwawa wenyewe kisha hizo megawati 27 tukawauzia kilammmoja na pesa ikatumika kulipa mkopo? Hadi tuombe mchango wao kwenye ujenzi wa bwawa letu?, kumbuka, hizo megawati 27 kwa kila mmoja watachukua milele, unajua ni kiasi gani cha pesa hicho?rwanda na rundi awajachangia chochote?