Mkopo ni msaada? Si tunaulipa kwa 100% with intrest? Unavuta bangi kwa makalio? Kwanini mnapenda kutia watu hasira kiasi hiki?For what I know, huo mradi sio wetu kwa 100% bali Mabeberu ndio wana-finance huo mradi kwa ajili ya Rwanda, Burundi na Tanzania!!
So, mwenye pesa zake ndo kaamua hivyo, HUTAKI, jenga mwenyewe kwa pesa zako... nyie si dona kantri bhana!!! Ukifanya hayo, ndo utaamua kuweka swichi popote pale hata kama kwenye ofisi za Lumumba!!
Kuna mkopo wenye masharitiMkopo ni msaada? Si tunaulipa kwa 100% with intrest? Unavuta bangi kwa makalio? Kwanini mnapenda kutia watu hasira kiasi hiki?
Basi sawa, wacha wajenge hizo switch huko, na sisi tunajenga switch zetu huku, halafu tuone switch za nani zitawahi kuunganishwa kwenye bwawa😂😂🤣Kuna mkopo wenye mashariti
Na kuna mkopo wenyewe mashariti nafuuu.
Inategemea unazungumzia mkopo wa aina gan???
Hivi unaweza kusema nini kimekufanya utukane hapo?PIDMkopo ni msaada? Si tunaulipa kwa 100% with intrest? Unavuta bangi kwa makalio? Kwanini mnapenda kutia watu hasira kiasi hiki?
Habari zisizo rasmi za nini kuzileta humu JF?Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.
Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.
Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?
Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada
Nilichoelewa ni mradi wa kiushirika(tzed, rwanda na burundi) so, kila mmoja ameshirikishwa na kupata nafasi ya kuwa mmoja wa mradi hii ni kwa ajili ya security endapo washirika watakiuka makubaliano.Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.
Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.
Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?
Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada
Kama ulivyofanywa kua na akili za hovyokatika hii nchi chochote cha ovyo kinawezekana
Hii AWAMU huwa wanajisifia hadi ujenzi wa UDSM, UDOM, SUA, Mzumbe n.k!Nilichoelewa ni mradi wa kiushirika(tzed, rwanda na burundi) so, kila mmoja ameshirikishwa na kupata nafasi ya kuwa mmoja wa mradi hii ni kwa ajili ya security endapo washirika watakiuka makubaliano.
Nimeelewa mradi ulianza utekelezwaji 2014, lakin kilichonishangaza ni engineer kusifia awamu ya 5.... huu ndo upumbavu uliobakia kufutwa kwe vichwa vya wanaojiita wasomi wa nchi hii... mtu kama yule hachelewi kuchakachua data zozote zenye manufaa kwa anayemuongoza, mtu kama huyu hafai kupewa nafasi ya usimamiz wa mradi km huu kwa sababu ni rahisi hata kufanya hujuma kwa maslahi...
Vinginevyo napongeza uwepo wa mradi na tuutunze kwa msaada wenzetu watakaohudumiwa na mradi.
Wasije tu majirani zetu wale kutuchekaNimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.
Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.
Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?
Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada
Kuna upumbavu flan unaendelea saiv adi unawish km ungekua muandishi wa habar umnase kibao ukiskia anaropoka sifa za kijinga wakat ye mwenyewe ndo katoa takwimu zinazoonesha nani anastahili pongezHii AWAMU huwa wanajisifia hadi ujenzi wa UDSM, UDOM, SUA, Mzumbe n.k!
Na kama ulivyosema, mradi ulianza tangu 2014, na pesa ziliidhinishwa in 2013!