Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Yani umeme uwe wangu,main switch iwe kwa jirani? ikitokea shot nakurupuka na kukumbilia kwa jirani kumgongea geti, mlinzi nae anipige mkwara kidogo,ndio aende akamuamshe ,akiwa anagegeda inabidi usubiri amalize, wakati huo nyumba imegeuka kuwa tanuri
 
For what I know, huo mradi sio wetu kwa 100% bali Mabeberu ndio wana-finance huo mradi kwa ajili ya Rwanda, Burundi na Tanzania!!

So, mwenye pesa zake ndo kaamua hivyo, HUTAKI, jenga mwenyewe kwa pesa zako... nyie si dona kantri bhana!!! Ukifanya hayo, ndo utaamua kuweka swichi popote pale hata kama kwenye ofisi za Lumumba!!
Mkopo ni msaada? Si tunaulipa kwa 100% with intrest? Unavuta bangi kwa makalio? Kwanini mnapenda kutia watu hasira kiasi hiki?
 
Kumbuka tanzania mradi huu imekopa asilimia mia moja nimecheka kibwege sana alafu rwanda wamekopa asilimia 50.tu na rwanda asilimia 50.hivo kwa walio toa tasilimu kwenye mradi huu ndio waliopata nguvu ya maamuz je ngojera z tunagharamia kwa fedha za ndani zilienda wapi? mitano tena.
 
Kuna mkopo wenye mashariti

Na kuna mkopo wenyewe mashariti nafuuu.

Inategemea unazungumzia mkopo wa aina gan???
Basi sawa, wacha wajenge hizo switch huko, na sisi tunajenga switch zetu huku, halafu tuone switch za nani zitawahi kuunganishwa kwenye bwawa😂😂🤣
 
PIDMkopo ni msaada? Si tunaulipa kwa 100% with intrest? Unavuta bangi kwa makalio? Kwanini mnapenda kutia watu hasira kiasi hiki?
Hivi unaweza kusema nini kimekufanya utukane hapo?

Btw, hivi ungekuwa na akili timamu ungehoji suala la switch kuwa Rwanda wakati ni mradi wa nchi 3 kwa pamoja na kwahiyo hiyo switch lazima iwe kwenye moja ya hizo nchi?

Kwanini uone inastahili kuwa TZ na sio Rwanda au Burundi?

VERY STUPID!
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.

Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.

Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?

Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada


Habari zisizo rasmi za nini kuzileta humu JF?
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.

Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.

Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?

Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada

Nilichoelewa ni mradi wa kiushirika(tzed, rwanda na burundi) so, kila mmoja ameshirikishwa na kupata nafasi ya kuwa mmoja wa mradi hii ni kwa ajili ya security endapo washirika watakiuka makubaliano.

Nimeelewa mradi ulianza utekelezwaji 2014, lakin kilichonishangaza ni engineer kusifia awamu ya 5.... huu ndo upumbavu uliobakia kufutwa kwe vichwa vya wanaojiita wasomi wa nchi hii... mtu kama yule hachelewi kuchakachua data zozote zenye manufaa kwa anayemuongoza, mtu kama huyu hafai kupewa nafasi ya usimamiz wa mradi km huu kwa sababu ni rahisi hata kufanya hujuma kwa maslahi...

Vinginevyo napongeza uwepo wa mradi na tuutunze kwa msaada wenzetu watakaohudumiwa na mradi.
 
Nilichoelewa ni mradi wa kiushirika(tzed, rwanda na burundi) so, kila mmoja ameshirikishwa na kupata nafasi ya kuwa mmoja wa mradi hii ni kwa ajili ya security endapo washirika watakiuka makubaliano.

Nimeelewa mradi ulianza utekelezwaji 2014, lakin kilichonishangaza ni engineer kusifia awamu ya 5.... huu ndo upumbavu uliobakia kufutwa kwe vichwa vya wanaojiita wasomi wa nchi hii... mtu kama yule hachelewi kuchakachua data zozote zenye manufaa kwa anayemuongoza, mtu kama huyu hafai kupewa nafasi ya usimamiz wa mradi km huu kwa sababu ni rahisi hata kufanya hujuma kwa maslahi...

Vinginevyo napongeza uwepo wa mradi na tuutunze kwa msaada wenzetu watakaohudumiwa na mradi.
Hii AWAMU huwa wanajisifia hadi ujenzi wa UDSM, UDOM, SUA, Mzumbe n.k!

Na kama ulivyosema, mradi ulianza tangu 2014, na pesa ziliidhinishwa in 2013!
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.

Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.

Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?

Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada


Wasije tu majirani zetu wale kutucheka
 
Hii AWAMU huwa wanajisifia hadi ujenzi wa UDSM, UDOM, SUA, Mzumbe n.k!

Na kama ulivyosema, mradi ulianza tangu 2014, na pesa ziliidhinishwa in 2013!
Kuna upumbavu flan unaendelea saiv adi unawish km ungekua muandishi wa habar umnase kibao ukiskia anaropoka sifa za kijinga wakat ye mwenyewe ndo katoa takwimu zinazoonesha nani anastahili pongez
 
Back
Top Bottom