Aliyekutoa bikra ndiye aliyecheza na usichana wako, wengine hatuhusiki kabisa

Aliyekutoa bikra ndiye aliyecheza na usichana wako, wengine hatuhusiki kabisa

Hahahaha ila mmhh haujawahi kumsaliti? Mbona comments zako nyingi humu zinaonyesha wewe ni kitombi uliyeshindikana?
Sijawahi mpiga wala kumsaliti mpaka namuacha huwa sipendi dharau kabisa, kwenye mahusiano heshima ikishuka bora ukimbie ukijidai mfilipino utakufa na angeniua yule mbuzi mtu
 
Kuna mmoja nilimtongoza akaja geto, nataka niandae kupga show...akaanza we unamalengo na mm, unataka kunichezea uniache..nikamuuliza wote uliotembea nao walikuwa na malengo na ww, akajibu hapan...nikamwambia bas..mi naendeleza walipoachia wao....na pia mlaumu aliekutoa usichina wako....akajifinya kuondoka ila baada ya wiki alijileta mwenyewe[emoji23][emoji23]
 
Mbinguni na duniani,ukiolewa na aliyekutoa bikra atakuamini sana tofauti na kuolewa na aliyekukuta 0
Ila mwanaume kuoa akiwa bikira siyo heshima?

Sikilizia hilo jibu lake sasa!
 
Basi mnaona raha kuwachezea wanawake bila kuwaoa?
Kuna mmoja nilimtongoza akaja geto, nataka niandae kupga show...akaanza we unamalengo na mm, unataka kunichezea uniache..nikamuuliza wote uliotembea nao walikuwa na malengo na ww, akajibu hapan...nikamwambia bas..mi naendeleza walipoachia wao....na pia mlaumu aliekutoa usichina wako....akajifinya kuondoka ila baada ya wiki alijileta mwenyewe[emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo mwanamke aliyetolewa bikira kabla ya kuolewa ni makombo? Ila mwanaume?

Sikilizia hilo jibu lake sasa
Attention!
Wanaume hatuna bikira hata siku moja na hatujawahi kuwa nazo hata tukirejea kwenye maandiko ya dini.
.
Mwanamke aliyetolewa bikra kabla ya kuolewa ni makombo hapa tutarudi kwenye tafsiri ya neno makombo ni nini, hivi mimi nikila ubwabwa nikabakisha ukaja kuula huohuo nilioula nikaacha utakuwa hujala makombo?
 
Maandiko? Hivi kuna sehemu maandiko yamekanusha kwamba mwanaume hawezi kuwa bikira au haujui nini maana ya mtu kuwa bikira?
Attention!
Wanaume hatuna bikira hata siku moja na hatujawahi kuwa nazo hata tukirejea kwenye maandiko ya dini.
.
Mwanamke aliyetolewa bikra kabla ya kuolewa ni makombo hapa tutarudi kwenye tafsiri ya neno makombo ni nini, hivi mimi nikila ubwabwa nikabakisha ukaja kuula huohuo nilioula nikaacha utakuwa hujala makombo?
 
Maandiko? Hivi kuna sehemu maandiko yamekanusha kwamba mwanaume hawezi kuwa bikira au haujui nini maana ya mtu kuwa bikira?
Najua unataka kuleta tafsiri ya kitoto kuwa bikra ni hali ya mwanamke au mwanaume kutokuwahi kufanya mapenzi.
.
Maandiko ya Biblia wakati wa zamani ilikuwa mwanamke haolewi kama hana bikra alikuwa anauwawa kwa sababu kazini kabla ya ndoa, katika maandiko yoote huwezi kukuta bikra Daniel au bikira Hashim hakuna ila utakuta bikira Maria.
.
Ule utando unaoziba njia ya uke isiwe bwalo iwe ndogo sana ndio bikira yenyewe siku hogo likipita lazima ukione cha moto kwa sababu patatanuka.
.
Sasa ukiambiwa uionyeshe bikra kwa mwanaume utaweza? Au utaleta porojo kwamba kama hajawahi kufanya mapenzi basi ni bikra? Utakuwa unaumwa dengue kwa mwanamke nakuonyesha ilivyo kabisa hata ukitaka picha
 
Kwani amsemag hvo eti mdada financial services?
Unajua kuna ile dhana kwamba wanawake ni kama chombo cha starehe hivi, na hata wakaka huwa mnatuona hivo mfano mnasema "wanawake ni burudani kwetu"ntaenenda kununua madada poa ili nipunguze ukali.."" unanipata eeh, so tunakua tunajiona tunatumiwa hivi, ndyo maana inakua kama tunachezewa tu, na kwetu sisi hatuwezi sema tunawachezea wakaka ,nyie ndyo mnatuchezea tuwe either bikra or used[emoji30]
 
Unajua kuna ile dhana kwamba wanawake ni kama chombo cha starehe hivi, na hata wakaka huwa mnatuona hivo mfano mnasema "wanawake ni burudani kwetu"ntaenenda kununua madada poa ili nipunguze ukali.."" unanipata eeh, so tunakua tunajiona tunatumiwa hivi, ndyo maana inakua kama tunachezewa tu, na kwetu sisi hatuwezi sema tunawachezea wakaka ,nyie ndyo mnatuchezea tuwe either bikra or used[emoji30]
Usijifanye kuitafutia maan nzur [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

MABAHARIA TUMESHA SEMA TUMESEMA HATURUD NYUMA[emoji23][emoji23]
 
Kama ni mfuasi wa Chadema ni kumtoa bikira na kukimbia kabisa
Wewe bwege na CHADEMA ,Hii nchi kuèndelea mpaka kizaz cha lumumba kipotee,mpk saiz wameacha kupambana na maadui wanaonekana wanapambana na ushaur wa wanachadema.Hata dudu lako likilegea utawalaum CDM.
 
Unaongelea uumbaji halafu bado unamkosoa huyo huyo Mungu aliyekataza uzinzi na uasherati tena kwa jinsia zote aise hivi huwa una muda hata wa kusoma maandiko kweli?
Hawa aliumbwa kwa ajili ya Adam,na si Adam kwa ajili ya Hawa.
Ndio maana Kama mwanaume hajui kitu anaitwa fala,na mwanamke akiwa anajua kila kitu anaitwa malaya
 
Back
Top Bottom