Aliyekutoa bikra ndiye aliyecheza na usichana wako, wengine hatuhusiki kabisa

Aliyekutoa bikra ndiye aliyecheza na usichana wako, wengine hatuhusiki kabisa

Wanawake sikilizeni kuna kitabia mnacho ambacho binafsi huwa kinatukera sana sisi wanaume. Wanawake nataka niwambie ukweli utakuta mmekwaruzana na demu/mpenzi wako afu anakwambia "NILIJUA TU UTAKUJA KUNIACHA NA KUCHEZEA USICHANA WANGU" Kina dada Aliyekuharibia usichana wako ni Mwanaume aliyekutoa BIKRA kisha akauacha huyo ndo mpe hzo lawama me niliyekukuta huna Bikra usinipe hzo lawama hta kama nakuacha kiroho safi kuwa Mpole, mpe hzo lawama aliyekutoa bikra akauacha. Sijakukuta na Bikra afu useme nmechezea Ubinti wako shenzi kabisa.

Wanaume ukiona mwanamke anakwambia hvo, Mwambie aliyeharibu usichana wako aliyekutoa bikra akauacha me hata..

NB: Karibuni 5N mliman hapa kwa aliye karibu tunywe maji.

Point kabisa alafu chakushangaza wakati wakuolewa eti wanataka mahali kubwaaa wati mtu used. Mie nabeba kwa bei che hutaki basi. Value yako ilishashuka.
 
Point kabisa alafu chakushangaza wakati wakuolewa eti wanataka mahali kubwaaa wati mtu used. Mie nabeba kwa bei che hutaki basi. Value yako ilishashuka.
Wewe hakuna ambaye umewahi kumtoa bikira?
 
Wanawake sikilizeni kuna kitabia mnacho ambacho binafsi huwa kinatukera sana sisi wanaume. Wanawake nataka niwambie ukweli utakuta mmekwaruzana na demu/mpenzi wako afu anakwambia "NILIJUA TU UTAKUJA KUNIACHA NA KUCHEZEA USICHANA WANGU" Kina dada Aliyekuharibia usichana wako ni Mwanaume aliyekutoa BIKRA kisha akauacha huyo ndo mpe hzo lawama me niliyekukuta huna Bikra usinipe hzo lawama hta kama nakuacha kiroho safi kuwa Mpole, mpe hzo lawama aliyekutoa bikra akauacha. Sijakukuta na Bikra afu useme nmechezea Ubinti wako shenzi kabisa.

Wanaume ukiona mwanamke anakwambia hvo, Mwambie aliyeharibu usichana wako aliyekutoa bikra akauacha me hata..

NB: Karibuni 5N mliman hapa kwa aliye karibu tunywe maji.
Mkuu nimesoma Heading to nineelewa content yote, umemaliza ukweli wote, aliyemtoa bikra na hakumuoa ndiye aliyemharibia sisi njia tunapita tu aliyeifyeka ndiye mbaya wao.
 
Duuh! Ila wewe mkuu haukuwahi kumfanyia visa vyovyote vile? Mfano kumpiga au kumsaliti
Aliuza mechi alafu dharau nying,jeuri nyingi anawaambia marafik zake siwezi kumuacha kwa sababu nlimbikiri, nlishindwa vumilia upuuz wake nkamuacha zimebaki lawama tu anadai nlitaka kumchezea tu na laana kaniachia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom