Aliyekuwa anakupeleka hotels kubwa na adventures ndio huyo huyo akuoe, tusipeane stress ukubwani

Haya wadangaji waje sasa
 
Wanaume hatupo ivyoo, jitahidi kuishi nae vizuri, wakati hana kitu, mtendee inavyostahili, timiza wajibu wako kikamilifu na mjali, wakati hana kitu, hataweza kukutenda wakati wa neema ukifika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…